masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Ndo hiyoRhesus factor bado mkuu ndio ile ya positive na negative kwenye damu au
Usiangaike kw waganga
Nafikiri upo kwenye ile population ya 20% world wide
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hiyoRhesus factor bado mkuu ndio ile ya positive na negative kwenye damu au
Wewe Dungadunga na hao wanawake wengine walikuwa group hilo hilo? Nenda hospitali uambiwe group lako na mwenza wako lazima awe group gani. Kuna group huwa lina-detect mimba kama maambukizi hivyo lazima zifie tumboni! Tafuta mke mmoja mpime damu!O +ve na mama pia 0 +ve
Asante kwa ushauri mkuu..hii kitu ipo aina mbili kuna inayolea watoto na inayoua watoto na sio bawasiri ni Likango..nilituma picha humu mod wamefutahuyo mama ni daktari?
aliionaje hiyo bawasiri huko nyuma?
na mbona kuna watu wengi tu wana bawasiri na wana watoto na wajukuu?
wewe pamoja na mwenza wako unekusudia kuzaa nae mtoto muende kwa pamoja kumuona daktari wa uzazi,
na kisha tuanzie hapo kufuatilia kitaalam, nini hasa sababu ya songombingo hiyo?
na kwa Neema na Baraka za Mungu atakujaalia watoto na wajukuu.
Kua muaminifu, hii kuchovya chovya kila mahali sio ustaarabu 🐒
ChangamotoO +ve na mama pia 0 +ve
Mkuu hii ishu sio hata ya kishirikina ni homa tu kama homa zingineHuyo sio daktari wa wanawake?? Jamaa ni mwanaume, anaamini mambo ya kishirikina kuwa mimba za wanawake wake zinatoka kwasababu yeye anahiyo ishu. Jambo ambalo hata bila utaalamu ni wazi kuwa halina ukweli.
PoleSawa mkuu check pm
Mboni sioni picha?Hii picha nilipiga mwaka 2021 ilivyonianza hilo tatizo la likango.
Siijui ila ndo wanachopimaRhesus factor bado mkuu ndio ile ya positive na negative kwenye damu au
Hao wengine group zao sikupima..ila ninayeishi nae ana group sawa na mimi na ndiye kapoteza watoto wengi zaidi wote 0 positiveWewe Dungadunga na hao wanawake wengine walikuwa group hilo hilo? Nenda hospitali uambiwe group lako na mwenza wako lazima awe group gani. Kuna group huwa lina-detect mimba kama maambukizi hivyo lazima zifie tumboni! Tafuta mke mmoja mpime damu!
Ishu ya kiroho sana!Asante chief..ndio anaumwa sana kabla ya kufariki na hua legelege kama mlenda
Sema chochote mkuu kuokoa jahazi
Kwani hii huwa inawahusu wanaume pia?Damu yako group gani.kuna group inatakiwa mama achomwe sindano flani