Nimerudi kazini sijamkuta mke wangu, nauliza majirani naambiwa ameondoka kwenda kwao

Na yeye kaenda kazini ni mbali na hapo hm atarudi baada ya wiki moja so kuwa strong mkuu
 
Pole sana Mkuu,
Inavyooelekea huyo Dada unampenda kuliko vle watu wanavyofikiria...,fanya tathimini ya maisha mliyokuwa mnaishi pengine ulikuwa unamnyanyasa au kumpiga gia kubwa ( kumla tigo) maana hyo michezo ipo sana huko pwani especially Dsm,Tanga na Mtwara kwa sababu kote huko nimewah kuish kwa nyakati tofauti-tofauti
Pia,nenda ukatoe taarifa kwa kiongoz wa Mtaa then police na baada ya hapo anza kufanya upelelez kimya kimya kwa kuanzia saloon alipokuwa akipenda kwenda kusuka au kwa shoga zake wa hapo mtaani,ni lazma kuna habar utazipata
Mwisho,muombe msaada huyo mdada aliyekupa taarifa za awali akusaidie kwa kumpigia then afanye ku-record mazungumzo ambayo baade yatakuwa kama ushahidi wa kukutoa kwenye goli,na hao ndugu zake wameamua tu kukujambisha Ila wanajua ni wapi ndugu yao alipo
Be strong na utulize akili!
 
tunachotakiwa kuumiza kichwa ni maisha na namna ya kuufikia uzima wa milele na sio mwanamke, me aliondoka hvohvo, nkahangaika kumbe wazee wake wanaelewa kila kitu, naendelea na maisha yangu
 
Hivi mahari ulitoa ndugu labda wamemrudisha ukaimalizie kwanza
 
Pole kwa tatizo lililo kupata ndg. Ushauri tu, kama umesha fanya mawasiliano naye hapatikani, na ndugu zake hawajui alipo, toa taharifa kwa kiongozi wako wa mtaa, mtendaji na karipoti polisi.
 
Endelea na shughuli zako tafadhali usihangaike na huyo mtu.Umeomba ushauri lakini kumbe huutaki una maamuzi yako ?
 
Mke wa ndoa anamuachaje mumewe lakin?alikula kiapo au kwanini asimuage mumewe...japo si muislam kuna kauli hao naipenda.mke aendae kokote bila ruhusa ya mumewe njiani nasikia anazomewa malaika kitu kama hicho....pole mkuu kuna jambo limemkwaza ila alitakiwa akwambie..
 
Daaaahhhhh man ,,, usije kufanya kosa LA kwenda kumtafuta ,,tafadhali sana ,usifanye Ilo kosa.AISEEE NAKUOMBA USIFANYE ILO KOSAAAAA.

Huyo mwanamke anaakili ,anajua anachofanya , anajua Jema nabaya.

Ukienda kumtafuta ,naakakubali kurudi ,aiseeee atakusumbuaaa ,,utamnyenyekea balaaaa yaaan utakua hupumui. Utakua huna Uhuru nakazi zako KWAUFUPI KAMA KUGONGWA NDO ATAZIDI KUGONGWA NA KAMA DHARAU NDO ZITAZIDI.

Fanya hivi ,,,, Tulia tuuuu , tuliaaa ,, wajulishe wakweze kwamba Binti yenu kanitoroka nikiwa kazini ,, kisha jikalie kimya.

Tena Fanya usafi W nyumba vzuri uondoe iyo mikosi ,, kaa chini fikiria niwapi pamepungukua ,, tumia muda kutatua iyo changamoto ,, Pigs kazi mkuuuu ,,pigs kaziiii ,,Weee piga kazi tuuu ,,alafu ktk yote hayo. Usimpigie simu,, wala usimtafute kwa meseji ,,usimblock mahali popote pale ,,, sababu uko aliko nayeye majiran watakua wanampasha habar hatoishi kutaka kukufatilia ndo hapo sasa utamthibitishia kua * nje yako bado ninafuraha* .

Km amekukimbia sababu yamatatizo yako+ uchumi au tabia ,, wee rekebisha tuuu.

Nakama amekukimbia kisa bwana +kudanganywa na mashosti ...usijisumbue .

ATARUDI MWENYEWE MAN ,,USIJISUMBUE KABISAA ATARUDI ,,ILA TU USIMFIKIRIEEE ,WALA USITOE MUDA KUMFIKIRIA.
 
UNAONA NDUGU ...KWANZA AISEEEE MWAMBIE MUNGU ASANTE KWA HILI.



ILA MAN,,VIPI UPANDE WAKO ,, ISIJE KUA NIMLEVU KUPINDUKIA ,,MTU WANAWAKE NAMATABIA MENGINE KAMA HAYO ....SASA KM NIIVYO NAYEYE ANACHOKA MKUU.


Tuanzie hapa ,kwanza ,,, Upande wako ukoje ??.
 
Kwanza upo uwezekano akawa anataarifa za kutosha kuhusu tabia yako fulani mbaya hakukwambia kwakuwa alikuwa hana ushahidi ila alikuwa na uhakika. Pili karipoti polisi ndani ya saa ishirini na nne. Tatu kama unakosa usingizi kunywa waini vinginevyo utakufa ghafla.
 
Mkuu nawe umetoka idodomya au kama sio wala usihangaike kashapata wakwao huko chamwino cjui kwanin hawa hupenda kutovuka mipaka kwenye mahusiano
 
Mbona kama ww unajua sababu. Mke yaani mke ameondoka tu kurudi kwao kweli?? Hpn boss unajua sababu
 
Mkuu nawe umetoka idodomya au kama sio wala usihangaike kashapata wakwao huko chamwino cjui kwanin hawa hupenda kutovuka mipaka kwenye mahusiano
Hapana mimi ni mtu wa kusini hapa Mtwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…