Nimepigana na jamaa niliyemkuta na demu wangu

Nimepigana na jamaa niliyemkuta na demu wangu

Pole sana, usipigane sababu ya mwanamke, acha wanawake wapigane sababu yako...

unnamed.jpg
.
unnamed-1.jpg



Cc: Antonnia
 
Bure kabisa.
Utaenda kua demu wa MTU huko jela ukitoka uliyempiga atakua keshafunga ndoa na huyo demu.
 
Ungekutana na mm mwenye black belt sa hivi wangekuwa wanazika huko kwenu sitimbi ndanindani huku fala wewe
 
Kwema wakuu,
Uvumilivu umenishinda imebidi nivurumishe makonde kwa huyu jamaa ambaye anataka kunipora demu. Kesi Iko polisi. Sikuwa na namna maana demu namuelewa sana.

Huna akili badala umshukuru mwamba (jamaa) ulomkuta nae kwakua kakuonesha tabia ya demu wako
 
Hakuna mwanaume malaya bali kuna mwanamke malaya kwa sababu kwenye mahusiano ya kimapenzi na ngono mwanamke ndiye anayeamua kukubali au kukataa otherwise amebakwa!

Demu wako malaya....hata upigane na mtaa mzima akiamua kugawa atagawa na kama mgawaji ataendelea kugawa
 
Tunaiomba serikali ya CCM itusaidie kuwafutilia mbali vijana kama hawa wa ovyo. Karne ya 22 unagombania mwanamke? Inaumiza sana
 
Ukikuta wanaume wawili eanagombana mmoja wao nimjinga
Sasa wewe unapigana kisa mwanamke no mjinga sana
 
Back
Top Bottom