Nimerudisha imani kwa CHADEMA, nimerudisha imani kwa Mbowe, watanzania tuamke hii sasa inatosha

Though a bit too late lakini umefanya uungwana kumuomba radhi mwamba.. Hongera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe na genge lake ni wapuuzi wamehusika sana kuharibu nchi miaka 5 iliyopita
Jitahidi uwe unajizuia kuushiriki upumbavu kimaandishi ambayo ni kama muhuri wa moto.Ni bora kutulia na kuangalia wengine wanawaza nini ili ujifunze.Siyo kila kitu unang'ang'ania upuuzi ili tu ujifurahishe au kuonekana upo sana kwenye umoja wa wehu.
 
Tatizo wasomi wengi wa Tanzania ni vilaza na wezi ukiunda kampuni itafirisika dakika sifuri
 
Miamba! 👏👏👏

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Haitapita.. pumbafuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…