mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Tafadhali sana
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndiyo naana najikita huko kwenye kampuni sasaCha kwanza kabisa zingatia kuwa mahindi hayaoti mjini
Una mtaji wa kutosha? Unaweza kuendelea na biashara bila misukosuko kama hutolipwa zaidi ya mwaka mmoja? Kama uko vizuri anza kwa kujisajili NEST.Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Asante sanaHayo inabidi yawe malengo, anza kidogo kidogo ujenge jina kwanza.
Baada ya hapo kuwa karibu na Chama
Kila la kheri
Mtaji upo mwingi tu, we nipe michongo tuUna mtaji wa kutosha? Unaweza kuendelea na biashara bila misukosuko kama hutolipwa zaidi ya mwaka mmoja?
Bro una mtaji mwingi halafu hujui kwa kuanzia? Kama uko sawa, hatua ya kwanza jisajili NEST.Mtaji upo mwingi tu, we nipe michongo tu
Kusupply chochote serikaliniTenda kama zipi yaani? Tolea mfano mmoja ili nielewe
Yaani nami kabla sijasoma ujumbe wako, nimehisi ana mtaji mdogo. Huwezi kuwa na mtaji mkubwa halafu usijue namna ya kupata tender.Sikushauri tender za serikali labda ukuwe na mtaji mkubwa Ila Kama umekosa tender mpaka umecome hapa kuomba namna mzuri ya kupata tender ni wazi na mtaji ni mdogo ,hivyo ukweli ni kuwa serikali watakufirisi ndugu yangu ,tafuta tender huko private sector kwa serikali utaula wa chuya ,kaka mkubwa
Tender za serikali huwa zinatangazwa kwenye tovuti yao ya TANePs so wewe chakufanya unatakiwa ujisajiri then uanze kubid.Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
😃😃😃😃😃😃Kusupply chochote serikalini
Kuanzia chakula, madawa, kujenga barabara, sare za wafanyakazi mbalimbali na hata silaha, muhimu hela iingie tu
Private sector nazo zinamajanga yake kimsingi ajipnage tu kudai hata miaka 5 abadai malipo.Sikushauri tender za serikali labda ukuwe na mtaji mkubwa Ila Kama umekosa tender mpaka umecome hapa kuomba namna mzuri ya kupata tender ni wazi na mtaji ni mdogo ,hivyo ukweli ni kuwa serikali watakufirisi ndugu yangu ,tafuta tender huko private sector kwa serikali utaula wa chuya ,kaka mkubwa
Nina mtaji mkubwa sana, sema mda mrefu nimekuwa mkulima tu, mambo haya siyajuiYaani nami kabla sijasoma ujumbe wako, nimehisi ana mtaji mdogo. Huwezi kuwa na mtaji mkubwa halafu usijue namna ya kupata tender.
una kadi ya ccmKwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni