Nenda ukamzike mwamba ufinyu wa muda sio sababu,labda useme uko abroad na huna nauliKazi ya Mungu haina makosa,
Mazishi ni huko huko kijijini na shughuli zimeshaanza, mwili wake utazikwa kwesho. Mimi sitahudhuruia kutokana na ufinyu wa muda, ila nitakwenda kuweka msalaba kwenye kaburi lake mwezi kesho.
Hapana, kwenye huu uzi kuna watu wanaangalia jambo dogo sana la kuhusu heshima ya marehemu ambaye ameshatangulia mbele ya haki na kuacha jambo kubwa linalohusu interventions kwenye maisha ya ndugu zetu. Kuficha sehemu ya ukweli hakutasaidia kupeleka ujumbe wa umuhimu wa interventions kwenye maisha ya ndugu zetu wanaopotoka hasa kwa ulevi.Pole sana ingawa wajeda wana pension zao na hulipwa kila mwezi
Huenda ni mambo aliyoyaona na kupoteza marafiki zake akaamua kunywa tu
Muombee sana ingawa umemkashifu sana na kumsema
Ndugu yako ila hukuweka mda hata wa kukaa nae au kumchukua
Pole ila ungeufuta tu huu uzi haina haja ya kuandika yote hayo
Ni kweli alikuwa alchoholic,
Hilo ndilo tulilochelewa; Alchoholism inatibiwa kwa counseling, jambo ambalo hatukulifanya effectively. Tulimwacha ajiamulie maisha yake kuhusu pombe na ndiyo maana sasa hivi ninaomboleza hapa.
NimekuelewaHapana, kwenye huu uzi kuna watu wanaangalia jambo dogo sana la kuhusu marehemu ambaye ameshatangulia mbele ya haki na kuacha jambo kubwa linalohusu interventios kwenye maisha ya ndugu zetu. Kuficha sehemu ya ukweli hakutasaidia kupeleka ujumbe wa umuhimu wa interventions kwenye maisha ya ndugu zetu wanaopotaka.
Huu siyo ushauri kudhani kuwa ninakosa nauli ya kwenda kumzika ndugu ninayelelama hapa kumpoteza bila kujua kuwa tayari nimeshepeleka gharama zote za kumfanyia mazishi ya heshima.Nenda ukamzike mwamba ufinyu wa muda sio sababu,labda useme uko abroad na huna nauli
Uwepo wako ni muhimu,kila mtu akituma hela mwamba atajizika mwenyewe?Huu siyo ushauri kudhani kuwa ninakosa nauli ya kwenda kumzika ndugu ninayelelama hapa kumpoteza bila kujua kuwa tayari nimeshepeleka gharama zote za kumfanyia mazishi ya heshima.
Hata hivyo asante kwa ushauri
Kama huna nauli ndio tutakuelewa,ila kama ipo we nenda tu mzee mwenzanguUmesema huenda sina nauli!
Pole sana mkuu. Mungu akupe ujasiri wa kukabiliana na huu msiba.Jana nimepoteza kaka yangu niliyekuwa namfuatia; yeye alikuwa anaishi kijijini ambako ameishi tangu aliporudi vitani mwaka 1980. Alikuwa mtu mzima sana; kinachonisikitisha zaidi ni sababu ya kifo chake.
Alikwenda kunywa pombe za kienyeji na kendelea kunywa kwa siku mbili mfululizo bila kula; aliporudi nyumbani baada ya siku hizo akaenda kulala na hakuamka tena.
Ndugu yangu huyo alikuwa na matatizo sana ya kuhimili pombe kiasi kuwa ukoo wote ulimkatia tamaa; kwa bahati mbaya sana yeye ndiye aliyekuwa amebaki mkubwa peke yake kwenye ukoo huko kijijini, kwa hiyo hakukuwa na mwenye sauti juu yake. Nimeanza kufikiri kuwa huenda mimi ningekuwapo mara kwa mara pale kijijini huenda asingepotoka kufikia kiasi cha kupoteza maisha yake kwa njia ya aibu namna hiyo.
Ukiwa na ndugu mwenye tabia za marehemu kaka yangu, jitahidi uwe unatenga muda wa kumshauri mara kwa mara kuhusu pombe asitumbukie kwenye janga lililotufika sisi.
Kazi ya Mungu haina makosa
Mungu ampumzisha roho yake anakosatahili
Ngoja nikujibu vizuri kwa vile umekazia sana hili na ninalielewa. Siwezi kuruhusiwa kuondoka kazini kwenda kuzika ndugu kwa muda wa ziadi ya siku moja, labda baba na mama na pia ni kwa utaratibu maalumu kwa vile wenzetu mazishi siyo jambo la haraka na huhairisha kufanya mazishi kwa kutunza mwili hadi muda ambo ni convenient.Kama huna nauli ndio tutakuelewa,ila kama ipo we nenda tu mzee mwenzangu
Jaza emergency keave,Achana na tamaduni za hao wajinga,tunakusubiri msibaniNgoja nikujibu vizuri kwa vile umekazia sana hili na ninalielewa. Siwezi kuruhusiwa kuondoka kazini kwenda kuzika ndugu kwa muda wa ziadi ya siku moja, labda baba na mama na pia ni kwa utaratibu maalumu kwa vile wenzetu huhairisha kufanya mazishi na kutunza mwili hadi muda ambo ni convenient.
Mwambie kwa ufupi upo nje ya mipaka.Ngoja nikujibu vizuri kwa vile umekazia sana hili na ninalielewa. Siwezi kuruhusiwa kuondoka kazini kwenda kuzika ndugu kwa muda wa ziadi ya siku moja, labda baba na mama na pia ni kwa utaratibu maalumu kwa vile wenzetu mazishi siyo jambo la haraka na huhairisha kufanya mazishi kwa kutunza mwili hadi muda ambo ni convenient.
Mungu amehusikaje hapo mkuu?Kazi ya Mungu haina makosa
Hapana; ni ngumu sana kufanya hivyo kwenye taasisi yetu ambayo ni taasisi ya serikali. Ni tofauti na makampuni binafsi ambayo yanaweza kukuruhusu kufanya kazi remote ukiwa nje ya nchi.Jaza emergency keave,Achana na tamaduni za hao wajinga,tunakusubiri msibani
Lolote lifanyikalo duniani liko chini ya control ya Mungu. Ndivyo tunavyoamini.Mungu amehusikaje hapo mkuu?
Kwa hiyo Mungu ndiye aliyekuwa anamwongoza akanywe pombe ili afe
Wakati wewe mwenyewe unasema kaka yako alikuwa mlevi
Kifo chake kajitakia mwenyewe usimsingizie Mungu
Mzee kilichomua kaka yako ni pombe Mungu hajamcontrol awe mlevi.Lolote lifanyikalo duniani liko chini ya control ya Mungu. Ndivyo tunavyoamini.
NakunukuuJana nimepoteza kaka yangu niliyekuwa namfuatia; yeye alikuwa anaishi kijijini ambako ameishi tangu aliporudi vitani mwaka 1980. Alikuwa mtu mzima sana; kinachonisikitisha zaidi ni sababu ya kifo chake.
Alikwenda kunywa pombe za kienyeji na kendelea kunywa kwa siku mbili mfululizo bila kula; aliporudi nyumbani baada ya siku hizo akaenda kulala na hakuamka tena.
Ndugu yangu huyo alikuwa na matatizo sana ya kuhimili pombe kiasi kuwa ukoo wote ulimkatia tamaa; kwa bahati mbaya sana yeye ndiye aliyekuwa amebaki mkubwa peke yake kwenye ukoo huko kijijini, kwa hiyo hakukuwa na mwenye sauti juu yake. Nimeanza kufikiri kuwa huenda mimi ningekuwapo mara kwa mara pale kijijini huenda asingepotoka kufikia kiasi cha kupoteza maisha yake kwa njia ya aibu namna hiyo.
Ukiwa na ndugu mwenye tabia za marehemu kaka yangu, jitahidi uwe unatenga muda wa kumshauri mara kwa mara kuhusu pombe asitumbukie kwenye janga lililotufika sisi.
Kazi ya Mungu haina makosa
Mungu ampumzisha roho yake anakosatahili
Mwahi mdogo wako mapema usijeliia kama mimi.Nakunukuu
""Ukiwa na ndugu mwenye tabia za marehemu kaka yangu, jitahidi uwe unatenga muda wa kumshauri mara kwa mara kuhusu pombe asitumbukie kwenye janga lililotufika sisi."""
pole kaka pole Sanaaaaa
Mimi na mdogo angu tumepishana tumboni miezi sita..
Watoto wote walio lala kwenye tumbo la mama angu wote Wana ELIMU za juu na Wana Maisha yao..
Mimi tangia mdogo nilikataaga kuja kua mtu wa ovyo ovyo..
mama angu juzi juzi alinambia mwanangu mwangalie mdogo ako un wonderful enough anapiga Sana tungi na kawa addicted kweli kweli sijui namsaidia vipi..
pole kaka kwa kumpoteza kaka tunapata faraja kupitia UFUNUO 14:13
Tatizo unamshaur MTU hasikii utadhani amerogwaMwahi mdogo wako mapema usijeliia kama mimi.