Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tatizo linakuja hapo, vijana wengi wakioa wanafikiri maisha ya usela bado yapo
Ukioa mambo mengi yanabadilika hata marafiki wanapungua automatically
Unakuwa na majukumu mengi na mke ndio anakuwa badala yao washikaji
Tafuta mda nenda nae outing, hata jioni baada ya kazi ukila tembeeni pamoja au unaona nishai
Marafiki wengi ni utoto pambana na maisha yako umekuwa sasa
Watoto wanakuhitaji zaidi ya hao marafiki
Kwa ushauri na misaada hata simu zinatosha
Familia pia muhimu ila afanye kila kitu kwa familia asiguse kabisa hiyo sekta tena usikubali kuwa dhalili kiasi hicho
Kukuachanisha na familia yako basi atakuwa mchawi huyo
Marafiki sawa ila sio familia
Ukioa mambo mengi yanabadilika hata marafiki wanapungua automatically
Unakuwa na majukumu mengi na mke ndio anakuwa badala yao washikaji
Tafuta mda nenda nae outing, hata jioni baada ya kazi ukila tembeeni pamoja au unaona nishai
Marafiki wengi ni utoto pambana na maisha yako umekuwa sasa
Watoto wanakuhitaji zaidi ya hao marafiki
Kwa ushauri na misaada hata simu zinatosha
Familia pia muhimu ila afanye kila kitu kwa familia asiguse kabisa hiyo sekta tena usikubali kuwa dhalili kiasi hicho
Kukuachanisha na familia yako basi atakuwa mchawi huyo
Marafiki sawa ila sio familia