Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Atamtonya mwenye mke uwekewe mtego halafu ndo utajua hujuiNataka nichane jamaa, ni mwambie aachane na demu wangu
Takataka kama takataka zingine tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kaa na jamaa muwekane sawa kila mtu na zamu yake maana nyie wote takataka tu.
Kila mmoja ashinde mechi zakeNataka nichane jamaa, ni mwambie aachane na demu wangu
Mwanamke malaya ni kama Nyoka hafugikiiiiii................endelea kuhudumia danga lako kwa muda wako na yule mwingine amuhudumie kwa wakati wake......... kumbuka kupata utelezi mara kwa mara kuimarisha mahusianoDuuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.
Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.
Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.
Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?
Bado hajajua kama na fahamu lolote.
mchepuko naye anamchepuko wake 😄😄😄Duuh, kuchapiwa inauma sana aisee, nipo kwenye mahusiano na dada mmoja ambaye ni mke wa mtu kwa zaidi ya mwaka sasa.
Nimekuwa nikimuhudumia vizuri tu yeye pamoja na mwanaye, kwani mume aliye naye ni mtu wa kusafiri hata miezi mitatu, bila kuacha matumizi, Wala hamjali huyo mtoto kwa sababu siyo wa kwake (alioa single mother), tunaishi naye jirani wote tumepanga nyumba Moja.
Hivi karibuni nimegundua anamahusiano na mtu mwingine, naye ni mpangaji, hapahapa na huwa wanaonana siku Moja Moja au hata mchana wakati Mimi nikiwa kazini, hiyo ni baada ya kupitia simu yake kwenye upande wa massage, nikaona msg zao wanavyo chati. Msg inamwambia Leo kina eleweka naye anamwambia poa njoo na wine.. hapo ndipo nilipochoka ni kasema kweli wanawake ni hatari.
Huyu mwanamke nampenda sana na shindwa kumuacha, sijui nifanyaje?
Bado hajajua kama na fahamu lolote.
Atawaua wote.mchepuko kasalitiwa😃😃😃
fanya yako we mwenyewe si unaiba? basi shinda mechi zako
wa kuja kuumia ni mumewe siki akija kujua kuna wewe na kuna mpangaji mwenzio tena
We naeee hemu kula papa la ushirika hilo kwa utulivu!#Nataka nichane jamaa, ni mwambie aachane na demu wangu
Kuwa Kama Muwamba Ngoma, Vutia Kwako Kimya kimya. We kula huku unafuta mdomo....Nataka nichane jamaa, ni mwambie aachane na demu wangu