Nimeshangaa Mufti kuongea maneno ya kujipendekeza kuwa Rais awasamehe kina Mbowe

Nimeshangaa Mufti kuongea maneno ya kujipendekeza kuwa Rais awasamehe kina Mbowe

Nimemshangaa Mufti Abubakar Zubery kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.

Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana.Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?

Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tuu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha. Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?

Hii ndiyo shida mnkua na viongozi elimu yao ni Madrasa tu kwenye sekula huku hakuna kitu, yaani yeye yupo kimaslahi tuu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.

Kwakweli waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote. Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.
Hii ndio kauli ya Katibu mwenezi wa CCM Taifa.
Umerudi kutoka Dubai?
 
Rais Samia ni mtu Muungwana sana na anashaurika vizuri mengi tunayoandika huku anayaona na tunavyomkosoa kwa staha anajifunza, akili za chadema muda mwingine za kipumbavu sana, kazi kutukana hovyo
Mimi siwezi kusema akili za chadema ! Ila ntasema Hao ambao wanalalama wangengoja kwanza Mbowe atoke ndipo waongee hayo wanayotaka kuongea ! Gerezani sio kuzuri jamani !!
 
Mimi siwezi kusema akili za chadema ! Ila ntasema Hao ambao wanalalama wangengoja kwanza Mbowe atoke ndipo waongee hayo wanayotaka kuongea ! Gerezani sio kuzuri jamani !!

Wanaakili basi, ukiomba msamaha haimaanishi kwamba umekosa hapana ni busara ya kawaida tu basi hua nawasikiliza viongozi wao akina lema na lissu unaona kabisa hawa bado wako nyuma sana kifikra
 
Mtoa mada umeaongea mambo mengi sn ambayo ni malimbikizo tu ya hasira zako kwa waislamu na wala si kwamba Mufti Zuber amekosea lolote.

Unalazimisha kile unachokiona wewe na Chadema wote wakione hivyo. Mimi ingawa sina uanachama wa Chama chochote, lakini napenda hoja nyingi za Chadema na Demokrasia kiujumla na nimekipigia kura mara zote. Ila kwa Mufti kusema Mwamba asamehewe, kosa hasa hadi ukashifu uislamu wote, na elimu kiujumla ya dini itolewayo madrasa inakuwaje?

Jiulize Maswali haya kutoka kwenye uzi wako;
1. Je kama mahakama imemkuta ana kesi ya kujibu, huoni kuwa hapo kuna tatizo? Huoni kuwa si Mufti bali hata mahakama inapishana mtazamo na wewe kuhusu huko Kubumba unakokusema?

2. Je unajua maudhui ya mafundisho ya Madrasa hata uone alichokiongea Mufti kuhusu kusamehewa kuwa alifundishwa huko ama ni mtazamo wake?

3. Hivi kwani viongozi wote wa kikristo ambao wamesoma Sunday school ( wanaunga mkono kesi iendelee mahakamani na ikibidi jamaa afungwe?) Au wapo pia wenye fikra za kutaka asamehemewe na kuwa huru?

4. Wewe kama mfuasi, kati ya mwamba kuachiwa huru (kivyovyote vile) na kuendelea kuwa jera au hata kufungwa kabisa kipi ni chema kwako? Maana maneno yote hayo ni kwa vile ameomba jamaa aachiwe huru.

5. Endapo ungelikuwa wewe ni binti yake Freeman au mkewe, kauli ya kutaka asameheme ungeichukulia kwa namna hiyo hiyo negative kama ulivyoichukulia?

Mwisho.

Kwa kweli umeongea kwa hasira sn. Na huenda ulichokiandika ni robo tu ya hasira na chuki yako kwa Mufti na uislamu kiujumla. Ila nikwambie tu, Mufti hana kosa lolote na yupo vizuri sana kifikra na kiweledi kwenye mambo mengi makubwa kukuzidi mbali sn.

Waislamu tunajivunia kuwa naye na wala huna mamlaka ya kutuchagulia, pia kiongozi mzuri sio lazima afanane maono na wewe kwa sababu hata wewe sio kiongoz. Ndio maana hakuna anayekujua zaidi ya Maamako.

Elimu ya Madrasa ni elimu kubwa sana ya kiutambuzi ya maarifa juu ya kumjua Mungu, misingi ya haki, upendo, amani na maisha ya mwanadamu kiujumla. Usitukane usichokijua kwa kuendeshwa na mihemko ya kichama ama kwa maneno unayopewa na watu wako juu ya uislam pasipo kutaka kuujua wewe binafsi.

Pia inaonesha hujui kilicho nyuma ya kauli ya Mufti. Hakuongea kwa kukurupuka. Anajua anachokisema na utapata majibu muda si mrefu. Pigia mstari hii. Kuna viongozi wa kikristo wanafanya mambo mengi tu yasiyofaa na yapo kinyume kabisa na mafundisho ikiwemo wale wanaotetea ushoga na wengine kujitangaza wao kuwa mashoga (Nadhani hata Nabii Tito - Kiongozi wako pia) ni mfuasi mzuri wa hilo na anafanya mambo mengi ya ajabu hadharani, lakini muislam wa kweli hawezi kukashifu Biblia (Injil) kwa vile tu kuna mtu/watu wachache wanafanya mambo ya ajabu.

Nakushauri uwe na adabu kwa viongozi wa imani zingine na waumini wao, lakini pata muda ujifunze vya wengine na usimuone asiye na mtazamo sawa na wewe kuwa huyo ni wa hovyo na hakusoma. Kama elimu ya secular ndio mwarobaini wa kila kitu, leo hii Doctors (PHDs) na Professors ndio wangekuwa viongozi wazuri kwa ngazi zote na ndio wenye maisha mazuri zaidi, lakini haiko hivyo.

Ikikupendeza , omba msamaha. Umekosea sana.
 
Unapoongea na mtawala kuna codes zake mbona mnakua kama watoto, kuongea na Rais hua wanatumia hekma na busara sana na ajione ni mtawala nanyi awasikilize pale hauongei na mshikaji wako na kwa taarifa yako askofu shoo na wenzake waliomba hiyo nafasi ili wakamwombee Mbowe msamaha, lakini kwa ujinga wa wafuasi wa chadema mmeanza kulipuka haya Mbowe hana kosa sawa ngoja tusubiri mahakama itaamua nini
Hizo code zinapatikana wapi?

Yan umuombee mtu msamaha kwa gharama ya kumfanya aonekane mkosefu, kabla hata ya hukumu?

Hii inatofauti gani na ile baadhi ya watuhumiwa wa ugaidi wameshafungwa ili hali hakuna aliyefungwa.

Angeomba msaha vyvovyote lakini sio kuprove kuwa mbowe anahatia kabla ya uhukum.

Tunajua amesetiwa lakini kama kwa uamsho.
 
Nina jiuliza kesi ya Mbowe ikiwa imefunguliwa kwa misingi ya HAKI au sivyo, kujitetea sio HAKI yake?

HAKI haipaswi kutamalaki kwa kila jambo na kila hatua?
 
Hizo code zinapatikana wapi?
Yan umuombee mtu msamaha kwa gharama ya kumfanya aonekane mkosefu,
kabla hata ya hukumu?
Hii inatofauti gani na ile baadhi ya watuhumiwa wa ugaidi wameshafungwa ili hali hakuna aliyefungwa.
Angeomba msaha vyvovyote lakini sio kuprove kuwa mbowe anahatia kabla ya uhukum.
Tunajua amesetiwa lakini kama kwa uamsho.
Ajitokeze mwamba mmoja akakae huko gerezani ili Mbowe atoke kisha kesi iendelee mpaka kweli ijulikane ! Nani yupo tayari ??! (Natania tu ) !
 
"Kiongozi mkubwa" enzi za uhai wa Magufuli akidai kuwa Magufuli ni mkubwa kuliko Mungu,Yesu na Mtume Mohamad😁😁😁
 
We km kweli ni profesa basi itakuwa ulipewa huo uprofesa na shemeji zako wanaokuchukulia dada zako. Huna akili kabisaaa. Ukiacha kukashfu dini usiyoipenda na unayotamani ifutike ulimwenguni kama ulivyofanya, bado kulazimisha watu waamini kuwa 'ameshitakiwa makosa yote ni kesi ya kubumba .......' ni ushahidi kiwango chako kikuu kabisa cha uhayawani. Hivi wanaosema ni kesi ya kubambikia ni kina nani zaidi ya chadema (misukule, sorry, wafuasi wa mbowe)? Kuna kitu tofauti na hicho wanaweza kukisema hao jamaa?!!!!!!!!! Sasa unataka kila mtu afikiri km wanavyofikiri chadema?!! Hiyo haiwezekani sababu wengine siyo misukule!
Wewe naye hovyo kabisa. Kwa kuwa kwao wafuasi wa Mbowe na Cdm ndiyo wanastahili kubambikwa kesi ?!.

Ugaidi unaujua ?!
 
Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.



Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.

Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.

Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.

Punguani wahed.
unashida mahali na wanaokuchekea wanashida pia
jitafakari
 
Madrasa wanafundishwa au wanakaririshwa?
Nadhani hata wewe kwa kuuliza hivi kuna kitu umeshakaririshwa:

Ila ngoja nikusaidie kidogo. Kukariri kitaalam ni moja ya njia na hatua inayotambulika ya mtu kujifunza. Je wakati unafundishwa 'a, e, i...' Ulipokuwa chekechea, unaweza kutuambia ulikuwa unaelewa hiyo 'a' ina maana na faida gani hasa kwenye lugha kiujumla?

Je leo hii bado hujui maana ya 'a'; mfano hata kwenye post yako hiyo tukiondoa -a- bado unadhani kutakuwa na maana uliyoikusudia? Na je wewe ukiwa kama msomi, kusoma pie 22/7 na kanuni nyingi za Hesabu, Physics, Chemistry na fani nyingine huoni kama huko ni kukariri pia.


Kwa hiyo, usibeze kukariri pasipo nawe kufanya utafiti kuonesha kuwa kukariri sio means moja wapo ya ujifunzaji. Waislamu wanaufahamu mkubwa sn kwenye dini yao kwa vile wanavyojifunza huko Madrasa kwa sababu dini na kitabu chao ndani yake kuna mambo karibu yote yaliyopita nyuma na yaliyoelezwa ktk vitabu vya kabla ikiwemo Injili na Tawrat.

Ndio maana mambo anayoyajua Muislamu kuhusu Mitume na uumbaji kiujuma ni yale yote ayajuayo Mkristo na zaidi. Ila kuna ambayo Muislamu kwenye dini yake anayasoma kiundani ambayo Mkristo hawezi kuyajua.

Kuhusu waislamu, wao wanajifunza kama taratibu zingine zote ujifunzaji zilivyo. Na ndio dini ambayo hadi leo tangu kitabu chake cha Mwongozo Quran kiwepo duniani, hakijachakachuliwa na kuwa na matoleo kama uyoga. Vile ilivyo, kwa idadi ya aya zake, maandishi yake na sura zake muislamu wa Shinyanga vijijini anavyoisoma ndivyo hivyo hivyo husomwa na kueleweka duniani kote.

Haya ni mafanikio ambayo Wakristo yanawatesa sana sana wakiufikilia uislamu. Leo ukienda dukani kununua biblia itabidi useme unataka biblia ya nani na toleo gani? Lakin ukienda kununua Quran labda uwe na interest na ukubwa wa msahafu lakini contents ni ile ile tangu zama za Mtume Muhammad (S.a.w.)

Aya na sura ya kwanza kabisa katika Quran inasema:

"Soma kwa jina la Mola wako aliyekuumba.." Soma..
 
Prof Koboko,

Umeandika mambo ya msingi kuhusu Mufti wa Tanzania ambayo ni kero hata kwa Waislamu wenyewe

Lakini ungeweza kufanya hivyo bila kutoa kashfa kwa wanaopata elimu ya Madrasa as if elimu hiyo ndio imemuelekeza Mufti Zuberi kusema hayo aliyoyasema

Inamaana wote waliopata elimu ya secular hawaungi mkono kesi ya Mbowe? Au wote waliosoma Madrasa wanaunga mkono uonevu dhidi ya Mbowe au mtu mwingine awaye yeyote anae onewa?

Mbona ulishafanikiwa kujenga hoja yako vizuri tu na imeeleweka? Hukua na haja, hoja wala sababu ya kuumiza hisia za watu wa imani nyingine ili kusema uliyoyasema, unless ulikusudia pia kutoa kashfa hiyo dhidi ya elimu itolewayo Madrasa.

Mshambulie aliyefanya kosa bila kuhusisha imani yake. Mfano makosa anayofanya Kadinali Pengo ukihusisha na Elimu ya Theolojia aliyoipata nadhani utakua unawakosea Wakatoliki wengine

Tafadhali, tuwe sensitive, responsible and considerate kwenye kila tunalosema au tunalo andika
Hisia zimepanda ameshindwa kuficha chuki zake asamehewe tu
 
Nadhani hata wewe kwa kuuliza hivi kuna kitu umeshakaririshwa:

Ila ngoja nikusaidie kidogo. Kukariri kitaalam ni moja ya njia na hatua inayotambulika ya mtu kujifunza. Je wakati unafundishwa 'a, e, i...' Ulipokuwa chekechea, unaweza kutuambia ulikuwa unaelewa hiyo 'a' ina maana na faida gani hasa kwenye lugha kiujumla? Je leo hii bado hujui maana ya 'a'; mfano hata kwenye post yako hiyo tukiondoa -a- bado unadhani kutakuwa na maana uliyoikusudia? Na je wewe ukiwa kama msomi, kusoma pie 22/7 na kanuni nyingi za Hesabu, Physics, Chemistry na fani nyingine huoni kama huko ni kukariri pia.


Kwa hiyo, usibeze kukariri pasipo nawe kufanya utafiti kuonesha kuwa kukariri sio means moja wapo ya ujifunzaji. Waislamu wanaufahamu mkubwa sn kwenye dini yao kwa vile wanavyojifunza huko Madrasa kwa sababu dini na kitabu chao ndani yake kuna mambo karibu yote yaliyopita nyuma na yaliyoelezwa ktk vitabu vya kabla ikiwemo Injili na Tawrat. Ndio maana mambo anayoyajua Muislamu kuhusu Mitume na uumbaji kiujuma ni yale yote ayajuayo Mkristo na zaidi. Ila kuna ambayo Muislamu kwenye dini yake anayasoma kiundani ambayo Mkristo hawezi kuyajua.

Kuhusu waislamu, wao wanajifunza kama taratibu zingine zote ujifunzaji zilivyo. Na ndio dini ambayo hadi leo tangu kitabu chake cha Mwongozo Quran kiwepo duniani, hakijachakachuliwa na kuwa na matoleo kama uyoga. Vile ilivyo, kwa idadi ya aya zake, maandishi yake na sura zake muislamu wa Shinyanga vijijini anavyoisoma ndivyo hivyo hivyo husomwa na kueleweka duniani kote. Haya ni mafanikio ambayo Wakristo yanawatesa sana sana wakiufikilia uislamu. Leo ukienda dukani kununua biblia itabidi useme unataka biblia ya nani na toleo gani? Lakin ukienda kununua Quran labda uwe na interest na ukubwa wa msahafu lakini contents ni ile ile tangu zama za Mtume Muhammad (S.a.w.)

Aya na sura ya kwanza kabisa katika Quran inasema:

"Soma kwa jina la Mola wako aliyekuumba.." Soma..
Hahahaha!!!!

Waislamu bhana mbona mnatumia mapungufu ya bible kuonyeshesha strength.

Au bila bible kuwa na mapungufu(amabayo kwa wenye bible yao wanajua sio mapungufu)
hamuwezi kuwa sahihi.

Kila mahali mkitaka kusema dini yenu ni bora lazima muanze kuusema kwanza ukristo
kati ya dini 3000 mmeona ukristo tu?
 
Rais kikatiba hasamei mahabusu bali husamehe wafungwa wanaotumikia hukumu..kama Samia atafanya hivyo basi labda kwa mlango wa nyuma..na afanye mapema kabla kinywa cha hakimu hakitoa hukumu..Samia ni mwanamke, Kwa vyovyote lazima awe loyal kwa senior-Armed force officials kwasab ndio jeuri yake..mkumbuke imemchukua muda sana Samia kuanza kujiamini na in fact hajajiamini bado.na ndio maana hata teua/tengua zake zote hajapagusa huko
Mnadhimu wa jeshi yuko wap leo?, Mkuu wa jkt?, Reshuffle za polisi?
 
Ulianza vizuri ila umechemka hapa,
''Hii ndiyo shida mnkua na viongozi elimu yao ni Madrasa tu kwenye sekula huku hakuna kitu''
Nani kakwambia kuwa hana elimu zaidi ya madrasa?

Nani kakwambia elimu ya madrasa haina uwezo wa kumfanya mtu kuwa na uelewa wa DELEGATIONS?
Hii ni kashfa nakushauri vitu kama hivi usipende kuviongea au kuviandika utajenga chuki bure.

Pia tambua kuna indirect message sometime zinatumwa kwa rais kwamba Mbowe hana kosa hivyo anaombwa rais atafute jinsi ya kumaliza hii kesi. Kwa sisi watu wa pwani tunaweza kukwambia ''Wewe Sizonje ni a man of people kumbe kiuhalisia ni an enemy of the people''
 
We km kweli ni profesa basi itakuwa ulipewa huo uprofesa na shemeji zako wanaokuchukulia dada zako. Huna akili kabisaaa. Ukiacha kukashfu dini usiyoipenda na unayotamani ifutike ulimwenguni kama ulivyofanya, bado kulazimisha watu waamini kuwa 'ameshitakiwa makosa yote ni kesi ya kubumba .......' ni ushahidi kiwango chako kikuu kabisa cha uhayawani. Hivi wanaosema ni kesi ya kubambikia ni kina nani zaidi ya chadema (misukule, sorry, wafuasi wa mbowe)? Kuna kitu tofauti na hicho wanaweza kukisema hao jamaa?!!!!!!!!! Sasa unataka kila mtu afikiri km wanavyofikiri chadema?!! Hiyo haiwezekani sababu wengine siyo misukule!
Hivi wewe umesahihissha nini hapo? Umeonya kuhusu kashfa kwa dini nyingine sawa! umefanya sawa sana!.

Je hayo maneno ya uchadema na misukule inakutofautishaje na huo uhayawani unaoupinga!
 
Hivi wewe umesahihissha nini hapo? Umeonya kuhusu kashfa kwa dini nyingine sawa! umefanya sawa sana!. Je hayo maneno ya uchadema na misukule inakutofautishaje na huo uhayawani unaoupinga!
The same
 
Back
Top Bottom