Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilikuwa naye kwenye sehemu kubwa ya maisha yake kabla sijalowea, na elewa kuwa hata mimi nilitumika vitani. Siwezi kuhusisha tabia iliyochukua uhai wake na vita ya aliyoshiriki na kumaliza mwaka 1980.Madhara ya vita sio lazima yatokee vitani. Vitani watu wanafanya mengi, wanafanyiwa mengi na wanaona Mengi. Inaweza kuchukua muda ... Kutafakari, kuapata maoni/maoni mapya nk.
Na kwa kubandika hapa, kunanini cha kujifunza, kwamba ukilewa utakufa usingizini?
Kazi ya Mungu haina makosa,Allah is great.
Pole sana kwa msiba.
Mipango ya mazishi inafanyikia wapi ?
Unajua maana ya PTSD ??Ninajua kuwa hiyo siyo sababu; nilikuwa naye
Pole sana ndugu!Jana nimepoteza kaka yangu niliyekuwa namfuatia; yeye alikuwa anaishi kijijini ambako ameishi tangu aliporudi vitani mwaka 1980. Alikuwa mtu mzima sana; kinachonisikitisha zaidi ni sababu ya kifo chake.
Alikwenda kunywa pombe za kienyeji na kendelea kunywa kwa siku mbili mfululizo bila kula; aliporudi nyumbani baada ya siku hizo akaenda kulala na hakuamka tena.
Ndugu yangu huyo alikuwa na matatizo sana ya kuhimili pombe kiasi kuwa ukoo wote ulimkatia tamaa; kwa bahati mbaya sana yeye ndiye aliyekuwa amebaki mkubwa peke yake kwenye ukoo huko kijijini, kwa hiyo hakukuwa na mwenye sauti juu yake. Nimeanza kufikiri kuwa huenda mimi ningekuwapo mara kwa mara pale kijijini huenda asingepotoka kufikia kiasi cha kupoteza maisha yake kwa njia ya aibu namna hiyo.
Ukiwa na ndugu mwenye tabia za marehemu kaka yangu, jitahidi uwe unatenga muda wa kumshauri mara kwa mara kuhusu pombe asitumbukie kwenye janga lililotufika sisi.
Kazi ya Mungu haina makosa
Mungu ampumzisha roho yake anakosatahili
Alikuwa naye vitani miaka hio. Hapo unajibizana na mzee wako.Unajua maana ya PTSD ??
Ulikua nae kivipi we si umesema ulikua touni bro ako alikua kijijini au?
Anapumzika kwa Amani kwani ameondoka baada ya kufanya kinachompa Raha katika maisha yake!Jana nimepoteza kaka yangu niliyekuwa namfuatia; yeye alikuwa anaishi kijijini ambako ameishi tangu aliporudi vitani mwaka 1980. Alikuwa mtu mzima sana; kinachonisikitisha zaidi ni sababu ya kifo chake.
Alikwenda kunywa pombe za kienyeji na kendelea kunywa kwa siku mbili mfululizo bila kula; aliporudi nyumbani baada ya siku hizo akaenda kulala na hakuamka tena.
Ndugu yangu huyo alikuwa na matatizo sana ya kuhimili pombe kiasi kuwa ukoo wote ulimkatia tamaa; kwa bahati mbaya sana yeye ndiye aliyekuwa amebaki mkubwa peke yake kwenye ukoo huko kijijini, kwa hiyo hakukuwa na mwenye sauti juu yake. Nimeanza kufikiri kuwa huenda mimi ningekuwapo mara kwa mara pale kijijini huenda asingepotoka kufikia kiasi cha kupoteza maisha yake kwa njia ya aibu namna hiyo.
Ukiwa na ndugu mwenye tabia za marehemu kaka yangu, jitahidi uwe unatenga muda wa kumshauri mara kwa mara kuhusu pombe asitumbukie kwenye janga lililotufika sisi.
Kazi ya Mungu haina makosa
Mungu ampumzisha roho yake anakosatahili
Somo kubwa hapa halijaeleweka kwa wengine. Ni kwamba ukiwa na ndugu mwenye tabia ya ndugu yangu huyo, mwimbie wimbo wa madhara ya pombe bila kuchoka; usimwache ajiamulie kila kitu kuhusu pombe freely hata kama ni mtu mzima.Madhara ya vita sio lazima yatokee vitani. Vitani watu wanafanya mengi, wanafanyiwa mengi na wanaona Mengi. Inaweza kuchukua muda ... Kutafakari, kuapata maoni/maoni mapya nk.
Na kwa kubandika hapa, kunanini cha kujifunza, kwamba ukilewa utakufa usingizini?
Ni kweli ameshapumzikaAnapumzika kwa Amani kwani ameondoka baada ya kufanya kinachompa Raha katika maisha yake!
Usijutie na kujilaumu ya kuwa ungefanya hivi au vile, kama haukufanya akiwa hai, inasaidia nini kujilaumu sasa?
Hakuwa na ukaribu kabisa, unatarajia kwenda msibani mwezi baada ya msiba, halafu unaotaka kusema ungekuwa karibu ili umshauri jinsi anavyoishi maisha yake?!Kazi ya Mungu haina makosa,
Mazishi ni huko huko kijijini na shughuli zimeshaanza, mwili wake utazikwa kwesho. Mimi sitahudhuruia kutokana na ufinyu wa muda, ila nitakwenda kuweka msalaba kwenye kaburi lake mwezi kesho.
Kwa hiyo amerudia kijijini baada ya kutoka kulipagania Taifa ama sijaelewa mimi jamani?ameishi tangu aliporudi vitani mwaka 1980.
Hapo madhara yake ni nini, hujaeleza.Somo kubwa hapa halijaelewa kwa wengine. Ni kwamba ukiwa na ndugu mwenye tabia ya ndugu yangu huyo, mwimbie wimbo wa madhara ya pombe bila kuchoka; usimwaje ajiamulie kila kitu freely hata kama ni mtu mzima.
Hili siyo swali la lazima sana; ila baada ya vita alianzisha biashara ya mbao akawa anazikusanya kutoka kwa wapuasaji mmoja mmoja huko vijijini na kuzisafirisha mjini. Kwa hiyo alijega maisha yake huko kijijini na alikuwa na maisha mazuri kabla pombe haijamtawala. Ndiyo maana ninapingana na wanaokimbilia kusema ni madhara ya vita.Kwa hiyo amerudia kijijini baada ya kutoka kulipagania Taifa ama sijaelewa mimi jamani?
Hili siyo swali la lazima sana; ila baada ya vita alianzisha biashara ya mbao akawa anazikusanya kutoka kwa wapuasaji mmoja mmoja huko vijijini na kuzisafirisha mjini. Kwa hiyo alijega maisha yake huko kijijini na alikuwa na maisha mazuri kabla pombe haijamtawala. Ndiyo maana ninapingana na wanaokimbilia kusema ni madhara ya vita.
Ni kweli alikuwa alchoholic,Kaka yako alipata tatizo la Akili Alcoholic is mental illness.