[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ingekuwa mimi watanikuta bar kwa maelezo zaidi... tena watanikuta nipo na pisi kali wakiniona tu wanajua huyu kenge kesha zitafuna zote hana hata mia!
Basi inawezekana, Mimi 468k,Nahisi kuna account za hiyo bank zina bonus.
Hii case wiki tatu nyuma nilikutana nayo kuna jamaa yangu aliniambia yeye alipokea Tsh 500,000/= kutoka crdb na toka afungue hiyo acc hakuwahi kumpa yeyote namba useme muamala ulitoka kwa mtu.
Itakua bonus etMwaka jana mwezi wa 12 nilipata mil 1 na kitu , juzi trh 30 kama wewe nimepta 635,000
🤣🤣🤣Kama hela zipo ndani ya uwezo, najikopesha tutamalizana mfano laki 5 au million ambazo zinafanana fanana na savings zangu, shida mzigo umeingia 5 million and above, hapo mapema najisalimisha maana amount hiyo lazima itakuwa na sababu na lazima itahitaji viambanisho kwanini imeingia kwako
Kwahyo inawezekana wamekosea??, Nitakuja tuuNiliwahi kukutana na kisa kama hicho kwa NMB ilikuwa mwaka 2017.
Nimeenda kutoa pesa, nikaona ongezeko la 940,000/= sikujali nikajisemea nitakuwa nilisahau mwenyewe salio la mwisho.
Maisha yakaendelea, baada ya kama miezi 5 hivi, naenda ATM kutoa pesa, naambiwa hakuna pesa.
I mean kiwango nilichotaka hakikuweza kutoka kucheki balance nina 400k.
Nilivyoenda dirishani wakaniambia kuna muamala uliwekwa kwenye Akaunti yako kimakosa, tena ilikuwa ni check deposit.
Aina gani ya akaunt mkuu?CRDB Savings account
Nipe form nijazeHela imetoka kwetu sisi Freemasons,
Sasa subiri utumiwe fomu ya kujiunga rasmi ili uijaze,
Kisha utatumiwa na hela zingine.
Kumbekuna siku nimeingiziwa laki 7 nikaskilizia siku tatu labda nitapokea simu yoyote naona hola wiki hola nikatoa laki nikashenyenta simu hola nikatoa laki nikala baada ya mwezi napigiwa simu ile hela ilitumwa kimakosa na ilikua ni ada ya chuo ya dogo mmoja hivi.
Bahati nzuri nilitafuna laki mbili tu wakapiga pin 500k then ilipoingia salary wakapiga pin 200k
USIOE KAMA SIO BIKRASijui ni ushamba au mimi ndio sielewi, sikuingia kwenye app yangu ya CRDB takribani mwezi mzima, Leo nikasema niingie ninunue vocha, kabla ya kununua vocha nikaona niangalie salio Kwanza, hapo nikakuta ongezeko la kiasi cha 468,000 imeongezeka kwenye kiasi kilichokuwepo mwanzo.
Nikasema niende kwenye history fupi ya muamala nione imetoka wapi hapo nikaona June 30 nilipokea 468,000 kutoka CREDIT INTEREST AP, baada ya kuangia hicho kiasi muda mfupi ikakatwa 46,000 ya WITHHOLDING TAX.
Sasa sijaelewa hapo wazee wengine tulikimbia umande
Hii inawezekanaNahisi kuna account za hiyo bank zina bonus.
Hii case wiki tatu nyuma nilikutana nayo kuna jamaa yangu aliniambia yeye alipokea Tsh 500,000/= kutoka crdb na toka afungue hiyo acc hakuwahi kumpa yeyote namba useme muamala ulitoka kwa mtu.
Yaani ni kwamba nilijua tu lazima wangenirudia tu no free lunch jasho la mtu liheshimiweWatu mnachezea sana bahati yaani unapata na Mda wa kuisikilizia yaani Kwa ujinga wanaoufanya ccm bado unasikilizia laki 7 aisee we kweli boya umenitia hasira mbwa wewe
Hamna cha jasho la mtu Wala nini ccm inakula jasho la fukara ambaye hata shilingi mia 500 kuipata shida sembuse huyo wa laki 7 na ukute ndio hao hao ccm kiufupi wewe ni bwege tuvubgekua kweli unajua jasho la mtu usingeitumia hiyo laki 2Yaani ni kwamba nilijua tu lazima wangenirudia tu no free lunch jasho la mtu liheshimiwe
Hakuna noma mwaisa hata hao ccm wewe wanakuona bwege tuHamna cha jasho la mtu Wala nini ccm inakuka jasho la fukara ambaye hata shilingi mia 500 kuipata shida sembuse huyo wa laki 7 na ukute ndio hao hao ccm kiufupi wewe ni bwege tu
OkayHakuna noma mwaisa
Labda dividends kama una shares kwenye makampuni.Sijui ni ushamba au mimi ndio sielewi, sikuingia kwenye app yangu ya CRDB takribani mwezi mzima, Leo nikasema niingie ninunue vocha, kabla ya kununua vocha nikaona niangalie salio Kwanza, hapo nikakuta ongezeko la kiasi cha 468,000 imeongezeka kwenye kiasi kilichokuwepo mwanzo.
Nikasema niende kwenye history fupi ya muamala nione imetoka wapi hapo nikaona June 30 nilipokea 468,000 kutoka CREDIT INTEREST AP, baada ya kuangia hicho kiasi muda mfupi ikakatwa 46,000 ya WITHHOLDING TAX.
Sasa sijaelewa hapo wazee wengine tulikimbia umande
Na isitoshe ilikuwa Akaunti inayopita Mshahara....Usingekuwa na namna ya kukwepa kulipa hiyo hela..Yaani ni kwamba nilijua tu lazima wangenirudia tu no free lunch jasho la mtu liheshimiwe
AiseeSometimes bank wanaamua kutu bless wateja wao Kwangu iliingia laki 8 kwenye account haieleweki imetoka wapi nikawauliza wadau wakaniambia eti ni watu wa IT WA bank husika wanaiba Kwa mtindo huo wanaingiza hela kisha wanaitoa,sasa huwa wanajisahau kuzitoa/wanasahau account no.waliyoweka!!
Hawajakata hadi Leo
Kuna siku tena nilitoa hela kwenye ATM salio halikupungua mwaka sasa!!! Wabarikiwe Sana wezi wote WA bank kama ni kweli lakini!!
Inyakatue yote. Tena kwa sababu umesema ww sio mtumishi wa uma. Nenda kafungue akaunti benki nyingineSijui ni ushamba au mimi ndio sielewi, sikuingia kwenye app yangu ya CRDB takribani mwezi mzima, Leo nikasema niingie ninunue vocha, kabla ya kununua vocha nikaona niangalie salio Kwanza, hapo nikakuta ongezeko la kiasi cha 468,000 imeongezeka kwenye kiasi kilichokuwepo mwanzo.
Nikasema niende kwenye history fupi ya muamala nione imetoka wapi hapo nikaona June 30 nilipokea 468,000 kutoka CREDIT INTEREST AP, baada ya kuangia hicho kiasi muda mfupi ikakatwa 46,000 ya WITHHOLDING TAX.
Sasa sijaelewa hapo wazee wengine tulikimbia umande