mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
- #41
Mkuu nipo serious sana na kampuni tayari na baadhi ya leseni tayari na pia naangalia fursa iliyopo mbele, kutengeneza leseni yeyote siyo ishu maadamu itafanya kazi, so lete tender tuWewe jamaa naona umeamua tu kuja hapa kuchangamsha watu. Kama hayo mambo huyajui nini kilikutuma kusajili kampuni? Kuna comment yako umesema upo tayari kusupply chochote ikiwemo kujenga barabara. Sasa wewe hujui kila biashara ina leseni yake? Ina maana una leseni nyingi zaidi ya 5? Acha fiksi bro. Inakera sana kusoma ujinga ujinga wako kwenye jambo serious kama hili.