Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

Pole sana.Mimi siyo Docta.Ila nadhani kuna upungufu wa aina flan ya madini.Ungekuwa ni mnyama ningesema baba yako na mama yako walikuwa ni mtu na dada ake.au ndugu wa karibu sana kutoka kwenye uzao mmoja
 
huyo mama ni daktari?
aliionaje hiyo bawasiri huko nyuma?


na mbona kuna watu wengi tu wana bawasiri na wana watoto na wajukuu?

wewe pamoja na mwenza wako unekusudia kuzaa nae mtoto muende kwa pamoja kumuona daktari wa uzazi,
na kisha tuanzie hapo kufuatilia kitaalam, nini hasa sababu ya songombingo hiyo?

na kwa Neema na Baraka za Mungu atakujaalia watoto na wajukuu.
Kua muaminifu, hii kuchovya chovya kila mahali sio ustaarabu 🐒
 
Dkt Colman ndo suluhisho.
Anapatikana Hosp Muhimbili ama Private pale Sinitaz Kwa wahindi pale Mikocheni
Huyo sio daktari wa wanawake?? Jamaa ni mwanaume, anaamini mambo ya kishirikina kuwa mimba za wanawake wake zinatoka kwasababu yeye anahiyo ishu. Jambo ambalo hata bila utaalamu ni wazi kuwa halina ukweli.
 
Pole sana.Mimi siyo Docta.Ila nadhani kuna upungufu wa aina flan ya madini.Ungekuwa ni mnyama ningesema baba yako na mama yako walikuwa ni mtu na dada ake.au ndugu wa karibu sana kutoka kwenye uzao mmoja
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…