Nimeshaanzisha kampuni yangu, nataka niwe napata tender za serikali nifanyeje?

Nimeshaanzisha kampuni yangu, nataka niwe napata tender za serikali nifanyeje?

Mkuu hongera kwa kufungua kampuni yako ni hatua nzuri, Sasa nakukaribisha katika taasisi ya illuminati kwa lengo la kupanuka zaidi

Uwe na miaka 25 - 45
Mwanamke shupavu / mwanaume rijali
Uwe tayari kutoa sadaka ya mbuzi 5 wakubwa kwa ajili ya kiapo.
Baada ya kujiunga utapewa mtaji wako shilingi bilioni 10 kwa wewe mfanya biashara. Karibu ndugu tuungane pamoja kuleta maendeleo.
View attachment 3065478
Nataka tender tu mkuu, hayo ya kupanuka hapana aisee

Ushindwe haraka sana
 
Tenda kama zipi yaani? Tolea mfano mmoja ili nielewe

Hawa ndio wanakusanya wale vibikizee wanawaweka barabarani wawe wanafagia.
Wanachokifanya wale wazee ni kuhakikisha wanasababisha maximum chaos.
Wanaziba magari yasipite kama vile wanajua wanachofanya.
Kumbe wanasogeza mchanga pembeni ili kesho warudi kufagia tena
 
Hawa ndio wanakusanya wale vibikizee wanawaweka barabarani wawe wanafagia.
Wanachokifanya wale wazee ni kuhakikisha wanasababisha maximum chaos.
Wanaziba magari yasipite kama vile wanajua wanachofanya.
Kumbe wanasogeza mchanga pembeni ili kesho warudi kufagia tena
Yaani mkuu ninavyochukia wale jamaa wanavyotawanya vumbi yaani we acha tu, ule ni usumbufu mkubwa sana kwa jamii
 
Back
Top Bottom