Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mwanzo wa sentensi hautakiwi kuanza "na".Na kiuhalisia hajasema.Ameandika.Kusema mara nyingi/zote huendana na utoaji wa sauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo wa sentensi hautakiwi kuanza "na".Na kiuhalisia hajasema.Ameandika.Kusema mara nyingi/zote huendana na utoaji wa sauti.
Mimi ningeandika..."Mwanzo wa sentensi hautakiwi kuanza na neno "na".Mwanzo wa sentensi hautakiwi kuanza "na".
Ulitaka awajengee majirani?Nyumbani kwake pana magorofa na majengo yamepangiliwa vizuri ila majirani zake wana nyumba za tope na nyasi.
Hii kitaalam imekaaje? Au ndio kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria?
Acha ujinga na upumbavu wako ewe zumbukuku. Tabia ya kupenda vya bure itakuja kuwacost wajinga wakubwa nyinyiACHA KUFOKA FOKA WEWE MBONA YEYE AMEJENGEWA BURE KABISA NA MIJUMBA KIBAO HATA HIVYO SIYO WAJENGEWE BURE KUNA KUWA NA UTARATIBU WA KUCHAGIA WA MASHARTI NAFUU KABISA , TENA BASI TUNASEMA UKARABATI TU !!!!! WHY NOT BHANNA!???
Mkuu,mimi nimeongelea kutoa Zaka na sio matumizi ya hizo Zaka.Sasa kutoa zaka zinatolewa kwa kujengea watu mwenye nguvu za kufanya kazi nyumba?
Ndugu, kutoa ni moyo! Na pia tujue yeye si tajiri, ni hisani ya WaTz tu kwa ujuha wetu ndio tunawamwagia hizo pesa wao waishi vizuri.Kashindwa hata kuwajengea za kawaida tu za gharama ndogo na akifanya hivyo hata hapungukiwi
wewe inaonekana ni mnufaika wa URITHI au mboga nane.. SHAME ON YOU!!!!!!Acha ujinga na upumbavu wako ewe zumbukuku. Tabia ya kupenda vya bure itakuja kuwacost wajinga wakubwa nyinyi
Binasfi sijpendekeza wajengewe , kama ikimpendeza anaweza kutoa mkopa usio kuwa na masharti kwa kutumia ofisi ya bunge na kwa bahati mbunge mwanae na ni waziri wa nyumba as well!!!!! shida iko wapi sasa? na ukute labda ni mabati tu ....Kwani hao mnao razimisha awajengee wao hawana mikono na nguvu za kutafuta pesa kwa ajili ya kujengea familia zao nyumba mpaka kikwete ahache kushughirika na maisha yake ahanze kuhangaika na maisha ya watu wazima wenye familia zao?
Yaani unajiita mwamaume umeowa una watoto kibao alafu unakaa kusubili kikwete aje akujengee nyumba?
Waafrika ni jamii iliyo jaa majitu mapumbavu na ndio maana imejaa umasikini.
Kwani urais ameupata bure?? Amepambana vya kutosha kuanzia kuspma enzi ya nyerere mpaka pilikapilika za siasa n.k,si ajabu wakati anapambana na shule hao majirani zake walikuwa wanamcheka na kukimbilia kuoa,sasa uzeeni kila mtu anakula alochokipandaKikwete sio mtu kama wewe au mim alikuwa raisi akiamua anaweza na hapungukiwi na chochote kabisa Poa ingekuwa kuwajali watu wake na ingekuwa kumbukumbu nzurii
Kabanduliwe mbele ya safari hukowewe inaonekana ni mnufaika wa URITHI au mboga nane.. SHAME ON YOU!!!!!!
Halafu ukishamjengea nyumba siku inayofuata anaongeza mke[emoji23][emoji23][emoji23]Ungeniambia kitu kama kupeleka maji ,umeme,barabara hapo ninge kuelewa lakini kuhusu kujengewa mpaka nyumba hapo haiingii akilini kabisa .
Yaani mwamaume mzima unajiita lijari badala upambane kuhakikisha familia yako inasonga mbele eti ukae usubilie kujengewa nyumba na kikwete ? aisee.
Wamepambana kupata maendeleo akawazuia?Huyo.mzee ni mshirikina kama siyo mchawi yeye apendi kuona watu wanapata maendeleo anacho penda yeye ni kutukuzwa na kusujudiwa
Kwamba hao ni VARwachawi woote hao wanamlinda