Nimeshaanzisha kampuni yangu, nataka niwe napata tender za serikali nifanyeje?

Nimeshaanzisha kampuni yangu, nataka niwe napata tender za serikali nifanyeje?

Wewe jamaa naona umeamua tu kuja hapa kuchangamsha watu. Kama hayo mambo huyajui nini kilikutuma kusajili kampuni? Kuna comment yako umesema upo tayari kusupply chochote ikiwemo kujenga barabara. Sasa wewe hujui kila biashara ina leseni yake? Ina maana una leseni nyingi zaidi ya 5? Acha fiksi bro. Inakera sana kusoma ujinga ujinga wako kwenye jambo serious kama hili.
Mkuu nipo serious sana na kampuni tayari na baadhi ya leseni tayari na pia naangalia fursa iliyopo mbele, kutengeneza leseni yeyote siyo ishu maadamu itafanya kazi, so lete tender tu
 
Ngoja waje wataalam watakuelezea hapo coz mimi sio mtaalam wa haya mambo ila kuna ofisi niliwahi kuwepo nilikua nashuhudia vile bid zinavyofanyika.

Inshort hizo tender huwa zinakuja na maelezo kamili pamoja na vigezo na masharti yake then wewe utapitia utaona kama uko na hivyo vigezo vya kuitekeleza hiyo tender na ukishajiridhisha basi unaandaa proposal then unaituma.
Pamoja sana, nimejifunza kitu hapa
 
Pamoja sana, nimejifunza kitu hapa
Usisite kukaa na waliokutangulia uone jinsi wanavyoandaa hizo proposal coz shida kubwa ni hapo kwenye kuandaa proposal pia unatakiwa utengeneze connection na watu kadhaa wa ndani... maana ushindani huwa ni mkubwa lakini wateule huwa wanajulikana.
 
Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Ushauri wa bure katafute tenda private sector sio serikalini, ninawajua watu ambao wamesupply bidhaa na huduma serikalini ni miaka sasa imepita kulipwa imekuwa mtihani. Mmojawapo mtaji umekatika na company ipo juu ya mawe. Ila kama ndo wito ulopewa na Mungu haya kila la kheri.
 
Kuna njia nyingi ...halali na zisizo halali unataka tuanze na zipi?
1000011299.jpg
 
Mkuu hongera kwa kufungua kampuni yako ni hatua nzuri, Sasa nakukaribisha katika taasisi ya illuminati kwa lengo la kupanuka zaidi

Uwe na miaka 25 - 45
Mwanamke shupavu / mwanaume rijali
Uwe tayari kutoa sadaka ya mbuzi 5 wakubwa kwa ajili ya kiapo.
Baada ya kujiunga utapewa mtaji wako shilingi bilioni 10 kwa wewe mfanya biashara. Karibu ndugu tuungane pamoja kuleta maendeleo.
Screenshot_20240807-213946_(1).png
 
Mkuu nipo serious sana na kampuni tayari na baadhi ya leseni tayari na pia naangalia fursa iliyopo mbele, kutengeneza leseni yeyote siyo ishu maadamu itafanya kazi, so lete tender tu
Ingia kwenye industry ya tailoring services. Unapiga uniform za hospitality, security, safety kits
 
Ushauri wa bure katafute tenda private sector sio serikalini, ninawajua watu ambao wamesupply bidhaa na huduma serikalini ni miaka sasa imepita kulipwa imekuwa mtihani. Mmojawapo mtaji umekatika na company ipo juu ya mawe. Ila kama ndo wito ulopewa na Mungu haya kila la kheri.
Yaani sasa hivi sioni sisikii na hizo tenda, yaani hata sijui kuna nini
 
Usisite kukaa na waliokutangulia uone jinsi wanavyoandaa hizo proposal coz shida kubwa ni hapo kwenye kuandaa proposal pia unatakiwa utengeneze connection na watu kadhaa wa ndani... maana ushindani huwa ni mkubwa lakini wateule huwa wanajulikana.
Nitakaa nao ila nimeambiwa kuna wataalamu wanaotayarisha hizi tenda na wanapatikana humo humo kwenye tenda , yaani kwa kweli nimepania kweli kweli
 
Back
Top Bottom