The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Watu mnachezea sana bahati yaani unapata na Mda wa kuisikilizia yaani Kwa ujinga wanaoufanya ccm bado unasikilizia laki 7 aisee we kweli boya umenitia hasira mbwa wewekuna siku nimeingiziwa laki 7 nikaskilizia siku tatu labda nitapokea simu yoyote naona hola wiki hola nikatoa laki nikashenyenta simu hola nikatoa laki nikala baada ya mwezi napigiwa simu ile hela ilitumwa kimakosa na ilikua ni ada ya chuo ya dogo mmoja hivi.
Bahati nzuri nilitafuna laki mbili tu wakapiga pin 500k then ilipoingia salary wakapiga pin 200k
Nimekupata ni hii savings account ila lazima iwe na pesa zaidi ya 10M++....Lazima awe na 8 digits balance , 10mil na kuendelea kuna kipind nilikuwa napata 35k ila sasa laki sita nusu mwaka , mwezi wa 12 mwaka jana nilikuwa million 1 na ushee.
Safiri nenda mikoani wasije wakakuona, kaa huko miezi sita kisha urudi.Sijui ni ushamba au mimi ndio sielewi, sikuingia kwenye app yangu ya CRDB takribani mwezi mzima, Leo nikasema niingie ninunue vocha, kabla ya kununua vocha nikaona niangalie salio Kwanza, hapo nikakuta ongezeko la kiasi cha 468,000 imeongezeka kwenye kiasi kilichokuwepo mwanzo.
Nikasema niende kwenye history fupi ya muamala nione imetoka wapi hapo nikaona June 30 nilipokea 468,000 kutoka CREDIT INTEREST AP, baada ya kuangia hicho kiasi muda mfupi ikakatwa 46,000 ya WITHHOLDING TAX.
Sasa sijaelewa hapo wazee wengine tulikimbia umande
Ukiwa na pesa ndefu ndio unapata kuanzia laki , hizi nyingine unaweza kupata 30k , 20k ,10kNimekupata ni hii savings account ila lazima iwe na pesa zaidi ya 10M++....
Hii aliwalipa,hakukosea kuingiza huko.
Mgao wa DPW huo mjomba,katambe na Chausiku wako
NMB walichukua kwangu bila hata taarifa, tena baada ya miezi mingi sana kupita, nilikuwa nimeshasahau kabisa.
Mchawi bank statement yao, utasemaje wakati ni kweli waliweka kimakosa na wamechukua kile kile walichoweka?
Ndio nilichosema. Ruge aliwapa wale watu kwa ridhaa yake. Mada hii ni hela imeingia kimakosa kwenye akaunti ya mhusika. Hela ikiingia kwako kimakosa ni vizuri uwaulize bank nini kinaendelea, ukiitumia inaweza kukuletea shida. Chukulia mfano hela ya wizi imechepushwa wakakosea akaunti ikaingia kwako na wewe ukaitumia si unaonekana unahusika na umelipwa?Ilitajwa kama ni zawadi tu ile mkuu (sadaka), ndio maana hata wenye mamlaka hawakuwa na hoja ya namna ya kuianzishia kesi, hayakuwa malipo wala mgao wa hisa...
Mara nyingi kupokea pesa huwa shida kama chanzo chake ni shida, mathalani utakatishaji, ugaidi n.k
Inawezekana, maana ina 15m+Wanawalipa interest wateja kulingana na balance ya pesa uliyoweka kwenye account yako kwa mwaka mzima, saving account.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa mafao
SawqNenda kazitoe halafu uzipeleke police.