sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Kwani watu wakisema ye atapungukiwa nini?Na Akiwajengea mtakuja kulia, wanajengea kwa kodi zenu, mbona kuna Watanzania wengi hawajengiwi, Watanzania Tuna Nongwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani watu wakisema ye atapungukiwa nini?Na Akiwajengea mtakuja kulia, wanajengea kwa kodi zenu, mbona kuna Watanzania wengi hawajengiwi, Watanzania Tuna Nongwa.
Ni dhambi ndio kama una uwezo halaf majiran zako wanashinda njaa hutoi msaada ndio maana waarabu hutoa chakulaKabisa yaani na inashangaza sana. Ndio yale yale utasikia fulani anabadilisha magari kila siku wakati majirani zake wanalala njaa.
Suburini ufufuoTulionunua viwanja Chato TUpeane maarifa tufanye nini?
Ndio inatakiwa unashareMwenzio chato aliwajengea hadi majirani. Watu wakisema wacha waseme.
Atajenga nyumba ngapi?Kashindwa hata kuwajengea za kawaida tu za gharama ndogo na akifanya hivyo hata hapungukiwi
Kijijin hakuna garama za ujenzi bana wanaomzunguka Mbona anawezaAtajenga nyumba ngapi?
Kama mvi mnavyosema, yeye snapungukiwa nini.Kwani watu wakisema ye atapungukiwa nini?
Kwanini awajengee kwanza?? Kisa majirani au?? Mbona watanzania wengi tuu wanaishi nyumba za tope halafu majirani wana maghorofa na hakuna anayeongea.
Kila mtu apambane na hali yake
Kumbe wachaga na nyinyi hamna akili. Hajazungumzia homeless hapo hao makazi wanayo ila ni duniHata Marekani na Ulaya mbona wapo watu ni homeless?
Maendeleo hayapo hivo... eti kisa mi Tajiri basi ndo niwajengee nyumba masikini???
NakaziaHizo hua ni issue za madrug cartels,Pablo Escobar alivunja Slums kwenye mji wake wa Medelin na akawajengea Nyumba za maana,hiyo yote ni kupata support kwa majirani inapotokea kuna msako wa kukamatwa,hata Chris coke Dudus drug lord wa Jamaica alifanya hivyo.
Wakija marafiki zake wa kimataifa wakafikia kwake watamchukuliaje kwa kuta nyumba za tope?Kikwete sio mtu kama wewe au mim alikuwa raisi akiamua anaweza na hapungukiwi na chochote kabisa Poa ingekuwa kuwajali watu wake na ingekuwa kumbukumbu nzurii
Sasa Marekani kuna mabilionea wa dunia mbona wasiwajengee nyumba hao homeless?Kumbe wachaga na nyinyi hamna akili. Hajazungumzia homeless hapo hao makazi wanayo ila ni duni
Yaan unakuwa raisi halaf mji ulipotoka wewe ndio umejenga nyumba nzuri tuWakija marafiki zake wa kimataifa wakafikia kwake watamchukuliaje kwa kuta nyumba za tope?