Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

huyo mama ni daktari?
aliionaje hiyo bawasiri huko nyuma?


na mbona kuna watu wengi tu wana bawasiri na wana watoto na wajukuu?

wewe pamoja na mwenza wako unekusudia kuzaa nae mtoto muende kwa pamoja kumuona daktari wa uzazi,
na kisha tuanzie hapo kufuatilia kitaalam, nini hasa sababu ya songombingo hiyo?

na kwa Neema na Baraka za Mungu atakujaalia watoto na wajukuu.
Kua muaminifu, hii kuchovya chovya kila mahali sio ustaarabu 🐒
Asante kwa ushauri mkuu..hii kitu ipo aina mbili kuna inayolea watoto na inayoua watoto na sio bawasiri ni Likango..nilituma picha humu mod wamefuta
 
Huyo sio daktari wa wanawake?? Jamaa ni mwanaume, anaamini mambo ya kishirikina kuwa mimba za wanawake wake zinatoka kwasababu yeye anahiyo ishu. Jambo ambalo hata bila utaalamu ni wazi kuwa halina ukweli.
Mkuu hii ishu sio hata ya kishirikina ni homa tu kama homa zingine
 
Wewe Dungadunga na hao wanawake wengine walikuwa group hilo hilo? Nenda hospitali uambiwe group lako na mwenza wako lazima awe group gani. Kuna group huwa lina-detect mimba kama maambukizi hivyo lazima zifie tumboni! Tafuta mke mmoja mpime damu!
Hao wengine group zao sikupima..ila ninayeishi nae ana group sawa na mimi na ndiye kapoteza watoto wengi zaidi wote 0 positive
 
Asante chief..ndio anaumwa sana kabla ya kufariki na hua legelege kama mlenda
Ishu ya kiroho sana!

Hebu jaribu Kwa mwamposa nae,japo hatuamini kwamba KAZI yake ni zao la Mungu was kweli!

Kuna member wetu alihangaika sana kupata mtoto alipoenda alipata mapacha wa kiume na kike!!!

Jaribu aiseh!
 
Ishu ya kiroho sana!

Hebu jaribu Kwa mwamposa nae,japo hatuamini kwamba KAZI yake ni zao la Mungu was kweli!

Kuna member wetu alihangaika sana kupata mtoto alipoenda alipata mapacha wa kiume na kike!!!

Jaribu aiseh!
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom