[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mchepuko kasalitiwa[emoji2][emoji2][emoji2]
fanya yako we mwenyewe si unaiba? basi shinda mechi zako
wa kuja kuumia ni mumewe siki akija kujua kuna wewe na kuna mpangaji mwenzio tena
ujuekwamba jamaa ndo atakae kuandalia fumanizi utafumwa ujue kuna ku tiwa savage kuna jela na gest au vyote kwa pamojaNataka nichane jamaa, ni mwambie aachane na demu wangu
anajikuta ana wivu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu. kwa zaidi ya mwaka sasa, nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake(alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja, hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande WA massage, nikaona msg zao wanavyo chati.
Huyo mwanamke ni malaya.Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu. kwa zaidi ya mwaka sasa, nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake(alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja, hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande WA massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.
Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha , sijui ni fanyaje.?
Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Tafuta mrembo mlete humo geto kwako weekend moja,atanyooka tu otherwise mpige teke km la chura vilemchepuko kasalitiwa😃😃😃
fanya yako we mwenyewe si unaiba? basi shinda mechi zako
wa kuja kuumia ni mumewe siki akija kujua kuna wewe na kuna mpangaji mwenzio tena
Kama unampenda basi muowe mkuuDuuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.
Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.
Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.
Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?
Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Mkiambiwa single maza hawafai in maguz voice muelewemchepuko kasalitiwa😃😃😃
fanya yako we mwenyewe si unaiba? basi shinda mechi zako
wa kuja kuumia ni mumewe siki akija kujua kuna wewe na kuna mpangaji mwenzio tena
😅😅😅dahMkiambiwa single maza hawafai in maguz voice muelewe