Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Mkuu wewe unaswali? Samahani kwa swali.unaswali kisha unazini na zinaa ni mbaya sana tumeamrishwa tusiikurubie kabisa maana inaleta ufukara nakushauri oa ikiwa huwezi funga j.3 na alkhamis maana usimchezee muumba wako leo unazini unapata dhambi maana umemkosea muumba wako kisha unaswali upunguza madhambi hakuna kitu kama hicho amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako nchi haina dini ila wananchi wanadini
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.kwa
Kiusalama ni Bora unanunua machangu doa kuliko kupiga punyeto,madhara ya punyeto ni makubwa kuliko sexy orientation ya machangu doa,as long kama unatumia kondomu,kuhusu nini cha kufanya angalia malengo yako na ukiwa na girlfriend ndo gharama zaidi,na usipende kujutia vitu vidogo,only that usiingie mikopo kununua machangudoa,komaa na pesa yako na upunguze frequentlyness na ujue as long mwili uko active hiyo ndo only solution ukitaka familia utajua kwa kwenda ila machangu sio mbaya kwanza naamini hata huwaamini kiviile so uko safe zaidi kwq kutumia kondomu kuepusha kuanzisha familia kijinga.Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Anajishtukia wakati wala CV yake haijaharibika kiviileMalaya 13 au 14 unasema umekuwa malaya?, kuna watu wamekubuhu ww!
We jamaaa bwana😂😂lambalamba wewe acha uoga kikubwa usipate magonjwa
🤣🤣Anajishtukia wakati wala CV yake haijaharibika kiviile
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]we jamaa chengaKijana wa chini ya 25 ndio useme UMEFANIKIWA kukwepa anasa zote?
Basi nkuambie tu BADO HUJASEMA!
Mkuu afu kitu kingine nmegundua una hela sana
Wakati juzi kati nmekutana na malaya bubu
Akanipa ishara
Voda 5000
Tigo 10000
Na ana bonge la mshepuuuu!
Ila sura yake ni kama transfoma la tanesco
We kula mbususu ,hata majilani zako wana yao hawajakwambia tu
Habari!Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Kuswali swala tano hazimfanyi MTU kuwa Mwema!!. Hakuna namna mtu anaswali mara tano kwa siku halafu bado awe na kiu ya zinaa. Hivyo Hata hizo swala tano ni za kutafuta kuonekana
Hali uliyonayo ni sawa na yangu kipindi nina umri huo wa ujana, jambo ambalo unaweza kufanya niHabari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Kwanza ndugu yangu nakuusia na kuiusia nafsi yangu mwenyewe kumcha Allah popote pale tulipo. Kwa dhahiri na siri. Popote tulipo Allah anatuona na chochote tunachokifanya kinadhibitiwa. Na atatulipa kwa tunayoyafanya. Hivyo tumuogope Allah. Madhambi yana athari mbaya hata hapa duniani.Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
OlivaSaidi.Nionyeshe machimbo. Mi nataka kuanza