Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
wewe kapuku hata hujielewiMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe kapuku hata hujielewiMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
huna akili.Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Jibu hoja moja tu, mkataba utadumu kwa mda gani?Mihemko ni mibaya sana!
Kwahyo?Uongozi wa hovyo ni awamu ya tano ulijilimbikizia madaraka na kutelekeza utawala bora.
Sasa kila mtu anaona kumbe kuwa dikteta inawezekana.
Walikuwa viongozi wa serikal kwenye wizara ganiMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Though a bit too late lakini umefanya uungwana kumuomba radhi mwamba.. HongeraNimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'
Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni
1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?
Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.
Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!
Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.
Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?
Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
What a wasted maniiMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Kuna watu bado wamechanganyikiwa....! Hawaamini kama Mwendazake hatunaye tena. Sasa Mbowe ameharibuje Nchi wakati muda mwingi alikuwa jela kwa amri za kijinga za Magufuli?Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Jitahidi uwe unajizuia kuushiriki upumbavu kimaandishi ambayo ni kama muhuri wa moto.Ni bora kutulia na kuangalia wengine wanawaza nini ili ujifunze.Siyo kila kitu unang'ang'ania upuuzi ili tu ujifurahishe au kuonekana upo sana kwenye umoja wa wehu.Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Tatizo wasomi wengi wa Tanzania ni vilaza na wezi ukiunda kampuni itafirisika dakika sifuriNimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'
Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni
1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?
Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.
Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!
Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.
Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?
Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
Kweli kabisa maana mbowe na genge lake wametawala nchi toka uhuruMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Weka hapa mkataba tuujadili usilete hekaya!Jibu hoja moja tu, mkataba utadumu kwa mda gani?
Mbowe aliongiza nchi lini miaka 5Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Hili zwazwaa kama vile limetoroka mirembe hospital
Haitapita.. pumbafuuuNchi itapata kiasi gani wameshaelesa sema wao na nyie ni hamna habari
Kwa nini Bandari za Zenj hazipo ni jibu jepesi, Bandari sio ishu za muingurumo na on top of that mm nafahamu Zanzibar Inajenga Bandari Mpya na mjenzi ni huyu huyu DP World
Kiasi gani kitawekezwa Hilo sidhani kama ni la Serikali bali la mwekezaji
Mda wa uwekezaji watakuja kujibu wao nimeona mara Waseme miezi 12 mara miaka 100 💯 mjanja wenyewe.
Mwisho nawakumbusha tuu mtahemka sana ila itapita kama.ishu ya Maasai wa Ngorongoro