Ubarikiwe mkuuCHIZI VITABU pole sana kwa masahibu unayopitia,naweka hapo chini namba ya simu ni doctor wa Kikorea nasikia anatibu sana mambo ya viungo hasa mishipa ya fahamu na maradhi ya kupooza(stroke)mimi nimemfahamu kupitia kwa mtu alikuwa anamtibu mkewe kwake.
Mimi pia nina mtihani nina bwana mdogo alikuwa anasumbuliwa sana na maumivu ya kichwa na mwili kupooza upande mmoja nikampeleka maumivu yamemuisha ila tatizo kichwani anasumbulia na kelele asizojua zinatoka wapi,ni gharama sana kama utaweza ku-afford nakuomba ukajaribu huko
Pole sana Mungu akusaidie 065-436-3501
Pole sana kaka. Giza huwa totoro, panapo karibia kukucha. Kila kitu kitakuwa sawa, endelea kuhangaikia tiba.Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Unamkosea mtu heshima yeye anakwambia mwezi wa sita huu hanyanyuki alipokaa wewe unakuja na habari za ajabu ajabu.Pole sana ila dudu inasimama?
Chizi vitabu.Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
AsanteCHIZI VITABU pole sana kwa masahibu unayopitia,naweka hapo chini namba ya simu ni doctor wa Kikorea nasikia anatibu sana mambo ya viungo hasa mishipa ya fahamu na maradhi ya kupooza(stroke)mimi nimemfahamu kupitia kwa mtu alikuwa anamtibu mkewe kwake.
Mimi pia nina mtihani nina bwana mdogo namuuguza alikuwa anasumbuliwa sana na maumivu ya kichwa na mwili kupooza upande mmoja nikampeleka kwa huyu doctor dawa zake zikamsaidia maumivu ya kichwa yamemuisha na kule kupooza kumeacha ila tatizo kichwani anasumbulia na kelele asizojua zinatoka wapi,ni gharama sana kama utaweza ku-afford nakuomba ukajaribu huko
Pole sana Mungu akusaidie 065-436-3501
Hizi hospital kubwa siyo za kuziamini sana nilichogundua madokta huwa hawaendi mbali na jibu linalotoka kwenye kipimo.Usikate tamaa ...utapona...hakikisha unaenda hosp nyinginr kubwa
Sasa iligundulilka ni nini? Pole sanaHizi hospital kubwa siyo za kuziamini sana nilichogundua madokta huwa hawaendi mbali na jibu linalotoka kwenye kipimo.
Mdogo'angu ameumwa mwaka mzima nikazunguka nae hospital kubwa kasoro MNH sikufika akafanyiwa MRI majibu yakatoka hana anachoumwa aliniacha hoi doctor bingwa wa magonjwa ya mishipa pale KCMC aliposoma MRI results na kumhakikishia dogo huku akiwa macho makavu kwamba yupo fit kuliko u-fit wenyewe mwili wake hauonyeshi ishara ya maradhi yoyote lakini anayeambiwa hivyo analalamika maumivu
Sio kweli bwana....atapona ikigundulika shida nn..hijaona ushuhudahuko juuNi ngumu lakini jaribu kukubaliana na hali na kupata matibabu yale ya kukufanya uishi vizuri. Si rahisi kupona kupooza. Mtu ugonjwa ukikufika lazima utajaribu kila aina ya tiba, lakini huko kote kwa kupooza utaambulia dissapointment. Ni vyema akiba yako ukaiweka na kuangalia namna utaishi comfortably.
Loooh! 😃 😀Pole sana ila dudu inasimama?
Dah aisee polee mkuu I feel you
Una ushamba wa ki se. ...nge kama Moderator Ying yang na MelloSion kitu
Chanzo cha kupooza ni nini pole sanaMsaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Pole sana ila dudu inasimama?
Waache baba ujafa ujaumbika mwenyexi mungu ukuponyeMbona wengi mnanidhihaki jamani?
Ndiyo nilimpeleka kwa huyo mkorea tatizo likaonekana kwenye pingili za shingo na mishipa ya fahamu ndo maana akawa kama anapooza upande mmoja wa kulia.Sasa iligundulilka ni nini? Pole sana