Nimesalitiwa na mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu

Nimesalitiwa na mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu

Ukiiba halafu uibiwe inaumaga Dunia nzima yaani Bora angekuwa manzi yako mkuu ila wa mtu lazima ujiulize Mengi,ukizingatia wakati anaanza na ww alisema ana mume ila hamfikishi sasa kinachokuuma ni swali je kwann nipiga mashine Ile Bado anagawa k?
 
Pale mwizi anapotaka kumkamata mwizi mwenzake. Mwizi akiibiwa anapanic sana kwani anadhani haki ya kuiba ni ya kwake tu.
 
Kama ulivyoona chats zake, ipo siku mumewe ataona zenu vilevile. Jiandae kwa aibu ya karne hapo mtaani.
 
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Mwanamke malaya ni kama Nyoka hafugikiiiiii................endelea kuhudumia danga lako kwa muda wako na yule mwingine amuhudumie kwa wakati wake......... kumbuka kupata utelezi mara kwa mara kuimarisha mahusiano
 
Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.

Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.

Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.

Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?

Bado hajajua kama na fahamu lolote.
mchepuko naye anamchepuko wake 😄😄😄
 
mchepuko kasalitiwa😃😃😃

fanya yako we mwenyewe si unaiba? basi shinda mechi zako

wa kuja kuumia ni mumewe siki akija kujua kuna wewe na kuna mpangaji mwenzio tena
Atawaua wote.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 sasa unaachaje kusmile JF kama sio kucheka mpk mapafu yaume...
 
Jinga hili jipende mwenyewe kula vizuri vaa vizuri eti linampenda mke wa mtu alafu linaumia
 
Nataka nichane jamaa, ni mwambie aachane na demu wangu
Kuwa Kama Muwamba Ngoma, Vutia Kwako Kimya kimya. We kula huku unafuta mdomo....

NB hata mimi kuna ninayemhudumia mme wake hamjali kabisa yani.

Sisi wanaume tujali Familia
 
Back
Top Bottom