Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Utakuwa upo mbali sana kutoka usawa wa nchi, mbona huku ndani sasa hata tuliokua tunajua kumbe ilikuwa wajinga wa kutupwa. (Nchi hii haijawahi kuwa na mwizi, tapeli, laghai, muongo, na katili wa mfano wake)
Huyu alikuwa anatamani kuuwa tu muda wote.

 
Kufa umfuate huyo mungu wenu wa kikabila
 
Utakuwa upo mbali sana kutoka usawa wa nchi, mbona huku ndani sasa hata tuliokua tunajua kumbe ilikuwa wajinga wa kutupwa. (Nchi hii haijawahi kuwa na mwizi, tapeli, laghai, muongo, na katili wa mfano wake)
Rais wa kabla yake na aliyeko una uhakika hawana ( hawakuwa ) na hizi Sifa?
 
Rais wa kabla yake na aliyeko una uhakika hawana ( hawakuwa ) na hizi Sifa?
Elewa kitu nimejaribu kukujuza ni kwamba, haijafahamika kabla na watu kama wewe na mfano wenu, kuwa Magufuli ndie rais pekee alie kuja na akawa laghai, mwizi, muongo, katili na mwenye kujilimbikiazia mali kuliko wote waliowahi kutokea hapa tz kwa sasa.
 
Halafu akawadanganya misukule yake kwamba Tanzania ni tajiri na tunajenga kwa pesa za ndani.😄😄

Kuja kuutamaki deni la Taifa ni tirrion 78 shubaamiti.😜😜
 
Kwangu Mimi Marais wazuri, makini, werevu na Wachapakazi niliowahi kuwapenda na nawalilia sana na 24/7 ni Watatu tu Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Mkapa na Hayati Dkt. Magufuli wengine walijitahidi / wanajitahidi ila waliharibu na wanaharibu zaidi.
 
Big up for this piece of precise vision and opinion [emoji2936][emoji2935]
 
Tanzania tumeondokewa na Mkombozi.
Kweli ni mkombozi hasa maana mpaka dunia itaisha hatutosikia tena mtu kupigwa risasi 36 na kunyimwa matibabu na kufukuzwa ubunge huyu ndie aliye kua mkombozi wa nchi ambae hapeleki maendeleo kwenye jimbo la wapinzani
 
Acha unafiki jamaa kweli umelia sana??
Acha kutuchuria maisha yanaendelea nawatu tuko gado hatuliilii tunapiga kazi.
Endelea kumlilia usitusumbue tunafatilia walioteswa ili wawehuru na wawehuru kwelikweli.
Wapo walopotea (saanane)
waliopigwa risasi (lisu),
waliofungwa isivyo halali (rugemalila),
walioumizwa vibaya,walokimbia nchi,walopoteza wazazi/wenza walipofungwa,waliofilisiwa,waliofukuzwa kiholela,waliosababishiwa madeni makubwa,waliotukanwa na kutishwa,waliotishiwa kuuawa,waliotengwa kimaendeleo,walonyimwa ushindi nkSORRYMungu atuepushie haya yasijurudie site tuseme
"NEVER AGAIN IN SOBIBOR OOH SORRY IN TANZANIA
 
Kwa hiyo hakufariki tarehe 17/03/2021
 
Kumpenda mtu siyo lqza awe mtu mzuri au awe alifanya mazuri, bali ni namna matwkwa yako yanavyokutuma.

Lakini nina uhakika mtu kama Tundu Lisu, ndugu na jamaa wa Ben Sanane, Azory, Kanguye, na wale waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi, madawa ya kulevya, utakatishaji fedha, na wale wote wanaothamini uhai na maisha ya binadamu, hawataacha kumkumbuka marehemu kama mtu mbaya kuliko wote maana hakuna aliyewahi kuwafanyia uovu kama huo katika maisha yao yote.

Binadamu tunatofautiana, wapo wakipewa nafasi wajengewe nyumba ila ndugu yao auawe, watakubali. Lakini wapo watakaosema aheri waishi kwenye kibanda kuliko ndugu yao kufa. Kwao uhai na heshima ya mwanadamu inazidi vitu vyote.
 
Kwangu mimi JPM JPM alikuwa rais muuaji, mwenye chuki kali sana kwa wanamkosoa na kumpinga, mbinafsi aliyepitiliza kiwango cha kawaida na mungu mtu aliyependa kusujudiwa mpaka na nzi. MUNGU AMEWATENDEA HAKI WATANZANIA.
Tokea afe Umekuwa Tajiri au Shida na Dhiki zako zimeongezeka maradufu? Nitashukuru ukinijibu haraka tafadhali.
 
Vp kuhusu waliomchapa Lissu risasi unataka aje nao ama? Kuna wale wasiojulikana, aisee Mungu fundi sana
 
Nchi masikini na ya wavivu, wezi wa mali za umma, wanafiki na wahafidhina inahitaji mtu wa calibre yake. Tumezoea kubembelezana kwa kivuli cha demokrasia, upumbavu wa hali ya juu huu.

Nilikuwa namkubali sana, natamani niwe hata nusu ya tabia zake, ukiwa vile unachukiwa sana na wapumbavu wasiojielewa tu.

Ataishi kwangu miaka mingi sana.
 
Wewe acha tu nakumbuka mwalimu wangu aliwahi kuniambia kuwa mtu akitenda ubaya sura yake uwa inaongea. Siku ya mazishi ya JPM nimwona mmoja wao akijikanyaga na hotuba uchwala anauma midomo nikamwangalia nikajisemea kimoyoni kwamba " huyu "
Huyo Jamaa namchukia na kibaya tena ni Shabiki wa Klabu nisiyoipenda duniani kote ya Yanga.
 
Na bado hujalia siku ukipata mtu wa karibu nae akakusimilia kifo chake, utaenda chato mwenyewe kuona hata kaburi yake.

Siumii kwa nini amekufa maana kila mtu ataonja kaburi, kinachoniuma ni yale mazingira alokufa.
Kwamba wahafidhina walimuua?
 
Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
Mkuu kuwa mkweli, kwenye haya uliyoyaorodhesha ni lipi ambalo halikuwa tabia ya Jiwe? Bila kumwonea wala kumpendelea
 
Ulileta faraja hata kama mifuko yetu ilikuwa mitupu, maskini alicheka kwa furaha.

Uliyekuwa naye pembeni mwa meza yake ndiye mmiliki wa KIGOGO, na rafiki wa Mange Kimambi.

Sasa hivi mshauri wake wa covid-19 ni Tony Blair, kama nchi inauzwa vile. Ila hatuelewi.

Rest in peace Hayati John Magufuli 🥲
 
Mimi nilivyomuona akiwekwa kwenye ambulance moyo ulikataa kabisa, aendelee kupumzika kwa amani shujaa wa Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…