Kumbe na jf upo?,nilthan fb tuJuzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.
Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba.
wewe nani?Kumbe na jf upo?,nilthan fb tu
si akutumie hella mkuu uende kuliko kuuza sofa[emoji23][emoji23]Mimi alikuja mwarabu nkahisi scammer tuna miez 6 sasa mtoto wa watu mdogo yule ngoja niuze masofa nkale mbususu tunis
wewe nani?
πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£wewe nani?
[emoji120]Wenzio wameongea kabisa kwa video call wakaona ni kweli mzungu mwisho wa picha wakapigwa na kitu kizito.
Hujasikia wazungu walikamatwa TZ wakifanya cyber crime kwenye ATM za bank?
Hao wahuni wanaweza kuwa wazungu peke yao au wanashirikiana na waafrika.
Wake up mkuu!
kwelo aise nikipiga anasema yupo busy nimpigie mara kidogo ananichatishaHilo ni genge la midume ya Nigeria, Ghana na Kenya kwa pamoja. Wanatumia namba za ulaya na picha za wanawake wa kizungu. Ukitaka kama kakupa.namba ya WhatsApp piga Whatsapp call ndio utacheka wanajisahau Lile li kiingereza libovu la west Africa la kuweka O! Mwishoni au Ogaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] au ndo ww tapeli la fb[emoji3][emoji3][emoji51][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kwa kuwa umeshamjua jifanye fala nenda naye mpaka mwisho na Kila hatua uwe unaweka hapakwelo aise nikipiga anasema yupo busy nimpigie mara kidogo ananichatisha
siyo hivyo namchora tu nina ndugu yangu yupo bara la Asia anasoma ndo yupo huko kwa wazungu ila hajawahi pata bahati kama hii nilijiuza sana nikajua tu hili tapeli nikaona ngoja niandike uzikwa hiyo akili huoni kama unalikosea adabu jina la 'wakili msomi'..??
Binti wa chuo anapata wapi hizo helasi akutumie hella mkuu uende kuliko kuuza sofa[emoji23][emoji23]
Unakaribia kupigwa na wahuni wa mitandaoni.
Haaaaa we nitibue nitoe Siri ππππ[emoji23][emoji23][emoji23] au ndo ww tapeli la fb[emoji3][emoji3][emoji51]
ahaaa sawa kwahiyo huyo ulipata kupitia mtandao gani mkuu?Binti wa chuo anapata wapi hizo hela
[emoji23][emoji23][emoji23]Haaaaa we nitibue nitoe Siri [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safi sana mkuu. wanajikuta wajanja sanaMimi nana WhatsApp mbili moja natumia namba ya Tz moja Kenya Sasa datail zangu za Fb nimewekaga tz. Waliniomba urafiki tukachat akaomba namba ya WhatsApp nikampa ya Kenya nikamwambia mimi nipo Kenya baada ya siku mbili akanitumia air ticket ikionyesha Kuna pasel yangu imetumwa tz KIA maana ndege hiwezi fika Kenya Kuna emergency so wakasema nitume Ela ili pasel isafirishwe Tena kuja Kesha niipoke nilivyo muhuni na mm nikawaambia nipo Tz na picha ya uwanja wa ndege nikawatumia nikawaaambia nimeshasafi toka Kenya kufata mzigo wangu Tz wakanilamba block
[emoji120]Nitashangaa kama upo over 23 na unataka kupigwa kipumbavu namna hiyo.
Wamehama kwenye email now wapo Facebook....asante
Wajinga hawaishi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ukiwa fala unalizwa Kama kinanda Cha kanisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safi sana mkuu. wanajikuta wajanja sana