FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kweli lengo ni kukusanya kodi ama kuna mtu anahujumiwa?
Kweli wanaaminini wananchi tutaikubali hali hii kikondoo?
Kweli wanaaminini wananchi tutaikubali hali hii kikondoo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafanyaje sasa haka kama hukibariani na hali.. sei ni makondooo.. hili litapita na watu watazoea ... sie ni watu wa maneno mengi mengi na kusema sema vitendo ni sifuriKweli lengo ni kukusanya kodi ama kuna mtu anahujumiwa?
Kweli wanaaminini wananchi tutaikubali hali hii kikondoo?
Wabunge wateule wa mwenda, sio wabunge wa wananchi! Wakat wa uchaguzi mlikua mnatukana mara ooh katumwa na mabeberu, mara ooh shoga ! Mkafurahia kupita bila kupingwa!Wabunge wetu ndiyo chanzo kikuu cha shida za Mtanzania
Kweli lengo ni kukusanya kodi ama kuna mtu anahujumiwa?
Kweli wanaaminini wananchi tutaikubali hali hii kikondoo?
Utajikuta unajamba ovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama ametubananisha kwenye kona ya kitanda.
Ndiyo lengo. KODI halali ambayo hutoi rushwa ka TRA wakukadirie kidogo wala hawawezi kukubandikia kodi isiyokuwepo. Hii ni afadhali kuliko kupata kodi kwa nguvu na kufunga biashara za watu.Hao matajiri ndio watumiao simu kwa wingi hivyo watatoa kodi kubwa. wewe wa vocha ya 500 watakukata shs 10 siku ukiweka mara moja kwa mwezi ili line isifutwe. Maoni yangu tu. Nataka pesa hizo zikakamilishe mradi wa umeme rufiji na reli ya SGR TU. ULE WA BAGAMOYO WATOE HAO WAWEKEZAJI PESA YOTE KAMA WANAITAKA BANDARI SASA HIVI. ISUBIRI TUKAMILISHE RELINA BWAWA.Kweli lengo ni kukusanya kodi ama kuna mtu anahujumiwa?
Kweli wanaaminini wananchi tutaikubali hali hii kikondoo?
Kumbe na nyinyi CCM mnakatwa?Kweli lengo ni kukusanya kodi ama kuna mtu anahujumiwa?
Kweli wanaaminini wananchi tutaikubali hali hii kikondoo?
Kumbe na nyinyi CCM mnakatwa