Nimepokea 468,000 akaunti yangu ya CRDB, sijaielewa imetoka wapi

Nimepokea 468,000 akaunti yangu ya CRDB, sijaielewa imetoka wapi

Nahisi kuna account za hiyo bank zina bonus.

Hii case wiki tatu nyuma nilikutana nayo kuna jamaa yangu aliniambia yeye alipokea Tsh 500,000/= kutoka crdb na toka afungue hiyo acc hakuwahi kumpa yeyote namba useme muamala ulitoka kwa mtu.
 
Sijui ni ushamba au Mimi ndio sielewi, sikuingia kwenye app yangu ya crdb takribani mwezi mzima, Leo nikasema niingie ninunue vocha, kabla ya kununua vocha nikaona niangalie salio Kwanza, hapo nikakuta ongezeko la kiasi cha 468,000 imeongezeka kwenye kiasi kilichokuepo mwanzo.

Nikasema niende kwenye history fupi ya muamala nione imetoka wapi hapo nikaona June 30 nilipokea 468,000 kutoka CREDIT INTEREST AP, baada ya kuangia hicho kiasi mda mfupi ikakatwa 46,000 ya WITHHOLDING TAX.

sasa sijaelewa hapo wazee wengine tulikimbia umande
Mkopo huo mkuu 😅😅😅.
Kimbia!!
 
Hii inaweza kukuletea shida.
Kama hela zipo ndani ya uwezo, najikopesha tutamalizana mfano laki 5 au million ambazo zinafanana fanana na savings zangu, shida mzigo umeingia 5 million and above, hapo mapema najisalimisha maana amount hiyo lazima itakuwa na sababu na lazima itahitaji viambanisho kwanini imeingia kwako
 
Sijui ni ushamba au Mimi ndio sielewi, sikuingia kwenye app yangu ya crdb takribani mwezi mzima, Leo nikasema niingie ninunue vocha, kabla ya kununua vocha nikaona niangalie salio Kwanza, hapo nikakuta ongezeko la kiasi cha 468,000 imeongezeka kwenye kiasi kilichokuepo mwanzo.

Nikasema niende kwenye history fupi ya muamala nione imetoka wapi hapo nikaona June 30 nilipokea 468,000 kutoka CREDIT INTEREST AP, baada ya kuangia hicho kiasi mda mfupi ikakatwa 46,000 ya WITHHOLDING TAX.

sasa sijaelewa hapo wazee wengine tulikimbia umande
😀😀bilashaka umekopeshwa bila kujua nenda kawaulize kwenye tawi lililo karibu nawe,upate ufafanuzi
 
Hii inaweza kukuletea shida.

Sidhani mkuu...

Endapo mtu aliyeiweka akitoa malalamiko, wanachofanya benki ni kufreeze akaunti yako ili uende nawe kulalamika kuwa huwezi kuifikia akaunti yako...

Watakupa sababu na mtaafikiana namna ya kuirejesha hiyo pesa, kwa mkupuo mmoja au kidogo kidogo, uzembe upo kwa mtumaji na ndio maana benki hutoa elimu ya mtu kuhakiki tarakimu za akaunti pindi unapotuma pesa...

Mathalani si unaona walioingiziwa mkwanja na mzee Ruge wala hawakuingia matatani, pesa waliitafuna na hadi leo wapo kitaa...
 
Sijui ni ushamba au Mimi ndio sielewi, sikuingia kwenye app yangu ya crdb takribani mwezi mzima, Leo nikasema niingie ninunue vocha, kabla ya kununua vocha nikaona niangalie salio Kwanza, hapo nikakuta ongezeko la kiasi cha 468,000 imeongezeka kwenye kiasi kilichokuepo mwanzo.

Nikasema niende kwenye history fupi ya muamala nione imetoka wapi hapo nikaona June 30 nilipokea 468,000 kutoka CREDIT INTEREST AP, baada ya kuangia hicho kiasi mda mfupi ikakatwa 46,000 ya WITHHOLDING TAX.

sasa sijaelewa hapo wazee wengine tulikimbia umande
Aina gani ya akaunt mkuu?
 
Hahahaha sijaelewa ujue tena imenikuta wakat Nina shida na kama 500k hiv
Niliwahi kukutana na kisa kama hicho kwa NMB ilikuwa mwaka 2017.
Nimeenda kutoa pesa, nikaona ongezeko la 940,000/= sikujali nikajisemea nitakuwa nilisahau mwenyewe salio la mwisho.
Maisha yakaendelea, baada ya kama miezi 5 hivi, naenda ATM kutoa pesa, naambiwa hakuna pesa.
I mean kiwango nilichotaka hakikuweza kutoka kucheki balance nina 400k.

Nilivyoenda dirishani wakaniambia kuna muamala uliwekwa kwenye Akaunti yako kimakosa, tena ilikuwa ni check deposit.
 
Sidhani mkuu...

Endapo mtu aliyeiweka akitoa malalamiko, wanachofanya benki ni kufreeze akaunti yako ili uende nawe kulalamika kuwa huwezi kuifikia akaunti yako...

Watakupa sababu na mtaafikiana namna ya kuirejesha hiyo pesa, kwa mkupuo mmoja au kidogo kidogo, uzembe upo kwa mtumaji na ndio maana benki hutoa elimu ya mtu kuhakiki tarakimu za akaunti pindi unapotuma pesa...

Mathalani si unaona walioingiziwa mkwanja na mzee Ruge wala hawakuingia matatani, pesa waliitafuna na hadi leo wapo kitaa...
NMB walichukua kwangu bila hata taarifa, tena baada ya miezi mingi sana kupita, nilikuwa nimeshasahau kabisa.
Mchawi bank statement yao, utasemaje wakati ni kweli waliweka kimakosa na wamechukua kile kile walichoweka?
 
Hii inaweza kukuletea shida.
Mi mbona napokea na watu wengi wamepokea , kipind nikiwa chuo pesa iliingia milion 1 mpaka leo nikaitumia , hizi anazosema nipokea sana mwaka juzi nilipokea 300k mwezi wa 7 na 12 , mwaka jana kama kawa .

Mwaka huu nimelamba 635,000 trh 30 then wakakata 35k kama makato yao .
 
Nahisi kuna account za hiyo bank zina bonus.

Hii case wiki tatu nyuma nilikutana nayo kuna jamaa yangu aliniambia yeye alipokea Tsh 500,000/= kutoka crdb na toka afungue hiyo acc hakuwahi kumpa yeyote namba useme muamala ulitoka kwa mtu.
Lazima awe na 8 digits balance , 10mil na kuendelea kuna kipind nilikuwa napata 35k ila sasa laki sita nusu mwaka , mwezi wa 12 mwaka jana nilikuwa million 1 na ushee.
 
Back
Top Bottom