DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Sio TANePs tena. Ni NEST.Tender za serikali huwa zinatangazwa kwenye tovuti yao ya TANePs so wewe chakufanya unatakiwa ujisajiri then uanze kubid.
Hata zabuni nao sio wabaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio TANePs tena. Ni NEST.Tender za serikali huwa zinatangazwa kwenye tovuti yao ya TANePs so wewe chakufanya unatakiwa ujisajiri then uanze kubid.
Hata zabuni nao sio wabaya.
Hichi ndio nilikuwa natafuta, coz nimesiki tu juu juu, enhe niambie naanzaje moja mbili tatu mpaka mwishoTender za serikali huwa zinatangazwa kwenye tovuti yao ya TANePs so wewe chakufanya unatakiwa ujisajiri then uanze kubid.
Hata zabuni nao sio wabaya.
Nina mtaji mkubwa sana, sema mda mrefu nimekuwa mkulima tu, mambo haya siyajui
Ila nasikia huku kuna hela
Mtaji unaweza ukawa mkubwa kwa level yako, lakini kwa level nyingine bado mdogo.Nina mtaji mkubwa sana, sema mda mrefu nimekuwa mkulima tu, mambo haya siyajui
Ila nasikia huku kuna hela
Yeah ni sahihi walibadiliSio TANePs tena. Ni NEST.
Bora private sector ila sio serikali watamuuwa huyu jamaa nakwambia ndugu yanguPrivate sector nazo zinamajanga yake kimsingi ajipnage tu kudai hata miaka 5 abadai malipo.
Hizo sifa ni zipi sasaUmeanzisha kampuni inayodeal na masuala gani?
Kwa kifupi unataka uwe na sifa ya kuwa mzabuni.
Hakuna Mambo mengi ni wewe kuwa karibu na wakuu wa taasisi za serikali.
Sifi mkuu, hela ipi benki ya kutosha tuBora private sector ila sio serikali watamuuwa huyu jamaa nakwambia ndugu yangu
Kwanza kabisa hongera kwa hatua uliochukua.Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Sisi ni watanzania Kaka ubabaishaji ni sehemu ya maisha yetu 😭Yaani nami kabla sijasoma ujumbe wako, nimehisi ana mtaji mdogo. Huwezi kuwa na mtaji mkubwa halafu usijue namna ya kupata tender.
Hapa ndio ninapchanganyikiwaYeah ni sahihi walibadili
Kwanza kabisa hongera kwa hatua uliochukua.
Pili, jipe moyo maana kazi ndio kwanza imeanza
Tatu, hakikisha umecomply kitaratibu na sheria za nchi nikimaanisha makaratasi yako yawe sawa. Hakikisha una certification zote, tax clearance pamoja na kufuatilia mabo ya annual returns, filings kwa wakati ili kuepuka faini zisizo na tija..
Nne, jisajili kwenye mfumo wa NeST na fuata taratibu zote zilizoainishwa kwenye mfumo. Fuata hiyo link kujua zaidi 👇
View: https://youtube.com/playlist?list=PL0xdBmzPXCeGgX720ipgt2M2rQxyqGQ73&si=X7Q-MRcJ8FOrLLQF
Pia usipende kusikiliza kila kitu watu wanachosema. Kuwa na circle mnaojadili mambo yenye tija na maendeleo.
Utajifunza mengi ikiwemo namna ya kupata na kuongeza mtaji kwenye kampuni na kuwekeza katika miradi tofauti tofauti ili kuwa financially able kufanya mambo mengine.
Yangu ni hayo tu.
Alafu wewe jamaa una nikorofisha Sasa ,sidhani Kama una kampuni mbona unasifa sifa hivyo ?Sifi mkuu, hela ipi benki ya kutosha tu
Mbona hilo ni gumu kuliko hata hizo tender zenyewe?Easy tuu. Tafuta mke, mume, au mtoto wa kibosilr yeyote serikalini iwe wizarani, manispaa au halmashauri then mshawishi awe sehemu ya hiyo kampuni. Utatoboa athubui tuu.
Utakuwa huna ushawishi mkuu na sahau kuhusu kutoboa. Hapo namaanisha uwe unalamba wakubwa viatiMbona hilo ni gumu kuliko hata hizo tender zenyewe?
Usipanick mkuu, kwani ni uongo hela hakuna benki,Alafu wewe jamaa una nikorofisha Sasa ,sidhani Kama una kampuni mbona unasifa sifa hivyo ?
Basi sawa eleza unahitaji tenda kama zipi ili nikupe tender Sasa alafu nikubanie malipo nione Kama hautakuja kulialia hapa jjamvini ,mkuu DeepPond where are you budah?
Hapo cha kukushauri usifanye biashara haramu, wala kutoa au kupokea RUSHWA.Kusupply chochote serikalini
Kuanzia chakula, madawa, kujenga barabara, sare za wafanyakazi mbalimbali na hata silaha, muhimu hela iingie tu
Wewe jamaa naona umeamua tu kuja hapa kuchangamsha watu. Kama hayo mambo huyajui nini kilikutuma kusajili kampuni? Kuna comment yako umesema upo tayari kusupply chochote ikiwemo kujenga barabara. Sasa wewe hujui kila biashara ina leseni yake? Ina maana una leseni nyingi zaidi ya 5? Acha fiksi bro. Inakera sana kusoma ujinga ujinga wako kwenye jambo serious kama hili.Nina mtaji mkubwa sana, sema mda mrefu nimekuwa mkulima tu, mambo haya siyajui
Ila nasikia huku kuna hela
Sasa huko si ndio kwenye barabara na nasikia ndio kwenye hela?Tahadhali usifanye biashara na chochote ambacho kiko chini ya halmashauri utafilisika
Ngoja waje wataalam watakuelezea hapo coz mimi sio mtaalam wa haya mambo ila kuna ofisi niliwahi kuwepo nilikua nashuhudia vile bid zinavyofanyika.Hichi ndio nilikuwa natafuta, coz nimesiki tu juu juu, enhe niambie naanzaje moja mbili tatu mpaka mwisho