Nimerudisha imani kwa CHADEMA, nimerudisha imani kwa Mbowe, watanzania tuamke hii sasa inatosha

Nimerudisha imani kwa CHADEMA, nimerudisha imani kwa Mbowe, watanzania tuamke hii sasa inatosha

kt the irreplaceable

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
2,375
Reaction score
4,893
Nimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'

Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni

1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?

Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.

Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!

Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.

Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?

Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
 
Mhe. Mbowe NI moja ya wanasiasa ambao Wana akili nyingi na misimamo yenye tija wakati wote. NI MTU wakujishusha na anayeweza kuishi na kila MTU. Kwenye press yake nimechuku hoja Kumi ambazo hakuna ubishi ndio fact
1. TUMEUZA UHURU WETU WA KUJIAMULIA MAMBO YETU
2. TUMEUZA MALANGO YA NCHI YETU NA KUKABIDHI KWA WAGENI WASIMAMIE IKIWEMO KUAMUA AINA YA ULINZI NA WALINZI WA MIPAKA YETU
3. TUMEUZA ARDHI KWA KIPINDI KISICHOJULIKANA
4. TUMERUHUSU MISAMAHA YA KODI KWA MGENI AMBAYE TUMEMKABIDHI RASILIMALI ZETU
5. TUMERUHUSU KUWA NA MGENI TUSIYEWEZA KUMKANYA
6. TUMEINGIA MKATABA AMBAO MARAIS WAJAO WATAKUWA WATAZAMAJI
7. TUMEJIDHARAU
8. TUMEONYESHA UBAGUZI WA WAZI KATI YA ZANZIBA NA BARA
9. HATUNA WASOMI NDANI YA OFISI YA AG WALA WIZARANI
10. RUSHWA NI MAISHA YA VIPNGOZI WETU BILA KUJALI VYEO
 
Mhe. Mbowe NI moja ya wanasiasa ambao Wana akili nyingi na misimamo yenye tija wakati wote. NI MTU wakujishusha na anayeweza kuishi na kila MTU. Kwenye press yake nimechuku hoja Kumi ambazo hakuna ubishi ndio fact
1. TUMEUZA UHURU WETU WA KUJIAMULIA MAMBO YETU
2. TUMEUZA MALANGO YA NCHI YETU NA KUKABIDHI KWA WAGENI WASIMAMIE IKIWEMO KUAMUA AINA YA ULINZI NA WALINZI WA MIPAKA YETU
3. TUMEUZA ARDHI KWA KIPINDI KISICHOJULIKANA
4. TUMERUHUSU MISAMAHA YA KODI KWA MGENI AMBAYE TUMEMKABIDHI RASILIMALI ZETU
5. TUMERUHUSU KUWA NA MGENI TUSIYEWEZA KUMKANYA
6. TUMEINGIA MKATABA AMBAO MARAIS WAJAO WATAKUWA WATAZAMAJI
7. TUMEJIDHARAU
8. TUMEONYESHA UBAGUZI WA WAZI KATI YA ZANZIBA NA BARA
9. HATUNA WASOMI NDANI YA OFISI YA AG WALA WIZARANI
10. RUSHWA NI MAISHA YA VIPNGOZI WETU BILA KUJALI VYEO
Ikowapi hiyo press? Vyovyote tu kama maqndishi au video?
 
Nimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'

Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni

1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?

Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.

Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!

Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.

Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?

Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
Nchi itapata kiasi gani wameshaelesa sema wao na nyie ni hamna habari
Kwa nini Bandari za Zenj hazipo ni jibu jepesi, Bandari sio ishu za muingurumo na on top of that mm nafahamu Zanzibar Inajenga Bandari Mpya na mjenzi ni huyu huyu DP World
Kiasi gani kitawekezwa Hilo sidhani kama ni la Serikali bali la mwekezaji

Mda wa uwekezaji watakuja kujibu wao nimeona mara Waseme miezi 12 mara miaka 100 💯 mjanja wenyewe.

Mwisho nawakumbusha tuu mtahemka sana ila itapita kama.ishu ya Maasai wa Ngorongoro
 
Nimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'

Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni

1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?

Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.

Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!

Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.

Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?

Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
Uongozi wa hovyo ni awamu ya tano ulijilimbikizia madaraka na kutelekeza utawala bora.

Sasa kila mtu anaona kumbe kuwa dikteta inawezekana.
 
Baada ya kupitia hiyo framework it’s not all bad news.

Kuna mambo mengi mazuri na nchi itapiga hatua.

Shida ni watu serikalini kwenye kutoa maelezo.

Hiyo ni framework tu ya maeneo ya uwekezaji; lakini hakuna actual values, terms za kuendesha, muda wa mikataba tofauti autakuwa mmoja.

Mengine ni ya kawaida kwenye mikataba ya kibiashara za kimataifa na si kweli ni mikataba isiyokuwa na mwisho.

Mpaka sasa hakuna ata hiyo HGA katika miradi inayotarajiwa kufanywa, pili TPA ndio itaamua maeneo ya kuwapa kuendesha na time duration.

Wakiingia hayo makubaliano ya JHA details za consideration ni siri (hapa sasa ndio kunapigwa), na ndipo Magufuli alitaka tuelewe ubovu wa consideration za mradi wa Bagamoyo.
 
Back
Top Bottom