kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
- Thread starter
- #41
So?Tatizo wasomi wengi wa Tanzania ni vilaza na wezi ukiunda kampuni itafirisika dakika sifuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So?Tatizo wasomi wengi wa Tanzania ni vilaza na wezi ukiunda kampuni itafirisika dakika sifuri
Katafute, mbona wanawake hatuwaletei mnawatafuta.Weka hapa mkataba tuujadili usilete hekaya!
Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Hakuna aliyeuona mkataba mkuu majitu yanajiropokea tu! Tangu nimeanza kufuatilia mjadala huu sijaona yeyote aliyeambatanisha mkataba! Pumbavu kabisa!Weka hapa mkataba tuujadili usilete hekaya!
Hawa jamaa wahuni wataelewa tu.Though a bit too late lakini umefanya uungwana kumuomba radhi mwamba.. Hongera
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kuwapa watu wenye akili waendeshe kulipo kuwapa ulaji vilaza wajinufaishe na familia zao
Yule Mafia Rostam bado yuko nyuma ya ujambazi mkubwa trust me!Nimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'
Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni
1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?
Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.
Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!
Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.
Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?
Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
Mpuuzi ni wewe. Huna uzalendo kiazi weweMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Mbowe kumbe alikua rais miaka mitano iliyopita? SinyaagileMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Wewe unatuondoa kwenye ustaarabu maana utatufanya tukuite kuwa huna tofauti na mbwa! Mbowe kahusikaje na uendeshaji wa nchi miaka 5 iliyopita?Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Tuna uzembe mkubwa sana katika kulinda nchi yetu. Hata wananchi wenyewe wanapaswa kuwanyoosha wezi na vibaka bila kutegemea polisi au jeshi.Yule Mafia Rostam bado yuko nyuma ya ujambazi mkubwa trust me!
Rada ya Mzee wa Nyoka mwenye makengezaNdani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!
Wewe utakuwa na kifafa cha mimba,miaka mitano serikali ilikuwa ya yule mungu wenu wa chatoMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Nyie wajinga bado mpo?Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Hiyo miaka mitano mbowe ndo alikuwa rais au? Ndezi wwMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita