steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Daah,hujamuacha fresh kabisa.Alitakuwa ajue kosa lake lisijirudie tenaDaa umetaja jina Chausiku moyo unestuka mwanamke tumeachana bila kugombana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah,hujamuacha fresh kabisa.Alitakuwa ajue kosa lake lisijirudie tenaDaa umetaja jina Chausiku moyo unestuka mwanamke tumeachana bila kugombana
Maiti og kabisaUna akili timamu kweli mzee unauliza pesa imetoka wapi kweli watanzania ni maiti
Wabongo wana njaa kali. Hawanaga muda wa kujiuliza. Majuto ni mjukuuNdio nilichosema. Ruge aliwapa wale watu kwa ridhaa yake. Mada hii ni hela imeingia kimakosa kwenye akaunti ya mhusika. Hela ikiingia kwako kimakosa ni vizuri uwaulize bank nini kinaendelea, ukiitumia inaweza kukuletea shida. Chukulia mfano hela ya wizi imechepushwa wakakosea akaunti ikaingia kwako na wewe ukaitumia si unaonekana unahusika na umelipwa?
Angalia siku wakitaka kuja kurudisha pesa yao na ukawa huna kitu.Sometimes bank wanaamua kutu bless wateja wao Kwangu iliingia laki 8 kwenye account haieleweki imetoka wapi nikawauliza wadau wakaniambia eti ni watu wa IT WA bank husika wanaiba Kwa mtindo huo wanaingiza hela kisha wanaitoa,sasa huwa wanajisahau kuzitoa/wanasahau account no.waliyoweka!!
Hawajakata hadi Leo
Kuna siku tena nilitoa hela kwenye ATM salio halikupungua mwaka sasa!!! Wabarikiwe Sana wezi wote WA bank kama ni kweli lakini!!
Kama najiona nitakavyo panic wakikata laki 8 yangu wakati yao nishakula😀😀😀😀Angalia siku wakitaka kuja kurudisha pesa yao na ukawa huna kitu.
Wataichukua in kind.....
Hiyo itakua kesi mpya, maana Mimi sikuomba mtu aniwekee hela kwenye accountAngalia siku wakitaka kuja kurudisha pesa yao na ukawa huna kitu.
Wataichukua in kind.....
Ndio ziingie kwenye account yangu na sijawah kukopa?Hizo zimetoka kwa wakopeshaji wa hizi microfinance nyonya damu.
Be careful, wanawaza kukomba mpaka sumni ya mwisho
Tupo pamojaNi pale tu hela ikipungua kwenye akaunti pasipo mimi kuitoa ndio huwa nashtuka...
Ila mpunga ukiingia na nisijue ulipotoka, nitaupukutisha wote...
Yeye ndio kaniacha kisa tu siku ya idd aliniomba hela anunue kuku nikamwambia Sina hela hajanipigia mpaka leoDaah,hujamuacha fresh kabisa.Alitakuwa ajue kosa lake lisijirudie tena