Nimeshaanzisha kampuni yangu, nataka niwe napata tender za serikali nifanyeje?

Nimeshaanzisha kampuni yangu, nataka niwe napata tender za serikali nifanyeje?

Tuanze na haya maswali hapa:
1. Kwanini mmesajili kampuni?
2. Hao wamiliki wenzako mmekosa mawazo yakujua muanzie wapi?

Ila naona kama mmekimbilia mbali sana kusajili kampuni, wengi wanafikiri tenda za serikali lazima kuwe ni kampuni ila bado zipo tenda wanaingia proprietors na partnerships pia. Kampuni ni gharama zisizo na ulazima hasa kwa wanaoanza.

Samahani mchango wangu upo nje kidogo ya uhitaji wko ila nimeona nikupe alarm kichwani Mkuu.
Mkuu naomba maekezo zaidi kuhusu hili suala la proprietors na partnerships linafanyikaje
 
Mkuu naomba maekezo zaidi kuhusu hili suala la proprietors na partnerships linafanyikaje
Tenda nyingi za halmashauri naona zinakubali hizo aina za wafanyabashara, sasa sijajua unataka kufahamu kitu gani Mkuu labda ufafanue swali lako kiongozi
 
Kuna kamsemo kamoja kutoka Kwa gwiji Mmoja wa siasa za bongo kanafanana na "Liwa kwanza ndio ule"

Huko lazima uwe na pesa na uwezo wa kisaamehe madeni pia, huko sio kama biashara za sokoni lipa kwanza ndio update huduma au bidhaa. Huko toa huduma tukutane mwakani na Chao walishachukua mapema.

Kila mkuu akibadirika utaanza kudai Mwanzo Kwa kuonesha vielelezo unaweza kwenda Hata miaka mitano. Ila uhakika serikali haidhurumu mtu.
Tunadai madeni 2023/2024 serikali inadhurumu
 
Tuanze na haya maswali hapa:
1. Kwanini mmesajili kampuni?
2. Hao wamiliki wenzako mmekosa mawazo yakujua muanzie wapi?

Ila naona kama mmekimbilia mbali sana kusajili kampuni, wengi wanafikiri tenda za serikali lazima kuwe ni kampuni ila bado zipo tenda wanaingia proprietors na partnerships pia. Kampuni ni gharama zisizo na ulazima hasa kwa wanaoanza.

Samahani mchango wangu upo nje kidogo ya uhitaji wko ila nimeona nikupe alarm kichwani Mkuu.
Yaani mkuu hapa ndio umenichanganya kabisa, hivi kumbe ningepata tenda ya serikali bila kuwa na kampuni?
Kweli nimesumbuka bure muda na pesa
 
Hizi hapa ushindwe wewe tu
Pole humu JF yamejaa mambula tupu na bodaboda wehu
yamepeleka uzi fasta page kadhaa kuongea utumbo tupu

1723334170885.png



1723334223879.png
 
Hizi hapa ushindwe wewe tu
Pole humu JF yamejaa mambula tupu na bodaboda wehu
yamepeleka uzi fasta page kadhaa kuongea utumbo tupu

View attachment 3066492


View attachment 3066493
Asante, ngoja nichanfamkie hizi tuone itakuweje ingawa nyingi mda umetupa mkono
 
Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
1. Hakikisha una comply na sheria kanuni na taratibu, mfano leseni ya biashara, TIN, tax clearance etc

2. Jiunge na mfumo manunuzi wa serikali yaani NeSt kama hujui tafuta kijana anayeweza kukufanyia hiyo kazi na inatakiwa most of the time awe anachungulia tender zilizitangazwa ingawa baada ya kuwa registered na subscribed utakuwa unatapa notifications tender zikitangazwa!

3. Tender nyingine huwa zinatolewa na single source fika ofc husika km inafikika kuweka nazingira.

4. Usiwe na mkono wa birika kwa maafisa manunuzi.
 
1. Hakikisha una comply na sheria kanuni na taratibu, mfano leseni ya biashara, TIN, tax clearance etc

2. Jiunge na mfumo manunuzi w serikali yaani NeSt kama hujui tafuta kijana anayeweza kukufanyia hiyo kazi na inatakiwa most of the time awe anachungulia tender zilizitangazwa.

3. Tender nyingine huwa zinatolewa na single source fika ofc husika km inafikika kuweka nazingira.

4. Usiwe na mkono wa birika kwa maafisa manunuzi.
Sawa vizuri sana na nikubali kuliwa ili nami nile au sio?
Pamoja sana
 
Back
Top Bottom