bagabe
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 540
- 658
Wakuu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tena naombeni msaada wenu.Mwaka 2022 nilileta uzi kuhusu watoto wangu wanaozaliwa na kufa kabla au baada ya kuzaliwa. Sasa mwaka huu tena 2024 nimepoteza watoto wengine wawili kabla ya kuzaliwa wakiwa tumboni.
Baada ya tukio hilo ikabidi kutafuta wazee kuwaomba ushauri.Kuna sehemu huku mkoani nikapelekwa kwa mama mmoja akaniangalia akasema nina likango kwa jina maarufu.
Hii ni kama bawasiri ila sio bawasiri na kazi yake ni moja tu kumaliza watoto. Huota katikati ya tundu la haja kubwa. Nikaambiwa inatakiwa nipate tiba ili niweze kuitwa baba.
Na katika mimba hizo 10 zimepatikana kwa kipindi cha miaka hii miaka4 kwa wanawake tofautitofauti. Nimekuja kwenu kuomba ushauri kwa mwenye experience na hii kitu aweze kunisaidia jinsi gani nitaiondoa katika mwili wangu.Asanteni 🙏..
Hii picha nilipiga mwaka 2021 ilivyonianza hilo tatizo la likango.
Baada ya tukio hilo ikabidi kutafuta wazee kuwaomba ushauri.Kuna sehemu huku mkoani nikapelekwa kwa mama mmoja akaniangalia akasema nina likango kwa jina maarufu.
Hii ni kama bawasiri ila sio bawasiri na kazi yake ni moja tu kumaliza watoto. Huota katikati ya tundu la haja kubwa. Nikaambiwa inatakiwa nipate tiba ili niweze kuitwa baba.
Na katika mimba hizo 10 zimepatikana kwa kipindi cha miaka hii miaka4 kwa wanawake tofautitofauti. Nimekuja kwenu kuomba ushauri kwa mwenye experience na hii kitu aweze kunisaidia jinsi gani nitaiondoa katika mwili wangu.Asanteni 🙏..
Hii picha nilipiga mwaka 2021 ilivyonianza hilo tatizo la likango.