Nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ma ex zangu baada ya kumpost my wife kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii.

Nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ma ex zangu baada ya kumpost my wife kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii.

Mwambie nayeye akupost kwake afu uone itakuaje
Wanaume hatuna kinyaa. Angalia wanawake ambao connection zao huvuja wanakuwaje maarufu kwa wanaume, kila mmoja akitaka kujaribu bahati yake na yeye.

Akipostiwa yeye sana sana atafungua njia ya wakware kurudi kwa kujifanya kumwambia jamaa anafaidi na bi mama kupewa sifa za uongo na kweli akitahamaki masela washafanya yao.
 
Haya mambo ya ku publicise private life hasa ndoa hua sio poa.
Kikupacho furaha kifanye siri.Binadamu husda nyingi.

Halaf unajikuta wewe ndio unampeeenda huyu wife ako kumbe wahuni wanakuchora tuu maana wanampasua mpaka kuvuka mpaka sometimes.Kama mwanaume acha ujinga jinga huo.
 
Mkuu kwani ni lazima um-post wife wako huko? Hasa km unajua kuna watakaokereka au utakerwa!

Ila si yatapita tu ukivumilia kwani watakufanyaje?
 
Hahaaaaa mecheka kimaaiharaaa.....wamejithaminisha wakaona your wife hafui dafu kwaooooo, walijua umewowaa demu mkalii wa maanaa kumbeee....mtarimbo umelala doro
 
Hebu weka picha ya wife mkuu usipotukanwa na wanaJf ujue ni Wivu tu wa ma x wako
 
Habari zenu watanzania bara wenzangu.
Nimeoa miaka mitatu iliyopita,ila bahati nzuri au mbaya nilikua vizuri kifedha kwa wakati huo hivyo sikutaka kuchangisha mtu pesa,hivyo shughuli ya sherehe ya harusi ilifanyikia huko Bush kwetu,watu walikula,kunywa na kusaza( si mnajua maisha ya Bush tena )so budget yangu ya 3m niliyokua nayo ilitosha kabisa kuwafurahisha wanakijiji wenzangu mpaka leo wananichukulia kuwa ni miongoni mwa mafogo hapa dunian kumbe choka mbaya tu.
So during all that time sikuwahi kumpost wife kwenye mitandao ya kijamii,sasa bana leo nikasema ngoja nimpost wife kwenye birthday yake then nikaandika tu "happy birthday my sweet wife"
Aisee nimepokea matusi ya nguoni kutoka kwa ex zangu mpaka aibu.
Je nifanyeje wakuu?
Post hao ma ex
 
Back
Top Bottom