Nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ma ex zangu baada ya kumpost my wife kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii.

Nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ma ex zangu baada ya kumpost my wife kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii.

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Habari zenu watanzania bara wenzangu.
Nimeoa miaka mitatu iliyopita,ila bahati nzuri au mbaya nilikua vizuri kifedha kwa wakati huo hivyo sikutaka kuchangisha mtu pesa,hivyo shughuli ya sherehe ya harusi ilifanyikia huko Bush kwetu,watu walikula,kunywa na kusaza( si mnajua maisha ya Bush tena )so budget yangu ya 3m niliyokua nayo ilitosha kabisa kuwafurahisha wanakijiji wenzangu mpaka leo wananichukulia kuwa ni miongoni mwa mafogo hapa dunian kumbe choka mbaya tu.
So during all that time sikuwahi kumpost wife kwenye mitandao ya kijamii,sasa bana leo nikasema ngoja nimpost wife kwenye birthday yake then nikaandika tu "happy birthday my sweet wife"
Aisee nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ex zangu mpaka aibu.
Je nifanyeje wakuu?
 
Habari zenu watanzania bara wenzangu.
Nimeoa miaka mitatu iliyopita,ila bahati nzuri au mbaya nilikua vizuri kifedha kwa wakati huo hivyo sikutaka kuchangisha mtu pesa,hivyo shughuli ya sherehe ya harusi ilifanyikia huko Bush kwetu,watu walikula,kunywa na kusaza( si mnajua maisha ya Bush tena )so budget yangu ya 3m niliyokua nayo ilitosha kabisa kuwafurahisha wanakijiji wenzangu mpaka leo wananichukulia kuwa ni miongoni mwa mafogo hapa dunian kumbe choka mbaya tu.
So during all that time sikuwahi kumpost wife kwenye mitandao ya kijamii,sasa bana leo nikasema ngoja nimpost wife kwenye birthday yake then nikaandika tu "happy birthday my sweet wife"
Aisee nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ex zangu mpaka aibu.
Je nifanyeje wakuu?
Ka jinga vile, block comments au futa post
 
Habari zenu watanzania bara wenzangu.
Nimeoa miaka mitatu iliyopita,ila bahati nzuri au mbaya nilikua vizuri kifedha kwa wakati huo hivyo sikutaka kuchangisha mtu pesa,hivyo shughuli ya sherehe ya harusi ilifanyikia huko Bush kwetu,watu walikula,kunywa na kusaza( si mnajua maisha ya Bush tena )so budget yangu ya 3m niliyokua nayo ilitosha kabisa kuwafurahisha wanakijiji wenzangu mpaka leo wananichukulia kuwa ni miongoni mwa mafogo hapa dunian kumbe choka mbaya tu.
So during all that time sikuwahi kumpost wife kwenye mitandao ya kijamii,sasa bana leo nikasema ngoja nimpost wife kwenye birthday yake then nikaandika tu "happy birthday my sweet wife"
Aisee nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ex zangu mpaka aibu.
Je nifanyeje wakuu?
Umepost kwenye mtandao gani na unatumia jina gani twende tukamu-wish?
 
Asa kama hapa jukwaani hujayapost hayo matusi na victims waliotukanwa na kutukana,huko mahakamani nikikushauri uende utakua na evidence yoyote au ni kuisumbua mahakama bure tu?
 
Habari zenu watanzania bara wenzangu.
Nimeoa miaka mitatu iliyopita,ila bahati nzuri au mbaya nilikua vizuri kifedha kwa wakati huo hivyo sikutaka kuchangisha mtu pesa,hivyo shughuli ya sherehe ya harusi ilifanyikia huko Bush kwetu,watu walikula,kunywa na kusaza( si mnajua maisha ya Bush tena )so budget yangu ya 3m niliyokua nayo ilitosha kabisa kuwafurahisha wanakijiji wenzangu mpaka leo wananichukulia kuwa ni miongoni mwa mafogo hapa dunian kumbe choka mbaya tu.
So during all that time sikuwahi kumpost wife kwenye mitandao ya kijamii,sasa bana leo nikasema ngoja nimpost wife kwenye birthday yake then nikaandika tu "happy birthday my sweet wife"
Aisee nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ex zangu mpaka aibu.
Je nifanyeje wakuu?

Ex wanakuumizaje kichwa?
 
Yeye akikupost,mahawara zake wana react vipi?
 
KWANN BADO UNA WASILIANA NA EX WAKO!!!!?HAPO NDIO ULIFANYA MAKOSA MIMI SIWASILIANI NA EX WANGU HATA MMOJA ILA NISHAPISHANA NAO MARA NYINGI TUKASALIMIANA. NA KILA MTU AKAENDELEA NA MAMBO YAKE SO USISHANGAE MKUU CHANZO NI WEWE MWENYEWE
 
1. Unatembea na wanawake wasiojielewa ambao wanatukana ovyo.

2. Humuheshimu mkeo sababu bado unakaa na namba za wanawake ambao ni ex zako. Unatarajia mtakuja kuwasiliana mzingumze nini??
 
Habari zenu watanzania bara wenzangu.
Nimeoa miaka mitatu iliyopita,ila bahati nzuri au mbaya nilikua vizuri kifedha kwa wakati huo hivyo sikutaka kuchangisha mtu pesa,hivyo shughuli ya sherehe ya harusi ilifanyikia huko Bush kwetu,watu walikula,kunywa na kusaza( si mnajua maisha ya Bush tena )so budget yangu ya 3m niliyokua nayo ilitosha kabisa kuwafurahisha wanakijiji wenzangu mpaka leo wananichukulia kuwa ni miongoni mwa mafogo hapa dunian kumbe choka mbaya tu.
So during all that time sikuwahi kumpost wife kwenye mitandao ya kijamii,sasa bana leo nikasema ngoja nimpost wife kwenye birthday yake then nikaandika tu "happy birthday my sweet wife"
Aisee nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ex zangu mpaka aibu.
Je nifanyeje wakuu?
Una dalili za sonona
 
Back
Top Bottom