Nimesalitiwa na mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu

Nimesalitiwa na mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu

Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Nchi hii ina wapumbavu wengi sana
 
Usiwe na mawazo chukulia tu anakuza kipato. bro we kula mzigo. akiendelea nipe namba nimkanye
 
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Hakikisha muda wote unatembea na kikopo kidogo cha Rays au Vaseline...
 
Maisha haya yanafurahisha. Mwizi nae kaibiwa analalamika
 
Daah hii dunia ina watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
kamsemee kwa mumewe.
 
Huyo single mother sio mchezo, yaani mtoto wake ana baba wanne. Baba mzazi, baba wa kambo, halafu mnakuja nyie baba walezi [emoji1787]
 
Bado hushtuki kiongozi mke wa mtu kaolewa kutoka kuwa single mother , wewe umechapa na bado jirani ana chapa kwa wine .....huo si uchafu? Magonjwa ya kishamba tunayataka wenyewe na bado hujajua be alerted Taa nyekundu inakuwakia we bado unaendesha gari ngoja tuone!!!!
Ndio maana tunasema hapa JF kila siku Single mothers hawafai
 
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Nyie Ndiyo mnafanya wanaume tudharaulike.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.
Siku hizi hakuna mwanamke wa peke yako,
Umeng'oa demu kwa misaada ya sukari,
Wenzio wanang'oa kwa misaada ya wine,
Wanamkula akiwa yupo full vibe, anatoa vyooote!
Acha uboya.....
 
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
afya ya akili ni tatizo.
 
Mwite mwambie ukweli maana mmeshakuwa kwenye mahusiano ila umekosa mtu single ambaye yupo huru ?? Maana mumewe akija jua suo vizuri halafu ni nyumba moja mpo sio fresh
 
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Ote wase** na kama ndo ningekuwa mume mtu ninge wa** ote wawili hakuna kitu nisichokipenda kama mwanaume kutoka na mke wa mtu alafu ukawa unajisifia
 
Back
Top Bottom