Wakilimsomitz
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 134
- 208
mwambie anishtue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji631]Carleen nakuona kwa mbalii unam-zoom wakili msomi anataka kula za uso haumshitui.
Muonee huruma japo kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambie anishtue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji631]Carleen nakuona kwa mbalii unam-zoom wakili msomi anataka kula za uso haumshitui.
Muonee huruma japo kidogo.
Mtu yuko Lagos Nigeria chini ya mti unajua mzungu na unasubiri zawdiJuzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.
Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba.
Alinidm mwenyew mkuuahaaa sawa kwahiyo huyo ulipata kupitia mtandao gani mkuu?
Bila shaka umetumiwa oicha kama hizi;
View attachment 2680797View attachment 2680798View attachment 2680799View attachment 2680800View attachment 2680801View attachment 2680802View attachment 2680803View attachment 2680804View attachment 2680805View attachment 2680806View attachment 2680807View attachment 2680808View attachment 2680809View attachment 2680811View attachment 2680812View attachment 2680813
mkuu amenichek WhatsApp code number ni +1
Ushukuru umelileta jf kwa uandishi wako wewe tuu ungeingia mkenge! Acha upenda vua bure piga kazi piga kaziakiniambia nitume hella namkacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji51]Ushukuru umelileta jf kwa uandishi wako wewe tuu ungeingia mkenge! Acha upenda vua bure piga kazi piga kazi
powa ukienda then ukirudi tz lete mrejesho ni tag mkuuAlinidm mwenyew mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wale wa telegram akanchek nikamwambia nipo South
Akanambia You are beautiful
Nkamjibu You meant handsome [emoji28] you fvcking yahoo boy
Nkaona nmekula block
YAN JAMAA LILISAHAU KAMA LINAJIDAI NI LA KIKE
Kila mtu kakusanua ili usitapeliwe , ila mimi nakushauri komaa na mzungu upate zawadi zako, kuna mda ili ulijue jambo kiundani zaid inabidi uwe kwenye field area kabsa , ukiambiwa kwa mdomo ukaacha hautajua yupi ni mkweli kati ya wanazengo au mzungu wa fb , mwisho wa sku utakuja kupigwa kivingne.Juzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.
Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba.
sawa nitaleta mrejesho.Kila mtu kakusanua ili usitapeliwe , ila mimi nakushauri komaa na mzungu upate zawadi zako, kuna mda ili ulijue jambo kiundani zaid inabidi uwe kwenye field area kabsa , ukiambiwa kwa mdomo ukaacha hautajua yupi ni mkweli kati ya wanazengo au mzungu wa fb , mwisho wa sku utakuja kupigwa kivingne.
Huyo yupo Tunis kambi ya wakimbiziii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi alikuja mwarabu nkahisi scammer tuna miez 6 sasa mtoto wa watu mdogo yule ngoja niuze masofa nkale mbususu tunis
Yupo algers hosp ni nutritionist mkuuHuyo yupo Tunis kambi ya wakimbiziii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakazia hapa tena sio pisi ya kizungu. Anapigwa na mbongo au mkenya soon.Unakaribia kupigwa na wahuni wa mitandaoni.
Scammers wapoJuzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.
Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba.