Nimepigana na jamaa niliyemkuta na demu wangu

Nimepigana na jamaa niliyemkuta na demu wangu

Ilishanitokea hii mshikaji alipigana na mimi kwasababu ya demu wake na bibie bado aliendelea kuileta mbususu ka kaida wakati huu sasa nilikuwa naipiga kwa hasira zaidi.

Ngoja nikuambie hupaswi kupigana kwaajili ya mwanamke ukishagundua mwanamke sio muaminifu kula kona kimbia
 
Kwema wakuu,
Uvumilivu umenishinda imebidi nivurumishe makonde kwa huyu jamaa ambaye anataka kunipora demu. Kesi Iko polisi. Sikuwa na namna maana demu namuelewa sana.
Utagongewa sana tu

Mpaka useme
 
Kwema wakuu,
Uvumilivu umenishinda imebidi nivurumishe makonde kwa huyu jamaa ambaye anataka kunipora demu. Kesi Iko polisi. Sikuwa na namna maana demu namuelewa sana.
Huyo demu hakufai kabisaaaaaa! Kwa sababu kama alijua wewe unamahusiano naye Kwa Nini anamkubalia mwingine hata Kwa kumsogelea na kuwa na mazungumzo nae dakika nyingi?

Umempiga jamaa kimakosa, ulitakiwa umpige demu wako, maana yeye ndiye anamakosa.
 
Back
Top Bottom