Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Usiamini sana shuhuda hizi. Mtu atakwambia fulani alienda kwa fulani akapona, kuna tabibu wa kichina, wa kikorea, Ndodi, Mwamposa, wa kisuna nk nk. Wengi huwa ni wasio na huruma wanaokula pesa za watu wenye matatizo. na ukiwa mgonjwa utajaribu kila kitu kujitibu. Kama hospitali imeshindikana ni ngumu kutibika huko nje.
😀😀 🐖! Nimemla mama yko pale riversideNdio maana umetombewa
Ukitaka kudanga nyuzi za mapenzi zipo, unauza hadi kwa wagonjwa wanaotafuta msaadaNilomuambia kanijibu vyema nyie mnawashwa makalio nin
Niaje umepotea nilimisi comment zako za kufurahisha! Mpopoe huyo 🐕 DejaneUnge mute tu sio lazima uongee vibaya ndio uonekane weewe shupavu,
Ukitaka kudanga nyuzi za mapenzi zipo, unauza hadi kwa wagonjwa wanaotafuta msaada
😀😀 🐖! Nimemla mama yko pale riverside
Mute basi wewe mboni inapenda ligi ya mbuzi mee hivyoAcha nimuuzie ukitaka Nawe muuzie si kawaida yenu siku hizi na nyie mnakata mauno 😜
Mgoni ni baba yko! Nilimkamata 🐕 weNa badooo 😜 vipi ulimkamata mgoni
Stori yako imeishia katikatiHizi hospital kubwa siyo za kuziamini sana nilichogundua madokta huwa hawaendi mbali na jibu linalotoka kwenye kipimo.
Mdogo'angu ameumwa mwaka mzima nikazunguka nae hospital kubwa kasoro MNH sikufika akafanyiwa MRI majibu yakatoka hana anachoumwa aliniacha hoi doctor bingwa wa magonjwa ya mishipa pale KCMC aliposoma MRI results na kumhakikishia dogo huku akiwa macho makavu kwamba yupo fit kuliko u-fit wenyewe mwili wake hauonyeshi ishara ya maradhi yoyote lakini anayeambiwa hivyo analalamika maumivu
Umepinga mpaka umesahau kushauri.Usiamini sana shuhuda hizi. Mtu atakwambia fulani alienda kwa fulani akapona, kuna tabibu wa kichina, wa kikorea, Ndodi, Mwamposa, wa kisuna nk nk. Wengi huwa ni wasio na huruma wanaokula pesa za watu wenye matatizo. na ukiwa mgonjwa utajaribu kila kitu kujitibu. Kama hospitali imeshindikana ni ngumu kutibika huko nje.
Una uhuru wa kuuliza lakini hebu kuwa na sympathy kwa mgonjwa basi. JamiiForums futeni hii comment. It's a bit unfair and degrading to the man.Pole sana ila dudu inasimama?
Huu ushauri mkuu CHIZI VITABU usiufuate. Huwezi kuwa unaugua eti ufungulie TV uangalie kisha upone. It's unthinkable man.Angalia emmanuel.tv then ulete mrejesho hapa. Ni Chanel number 390 dstv au utapata kwenye free chanels za madishi makubwa
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Unfortunately nisamehe siyo msimuliaji mzuri,naomba kama unaweza kuniuliza unataka kujua hasa nini na nini kuhusu hii story ili nijaribu ku-share hapa.Stori yako imeishia katikati
Pole sanaMsaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Hizi hospital kubwa siyo za kuziamini sana nilichogundua madokta huwa hawaendi mbali na jibu linalotoka kwenye kipimo.
Mdogo'angu ameumwa mwaka mzima nikazunguka nae hospital kubwa kasoro MNH sikufika akafanyiwa MRI majibu yakatoka hana anachoumwa aliniacha hoi doctor bingwa wa magonjwa ya mishipa pale KCMC aliposoma MRI results na kumhakikishia dogo huku akiwa macho makavu kwamba yupo fit kuliko u-fit wenyewe mwili wake hauonyeshi ishara ya maradhi yoyote lakini anayeambiwa hivyo analalamika maumivu