Nimeshangaa Mufti kuongea maneno ya kujipendekeza kuwa Rais awasamehe kina Mbowe

Nimeshangaa Mufti kuongea maneno ya kujipendekeza kuwa Rais awasamehe kina Mbowe

Nimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.

Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?

Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha. Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?

Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.

Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote. Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.
Shida yako ni Muft au Walimu wa Madrasa? Au una chuki nyingine umeona upitie kwenye mgongo wa huyo mnaemwita Muft?
 
Prof Koboko hakuandika lolote la msingi dhidi ya Mufti. Mbowe ana kesi ya kujibu, mahakama imeshaamua, kwa hiyo kusema ni kesi ya kubumba ni kudharau mahakama. Kumtaka Rais afute kesi ni kuvunja katiba. Kama ukweli huu haujaingia kichwani mwa CHADEMA basi lipo tatizo kubwa. Mbowe ni gaidi, ushahidi umeonyesha, kaambiwa ajitetee. Ndiyo maana Mufti anamuomba akiri kosa, asamehewe, lakini asirudie tena. Huu ndiyo msimamo wa Viongozi wa dini kwa Rais.
Kupatiakana na kesi ya kujibu sio kupatikana na hatia. Tusubiri uamuzi wa mwisho.
 
Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.

Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.

Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.

Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.

Punguani wahed.
Kwa hadhi yako JF hukupaswa kutukana dini ya wenzio Kwa sababu tu muumini mmoja wa dini hiyo kakuudhi.

Ni upungufu wa Hekima kutumia reference ya Mtu mmoja kutukana watu wengi.
 
Nimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.

Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?

Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha. Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?

Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.

Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote. Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.

Mkuu kwanza ungebadilisha jina Hilo Hapo juu. Unalitia najisi. Una matatizo makubwa sana ya akili.
 
Huyo nia na dhumuni lake ni kumtukana Rais na kututukana Waislam wengine wote. Na hayo si mapya, huyo ndio wale wale waliosoma kwa sampuli za kina Father Kit Cunningham wa "Mtakatifu" Francis.


Na wewe usitafune maneno, Hajuwi/hujuwi kuwa mahakama ndio imeamua Mbowe ana kesi ya kujibu? Au yule hakimu nae ni wa "madrasa"?
Kwa comment hizi, kumbe Mbowe anaonewa kwa sababu ya dini yake🙄
 
Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.

Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.

Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.

Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.

Punguani wahed.

Ujinga mzigo, unamlaumu mwenzako kwa kuidharau Elimu ya madrsa wakati huo huo unaidhalilisha Sunday school.
 
Kwa hadhi yako JF hukupaswa kutukana dini ya wenzio Kwa sababu tu muumini mmoja wa dini hiyo kakuudhi. Ni upungufu wa Hekima kutumia reference ya Mtu mmoja kutukana watu wengi.
Kweli kabisa mkuu, nakubaliana na wewe!
 
Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.

Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.

Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.

Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.

Punguani wahed.

Hakuna Mkristo mpunbavu Hivi. Labda atakuwa anaumwa. Wakristo tunefundishwa kuheshimu imani na dini za watu wengine. Sembuse Mufti ambaye Ni kiongozi mkubwa.

Kitu ambacho mkuu hujakiona kwa wengi wa aina hii Ni uchama chama. Amefikia kumwita MUfti CCM. sijui alimpa kadi lini. Na mfano angekuwa CCM. What’s wrong with that. Si ndo Demokrasia na uhuru wa kuchagua. Kwanini Demokrasia yako tu ndo iwe Bora kuliko mwingine.

Kwanini kuwe na chuki tu for the sake of chuki. Yeye Mufti sio Mahakama. Anajuaje kuwa kesi ya Ukweli au ya kubambikia. What about Lissu. Je naye ni MCCM.

Wengi wameingia Siasa kimhemuko sana. Kuna watu kibao wako jela mbona Hakuna maneno mengi. Ifike wakati mkitaka Siasa fanyeni Siasa. Eti Professor
 
Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.

Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.

Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.

Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.

Punguani wahed.
Mkuu usiwatoe wachangiaji kwenye reli. Unataka watu waanze kushambuliana Kwa Imani zao badala ya kushambulia hoja.

Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
 
Prof Koboko hakuandika lolote la msingi dhidi ya Mufti. Mbowe ana kesi ya kujibu, mahakama imeshaamua, kwa hiyo kusema ni kesi ya kubumba ni kudharau mahakama. Kumtaka Rais afute kesi ni kuvunja katiba. Kama ukweli huu haujaingia kichwani mwa CHADEMA basi lipo tatizo kubwa. Mbowe ni gaidi, ushahidi umeonyesha, kaambiwa ajitetee. Ndiyo maana Mufti anamuomba akiri kosa, asamehewe, lakini asirudie tena. Huu ndiyo msimamo wa Viongozi wa dini kwa Rais.
Hivi kumbe gaidi ni rahisi kusamehewa kiivyo kweli tanzania ina mambo ya ajabu.ko osama bi laden alikuwa gaidi nini kilitokea ivi mnacheza na ugaisi.ninacho jua mbowe siyo gaidi mambo ya katiba mpya ndoo chanzo cha yote.
 
Prof Koboko hakuandika lolote la msingi dhidi ya Mufti. Mbowe ana kesi ya kujibu, mahakama imeshaamua, kwa hiyo kusema ni kesi ya kubumba ni kudharau mahakama. Kumtaka Rais afute kesi ni kuvunja katiba. Kama ukweli huu haujaingia kichwani mwa CHADEMA basi lipo tatizo kubwa. Mbowe ni gaidi, ushahidi umeonyesha, kaambiwa ajitetee. Ndiyo maana Mufti anamuomba akiri kosa, asamehewe, lakini asirudie tena. Huu ndiyo msimamo wa Viongozi wa dini kwa Rais.
Mimi ningependa kesi hii ya kina Mbowe iendelee ili kuwafurahisha wale wote wapenda dhuluma na uonevu.

Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
 
Sheria ya hivo ingekuwepo wengi wangejitokeza.
Tuombeni mwamba atoke gerezani kwanza hayo malalamishi mengine yatajadiliwa akiwa huku uraiani !! Nyie mmekaa mnachochea kuni huku mnagida lager acheni hizo bandugu !! Tunajenga nyumba moja inayoitwa Jamhuri ya muungano wa Tanzania !!
 
Hivi kumbe gaidi ni rahisi kusamehewa kiivyo kweli tanzania ina mambo ya ajabu.ko osama bi laden alikuwa gaidi nini kilitokea ivi mnacheza na ugaisi.ninacho jua mbowe siyo gaidi mambo ya katiba mpya ndoo chanzo cha yote.
Tunamuombea atoke kwanza aje huku nje waliko familia yake kisha yale mengine yanazungumzika mkuu !!
 
Tuombeni mwamba atoke gerezani kwanza hayo malalamishi mengine yatajadiliwa akiwa huku uraiani !! Nyie mmekaa mnachochea kuni huku mnagida lager acheni hizo bandugu !! Tunajenga nyumba moja inayoitwa Jamhuri ya muungano wa Tanzania !!
Huo ni msimamo wa mbowe na nimsimamo wa familia kama hujui.
Lakin Mbowe hawezi kutoka kwa gharama ya kuomba msamaha au kuombewa msamaha
kwa kosa ambalo sio lake.
Hao wangeomba haki itendeke.
 
Nimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.

Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?

Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha. Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?

Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.

Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote. Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.
In our country, "The MUFTI" is as senior as any senior political leader. Mbali na hivyo umri wake pia unampa seniority ya juu mno kiasi kwamba mtoto mdogo kama wewe hukustahili kwa namna yoyote ile, kumu-attach kwa kiwango hiki na kwa lugha hii, hata kama kwa maoni yako unamuona kuna mahali hajaenda sawa.

Nadhani kuna haja ya watoto kuwa mnakuwa waangalifu na lugha za kutumia pindi mnapokuwa mna-table hoja zenu zinazohusiana na watu ambao ni very senior.

Kumbuka pia Uongozi wa juu kabisa wa nchi hii unawaheshimu sana hawa watu, halafu wewe ni nani unayeibuka tu na lugha zako za mitaani kuanza kuwashambulia kisa kwa maoni yako tu unaona wamekosea?

Assuming Mahakama inaamua kumsamehe Mbowe, je ikitokea hivyo utaenda kwa MUFTI ukamuombe msamaha kwa upupu huu ulioandika hapa?
 
Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.

Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.

Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.

Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.

Punguani wahed.
Kubali tu nyie ni watu wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom