ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Twende taratibu, umesema Constantine ndio ameanzisha Ukatoliki lakini maelezo yako hayajaonesha alipoanzisha Kanisa jipya! Naomba tujikite hapo. Alafu umesema maaskofu wa Greece kujitenga, mbona hiyo ni baadae sana na sababu zao za huo mtifuano zipo wazi! Hayahusiani na mambo ya Rumi na dola ya kirumi ilishajifia.Alichofanya Constantine ni kutangaza kwamba ukristo umekuwa imani official ya roman empire hivyo kila mtu ni lazima awe mkristo.
Matokeo ya hili tamko ni kuingizwa katika kanisa watu wasiokuwa na imani ndani ya Kristo Yesu. Hapa ndio matendo ya upagani yakaanza kushamiri katika kanisa lililokuwa ndani ya roman empire.
Baada ya hapo maaskofu wa Greece wakajitenga na kukataa mwelekeo wa kanisa la rome yakazaliwa makanisa ya orthodox. Pia wakati ule Alexandria pia kanisa lilikuwa kubwa nalo lilipinga mwenendo wa kanisa la rome.
Mambo ya ajabu yakaanza kuingizwa kwenye kanisa la rome (roman catholic) na yakazidi kukua mpaka kipindi cha reformation cha martin luther. Mbaya zaidi badala ya roman catholic kutubu walichokifanya ile miaka ya 1500s ni kuingiza vile vitabu vilivyokataliwa na wayahudi na mabaraza ya kanisa pamoja na early church fathers ili tu kulinda mapokeo yao.
Hii haimaanishi kwamba maaskofu wote waliokuwepo rome kipindi cha Constantine walikuwa waasi, hapana. Wengi waliendelea kuwa waaminifu kwa Mungu na maandiko ya biblia lakini walizidiwa na uwepo wa watu wengi walioingia ghafla kwenye kanisa. Na shida kubwa ilikuwa wale matajiri na viongozi wa kiserikali ambao walitaka waonekane bora na kubadilisha mafundisho ya kikristo.
Kwahiyo mabadiliko yaliingia taratibu kuanzia kipindi cha Constantine na kanisa la roman empire likazidi kupoteza mwelekeo na kuwa genge la wapagani ambao walikuja kugeuka na kuwa na mapapa wengi tu waliokuwa wanaua wakristo kwa maelfu.
Hii ndio roman catholic iliyopo sasa hivi isiyokuwa hata na aibu inamuomba Maria awaombee kinyume kabisa na maandiko ya biblia. Hii ndio roman catholic yenye masanamu ndani yake. Roman catholic inayoombea wafu kinyume na biblia.
Niishie hapa.
Nimesema alianzisha roman catholic na sio mwanzilishi wa catholic (kanisa la dunia nzima) na huu ni ukweli. Yeye alianzisha dini ya roman catholic kwa kupitia mgongo wa kanisa lililokuwepo tayari na asilimia kubwa aliweza kulicorrupt kanisa lililokuwepo mpaka likapoteza nuru ya Kristo.Twende taratibu, umesema Constantine ndio ameanzisha Ukatoliki lakini maelezo yako hayajaonesha alipoanzisha Kanisa jipya! Naomba tujikite hapo. Alafu umesema maaskofu wa Greece kujitenga, mbona hiyo ni baadae sana na sababu zao za huo mtifuano zipo wazi! Hayahusiani na mambo ya Rumi na dola ya kirumi ilishajifia.
Sisi ni Wakristo, hatuhitaji uongo kuinjilisha. Unajua huko Rumi dini ya kiyahudi ilipewa ruhusa pia kabla ya Ukristo? Unajua Ukristo kuwa dini rasmi ya Rumi ilikuwa lini? Usishanganye Wakristo kuruhusiwa na kutambuliwa kama dini na pale rumi ilipoamua kuifanya kuwa dini ya dola.
Alafu unajua faida za Rumi kuokoka? Unajua mchango wao kupitia mifumo na maendeleo yao yalivyosaidia Ukristo imara? Hata mitaguso ya mwanzo kukusanya maaskofu ili kujadili na kuweka misimamo ya kiimani kinyume na uzushi ikiwemo uzushi mkubwa kuwa Yesu si Mungu ulifadhiliwa na Rumi!
Hivi unajua nguvu ya ofisi ya Peter duniani hata leo? Unafikiri ni mapenzi ya shetani? Hata kiimani unafikiri pale kwenye msalaba wa Yesu " Yesu mfalme wa Wayahudi" kuandikwa kwa lugha tatu, Kiebrania, kilatini na kigiriki unafikiri ilikuwa bahati mbaya au kwavile zilikuwa tu lugha maarufu? Kachunguze uelewe ili uache tabia ya upinga Kristo bila kujua.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mantiki ya hii paragraph ni kuwa umemfanya Kristu awe muongo kwani alisema milango ya kuzimu haitalishinda kanisa lakini wewe unasema kanisa lilishindwa vibaya na Rumi mpaka likapoteza nuruNimesema alianzisha roman catholic na sio mwanzilishi wa catholic (kanisa la dunia nzima) na huu ni ukweli. Yeye alianzisha dini ya roman catholic kwa kupitia mgongo wa kanisa lililokuwepo tayari na asilimia kubwa aliweza kulicorrupt kanisa lililokuwepo mpaka likapoteza nuru ya Kristo.
Nashu
Kanisa Katoliki liligawanyika karne ya 10 na ukabakia upande wa Constantinople ugiriki na Roma kwa Papa. Constantinople na Rome walikuwa na tofauti muda mrefu sababu wote walikuwa na nguvu hivyo kufanya hata mambo ya imani kupingana kabla mgogoro huo kukolezwa na kulipasua Kanisa mwaka 1054. Pamoja na tofauti zilizopo ila makanisa haya yanafanana mambo mengi kimafundisho.Nimesema alianzisha roman catholic na sio mwanzilishi wa catholic (kanisa la dunia nzima) na huu ni ukweli. Yeye alianzisha dini ya roman catholic kwa kupitia mgongo wa kanisa lililokuwepo tayari na asilimia kubwa aliweza kulicorrupt kanisa lililokuwepo mpaka likapoteza nuru ya Kristo.
Nashukuru kwamba umeelewa kwamba kwa kuzingatia misingi roman catholic lilivyoanza na linavyoendelea sasa ni nje ya neno la Mungu LAKINI taasisi hiyo ya roman catholic ulimwenguni pote inazo faida nyingi hasa kwenye elimu na afya. Kuna maeneo hata injili imepelekwa na roman catholic maana mtume Paulo alisema iwe kwa hila au kwa dhati cha muhimu injili ifike mbali.
Mimi ninaamini Mungu anao watu wengi ndani ya roman catholic na anazidi kuwaokoa kwa neema yake. Movement kama ile ya charismatic ni njia mojawapo ya kupeleka wokovu ndani ya roman catholic. Kuna nchi kadhaa ambapo roman catholic inashirikiana na makanisa yanayoitwa ya kiprotestant na hii imesaidia wengi kukutana na Yesu Kristo.
Changamoto kubwa ni ileile aliyokutana nayo Bwana Yesu Kristo wakati alipokuwa anahubiri injili. Watu wa dini huwa wanakuwa dogmatic. Mungu anabadilisha methods za utendaji wake na kuleta mafunuo mapya kila kizazi bila kubadilisha principles zake. Neno lake halibadiliki.
Roman catholic ilitakiwa kutubu kipindi cha Luther na ilipokataa tukapata Lutheran. Lutheran ilitakiwa kutubu kipindi cha John Wesley na Charles Wesley na ilipokataa tukapata Methodist na baptist. Hawa nao walipokataa kupokea mafunuo mapya kipindi cha Seymour tukapata Assemblies na Charismatic. Hawa nao sasa hivi hawataki kukubali ufunuo wa kinabii na mitume hivyo mvutano unaendelea nyakati hizi.
Hapa duniani hakuna jipya, yanajirudia yaleyale. Hatari kubwa ni kumuwekea Mungu mipaka katika utendaji wake. Mimi niko open kujifunza katikati ya mafunuo mapya kwa kuhakikisha nayakubali yale yaliyopo kwenye neno la Mungu na kuyakataa yale yaliyo nje. Canonicity of the bible tuizingatie, tusipunguze au kuongeza lolote.
Yes, Kwamba Kanisa lilishindwa na Rumi hadi padre mmoja Martin Luther na wenzake "reformers" ndio wakaleta Ukristo wa kweli!Mantiki ya hii paragraph ni kuwa umemfanya Kristu awe muongo kwani alisema milango ya kuzimu haitalishinda kanisa lakini wewe unasema kanisa lilishindwa vibaya na Rumi mpaka likapoteza nuru
Mkuu huyo amekaza ubongo tuYes, Kwamba Kanisa lilishindwa na Rumi hadi padre mmoja Martin Luther na wenzake "reformers" ndio wakaleta Ukristo wa kweli!
Hao reformers waliunda makanisa yao yenye mafundisho yao, wakanyofoa vitabu 7 vya agano la kale! Waliunda dini mpya ndani ya Ukristo ambao haukuwepo tangu mwanzo na hata wao walivyoupokea!
Reformers maana yake ilipaswa kuwa kwenye kile kilichopo lakini wao waliunda mapya na sasa tuna madhehebu zaidi ya 40,000 ya Kikristo yenye mambo mengi tofauti! Hii sio reformation ni deformation!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.
Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???
Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Uje utueleze baada ya Constantine kuwa mkatoliki, na mambo ya ajabu kutokea ..... Kanisa la Greek na Alexandria walijitenga .....Alichofanya Constantine ni kutangaza kwamba ukristo umekuwa imani official ya roman empire hivyo kila mtu ni lazima awe mkristo.
Matokeo ya hili tamko ni kuingizwa katika kanisa watu wasiokuwa na imani ndani ya Kristo Yesu. Hapa ndio matendo ya upagani yakaanza kushamiri katika kanisa lililokuwa ndani ya roman empire.
Baada ya hapo maaskofu wa Greece wakajitenga na kukataa mwelekeo wa kanisa la rome yakazaliwa makanisa ya orthodox. Pia wakati ule Alexandria pia kanisa lilikuwa kubwa nalo lilipinga mwenendo wa kanisa la rome.
Mambo ya ajabu yakaanza kuingizwa kwenye kanisa la rome (roman catholic) na yakazidi kukua mpaka kipindi cha reformation cha martin luther. Mbaya zaidi badala ya roman catholic kutubu walichokifanya ile miaka ya 1500s ni kuingiza vile vitabu vilivyokataliwa na wayahudi na mabaraza ya kanisa pamoja na early church fathers ili tu kulinda mapokeo yao.
Hii haimaanishi kwamba maaskofu wote waliokuwepo rome kipindi cha Constantine walikuwa waasi, hapana. Wengi waliendelea kuwa waaminifu kwa Mungu na maandiko ya biblia lakini walizidiwa na uwepo wa watu wengi walioingia ghafla kwenye kanisa. Na shida kubwa ilikuwa wale matajiri na viongozi wa kiserikali ambao walitaka waonekane bora na kubadilisha mafundisho ya kikristo.
Kwahiyo mabadiliko yaliingia taratibu kuanzia kipindi cha Constantine na kanisa la roman empire likazidi kupoteza mwelekeo na kuwa genge la wapagani ambao walikuja kugeuka na kuwa na mapapa wengi tu waliokuwa wanaua wakristo kwa maelfu.
Hii ndio roman catholic iliyopo sasa hivi isiyokuwa hata na aibu inamuomba Maria awaombee kinyume kabisa na maandiko ya biblia. Hii ndio roman catholic yenye masanamu ndani yake. Roman catholic inayoombea wafu kinyume na biblia.
Niishie hapa.
Vitu vingine ni logic kidogo tu,bila kujali aina ya dini,binadamu wote tunaomba kwa "superior being"aliyesababisha sisi na Dunia na ulimwengu uwepo!!huyo aliyevitengeneza,awe Allah,God,Jah,Jesus,Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.
Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???
Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Iliwekwa na Nani?Kwanza huwa nakushangaeni sana watu wa dizaini yako, huwa mnawashwa wapi kufatilia imani za watu?
Kwani lazima uamini anachoamini mtu mwingine?
Tuache tuendeelee kumheshimu Mama wa Mungu,na kwa taarifa yako tu, TZ iliwekwa chini ya ulinzi wa Mama Bikira Maria.
Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hayo unayosema wenzio walishayajua zamani. Wewe ni heretic. Kanisa lenye miaka 2000 limepitia mengi na hakika Roho Mtakatifu walioahidiwa atawasaidia anawasaidia na kuwafundisha.Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Nilitegemea uweke maandiko yanayosema uombe kwa hao akina maria na watakatifu badala ya kuweka empty statements.Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hayo unayosema wenzio walishayajua zamani. Wewe ni heretic. Kanisa lenye miaka 2000 limepitia mengi na hakika Roho Mtakatifu walioahidiwa atawasaidia anawasaidia na kuwafundisha. Ungejaribu kuwauliza ni kwa nini, mimi ninafahamu ni kwa nini anamuomba Maria na watakatifu. Na imeandikwa, isitoshe sio kinyume na maandiko wala amri za Mungu.
Hapa unaonesha wewe ni mshabiki wa katoliki na upo tayari hata kudanganya ili ujifurahishe. Naomba unijibu hili swali, vitabu vile sita viliongezwa mwaka gani kwenye biblia ya wakatoliki?Yes, Kwamba Kanisa lilishindwa na Rumi hadi padre mmoja Martin Luther na wenzake "reformers" ndio wakaleta Ukristo wa kweli!
Hao reformers waliunda makanisa yao yenye mafundisho yao, wakanyofoa vitabu 7 vya agano la kale! Waliunda dini mpya ndani ya Ukristo ambao haukuwepo tangu mwanzo na hata wao walivyoupokea!
Reformers maana yake ilipaswa kuwa kwenye kile kilichopo lakini wao waliunda mapya na sasa tuna madhehebu zaidi ya 40,000 ya Kikristo yenye mambo mengi tofauti! Hii sio reformation ni deformation!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hii argument yako ni dhaifu sana. Hujaielewa kauli ya Bwana Yesu Kristo. Rudi kusoma historia halafu utumie argument yako kutueleza ilikuwaje nchi za kikristo kama uturuki, misri, tunisia, algeria, syria na indonesia zimekuwa za kiislamu sasa hivi.Mantiki ya hii paragraph ni kuwa umemfanya Kristu awe muongo kwani alisema milango ya kuzimu haitalishinda kanisa lakini wewe unasema kanisa lilishindwa vibaya na Rumi mpaka likapoteza nuru
Poa, thibitisha basi sio kunilisha maneno matupu.Vitu vingine ni logic kidogo tu,bila kujali aina ya dini,binadamu wote tunaomba kwa "superior being"aliyesababisha sisi na Dunia na ulimwengu uwepo!!huyo aliyevitengeneza,awe Allah,God,Jah,Jesus,
Bottom line vitu havitokei tu,huwezi kusema,uende dukani uikute Samsung Galaxy,au apple,harsfu useme imetokea tu!!lazima Kuna brain behind iliyoitrngrneza,
Sasa kama wandsmu wapo,na Dunia,na sayari!!The could not have just happened by accident!some one some super being designed all of these.
Huyo ndio Profesa akifumba macho anamuona!!