Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Malaya bhana Nina experience nao sana ,ivi uwa hawapati period?πŸ˜€πŸ˜€ Nilishashuhudia Malaya anakausha damu ya enzi Kisha anaendelea na job,kudeal na Malaya sio issue mwisho ni kubeba magonjwa na mikosi,
 
Haimaanishi Ukisal Hutokosea,nabii Musa Licha Ya Kuwa Nabii Na Kuswal Bado Aliuwa Mtu Hisia Zilimtawala.Ndo Maumbile Ya Bin Adam Yalivyo
Sasa hapo unakua unasali nini, yaabi umetoka msikitini unaenda kuchapa dada poa??

Swala 5 ni kama vile siku nzima unaswali, sasa saa 2 ile umeswali unaenda kunjunja dada poa, nafsi haikusuti aiseee.
 
Kwa sasa ambao sio dada poa hawazidi asilimia 5 ,kuna ambao sio directly na wa directly, wa directly unalipia huduma mnatemana , wale wengne unalipia huduma na matunzo juu, sasa apo kupanga ni kuchagua.
 
Anaeswali na bado anafanya madhambi tena makubwa kabisa basi huyo swala yake haina athari kwake.

Kikubwa hapo ni UOE tu.
 
Yaani wewe mara 2 tu kwa mwezi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndi unalialia et imekushinda kuacha
Yaani mara 2
 
Mkuu wewe unaswali? Samahani kwa swali
namshukuru mungu naswali ila sijakamilika na ninakosea nakubali kuelekezwa
Kama umekiri unakosea basi na mleta mada naye anakosea.

Ninachoamini ukiwa mwanadamu huwezi ishi bila kutenda dhambi
 
Ongeza kuswali, dhuhha..qablia, baadia, tahajud. Soma Qur-an...funga juma3 na alkhamis...toa sadaka.....sema Astaghfirullah kila wakati...mwisho kabisa jenga tabia ya kufanya mazoezi kila siku jioni walau kwa lisaa
 
Mkuu wewe unaswali? Samahani kwa swali

Kama umekiri unakosea basi na mleta mada naye anakosea.

Ninachoamini ukiwa mwanadamu huwezi ishi bila kutenda dhambi
ni kweli unachosema kila mwanadam ni mkosaji ila kuna ile ambayo unajua haifai haitakiwi unafahamu kabisa kisha unakifanya kwa mapenzi yako yote
 
Ushauri mzuri sana ila nashangaa eti ana tatizo Hilo na tukimshauri maombi anaita utapeli wakati yupo kwenye vifungo
 
Tafuta mademu uwe unaluka nao daily. Angalau hapo unaweza kureplace Tabia ya zaman kwa kutumia Tabia mpya
Utofauti na anachokifanya itakuwa mi lipi hasa[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]. Tz elimu shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…