Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Alafu ukishaua unapata faida gani?Huyu demu nimegharamia sana naweza kuua mtu juu yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu ukishaua unapata faida gani?Huyu demu nimegharamia sana naweza kuua mtu juu yake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!Pole sana, usipigane sababu ya mwanamke, acha wanawake wapigane sababu yako...
View attachment 2867309. View attachment 2867310
Cc: Antonnia
Ahah ngoja tuone kesi haijaisha kikubwa nimetoa hela ya matibabu basiBure kabisa.
Utaenda kua demu wa MTU huko jela ukitoka uliyempiga atakua keshafunga ndoa na huyo demu.
Kama jamaa amepokea hela ya matibabu, endelea na demu wako.Ahah ngoja tuone kesi haijaisha kikubwa nimetoa hela ya matibabu basi
Zingine unajikuta unashindwa kumove on...
Nashukuru sana mkuu umesaidia kuwaeleweshaZingine unajikuta unashindwa kumove on...
Kwema wakuu,
Uvumilivu umenishinda imebidi nivurumishe makonde kwa huyu jamaa ambaye anataka kunipora demu. Kesi Iko polisi. Sikuwa na namna maana demu namuelewa sana.
😂😂😂😂😂Zingine unajikuta unashindwa kumove on...
Ahahah..si mmeshavurugwa siku hiz nyie viumbe..Doh, kumbe wa hivyo bado mpo? Sisi tushaachaga kugombania bwana
Huna ubavu bwanamdogoUngekutana na mm mwenye black belt sa hivi wangekuwa wanazika huko kwenu sitimbi ndanindani huku fala wewe
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Nashukuru sana mkuu umesaidia kuwaelewesha
Kaka sina pesa za kuja kukutoa segerea mimi,au unataka ki start-up changu kifilisike????Ahahah..si mmeshavurugwa siku hiz nyie viumbe..
Achen sisi tuzipige 😂