Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha ya kuambiwa, mkataba uko tovuti ya Bunge. Unataka Zanzibar iwemo, Mombasa je? Unaisha lini? Soma. Shilingi ngapi? Soma.Nimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'
Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni
1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?
Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.
Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!
Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.
Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?
Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
Mmmh, inampa shida tundulissu anapowambia Katiba nzuri ni ya wakoloni ya 1960 aliiharibu Nyerere 1962 na Kawawa 1963 chamakimoja na Karume 1964, halafu analaumu CCM kwa katiba ya 1977 wakati haijazaliwa. Shida kweli, sasa wamesema hawatapiga kura 2025.Mbowe na chadema wanapoteza muda kuongelea katiba wakati hii iliyopo wananchi wengi hawaijui, walitakiwa waanze kudai serikali ya Tanganyika wangepata support kubwa kwani hata ndani ya CCM hawataki huu Muungano wa kimchongo
Wewe ndiye umechanganyikiwa kuliko hata hao wapiga debe wa DPMbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Mzizi au shina la maovu yote yanayolipuka leo ni Awamu ya Tano.Uongozi wa hovyo ni awamu ya tano ulijilimbikizia madaraka na kutelekeza utawala bora.
Sasa kila mtu anaona kumbe kuwa dikteta inawezekana.
Ndio wanaokuongoza na kukupatia tozo na kukupangia kila kitu kwenye nchi hii.Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Naunga mkono hoja.Nimemsikiliza Mh mbowe kwa umakini sana, awali ya yote nisamehewe kwani kuna wakati nilihoji na kuponda maamuzi ya mbowe nikidhani ni 'mlamba asali'
Yameongelewa mengi kuhusiana na mkataba wa Bandari na kampuni ya DP world, lakini maswali matatu ambayo mpaka sasa yamekosa majibu yamenifikirisha sana. Maswali hayo ni
1. Ni muda gani mkataba utadumu (duration)
2. Kwanini bandari za zanzibar hazijaguswa?
3. Hyo kampuni itawekeza kiasi gani? Na nini nchi itapata?
Ndugu zangu, kumbe mkataba huu umevujishwa kwa siri na wazalendo, lakini pia umepelekwa bungeni kujadiliwa tu na kupitishwa. Hakuna kitu kingine wabunge wanaweza kufanya.
Ndani ya nchi yetu kumewahi kushuhudiwa mikataba ya hovyo kama ile ya
A) Kagoda
B) Escrow
C) Buzwagi nk. Lakini mkataba huu ndio wa hovyo na hatari zaidi, kwani hauna kikomo!
Ndugu zangu, ni kweli watanzania wengi tuna njaa, lakini kuna wakati njaa zikae pembeni tuokoe vizazi vijavyo.
Wengi hawajui kua kampuni hii inamilikiwa na nchi za UAE (state owned) sasa sie Tanzania tunashindwa nini kuunda kampuni itakayosimamia bandari zetu.? Keanini tusiunde kampuni ambayo itatoka nje ya Tz kufanya biashara kama zilivyo kampuni za Dp word, au ile ya Arabs contractors? Ni kipi ambacho Tanzania tunakosa?
Sina lengo baya, ila inawezekana kwa sasa tuna uongozi wa hovyo kuwahi kutokea.