Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali



Mkuu unaishi ulaya au Amerika? Au sio mswahili mwenzetu!?…..ushawahi kuumwa au kuuguza kweli?
 
Stori yako imeishia katikati
 
Umepinga mpaka umesahau kushauri.
 
Angalia emmanuel.tv then ulete mrejesho hapa. Ni Chanel number 390 dstv au utapata kwenye free chanels za madishi makubwa

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Huu ushauri mkuu CHIZI VITABU usiufuate. Huwezi kuwa unaugua eti ufungulie TV uangalie kisha upone. It's unthinkable man.

Nimejaribu kufuatilia swali uliloulizwa kuhusu sababu ya kupooza kwako sijaona ukijibu (sijasoma comments zote). Kama kuna uwezekano unge update uzi wako ukaweka sababu za wewe kuwa na hiyo hali basi ingekuwa rahisi zaidi kupata msaada kwakuwa watu wengine hawawezi ku scroll through all comments.

All in all, nakutakia upate ahueni ya unayopitia mkuu. Usikate tamaa kwakuwa hiyo hali yaweza kumfika kila mwanadamu.
 

Namfahamu dogo mmoja akiwa na umri around miaka 10 alipata a minor accident.

Tembeaji yake ikawa ya shida kupita maelezo kupelekea kufikishwa hospitali. Vipimo vyote MRI, X-ray vilisemekana kutoa majibu kuwa hakuwa na shida yoyote mwilini.

Ilikuwa hadi Consultant Physician - beberu aliyekuwapo alipoamua kuchukua bakora na kutaka kumcharaza kibazazi ndipo dogo alipotimua mbio kuliko mtu mwingine aliyekuwapo hapo, akitokomea kuondoka hospitalini hapo. 🤣🤣

Huo ukawa mwisho wa ugonjwa wa dogo.

Hii mambo ya magonjwa wakati mwingine huwa kuna siri kubwa.

Jeshini wakiita malingering.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…