Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajibeba aiseee.[emoji16][emoji16][emoji16]Sisi hatuyaelewi hayo maneno yenu [emoji23][emoji23], Hawa maofisa wa marekani tuliowadaka watatusaidia kujenga miji ya Ukraine iliojotangazia uhuru wake, watajenga miji hio kama vile madaraja, school, vituo vya mabasi, viwanda, mols, masoko, barabara nk bila ya malipo, na hawa uzuri wake hamna prisoner change [emoji16][emoji16][emoji1787] kwa sababu wametoka nje ya Ukraine US Admiral Eric Olson (Highly decorated special ops commander) born in #Tacoma , Wa USA captured in #Azovstal #Mariupol #BREAKING https://t.co/tyVgHzTsUlView attachment 2226643
Propaganda za Kikomunist bwana[emoji3][emoji3][emoji3]Sisi hatuyaelewi hayo maneno yenu [emoji23][emoji23], Hawa maofisa wa marekani tuliowadaka watatusaidia kujenga miji ya Ukraine iliojotangazia uhuru wake, watajenga miji hio kama vile madaraja, school, vituo vya mabasi, viwanda, mols, masoko, barabara nk bila ya malipo, na hawa uzuri wake hamna prisoner change [emoji16][emoji16][emoji1787] kwa sababu wametoka nje ya Ukraine US Admiral Eric Olson (Highly decorated special ops commander) born in #Tacoma , Wa USA captured in #Azovstal #Mariupol #BREAKING https://t.co/tyVgHzTsUlView attachment 2226643
Na jitaarisheni na maumivu zaidi kwa huko kwenu itakua time ya jioni, magaidi wenu wanaendelea kujisalimisha huku wakijuta [emoji23][emoji23][emoji23]Propaganda za Kikomunist bwana[emoji3][emoji3][emoji3]
Hili ndilo linaenda kutokea Kharkiv kwa wanajeshi wa ukreni kuzingirwa katika mji huo , muda utaongea tunza msg hii.
Unaonekana unaandika huku ukiwa umejawa na jazba na kupanic ndani yake.Maneno matupu bila kuback up madai yako hakuna mtu mwenye uelewa wa mambo atakuelewa hata kama utaflood non stop comments kama hazina evidence ni kujichosha bure Mr StruggleMan [emoji3][emoji3].Hakuna mtu aliwalazimisha kwenda kuvamia,mliyataka wenyewe sasa kuleni jeuri yenu.Operation ya masaa 72 [emoji2957][emoji2957]Na jitaarisheni na maumivu zaidi kwa huko kwenu itakua time ya jioni, magaidi wenu wanaendelea kujisalimisha huku wakijuta [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Usicheze na mkomoto ww
Ubaya Nato wako nchi zaidi ya 10 wameshindwa kwenda kuwaokoa
Hearing chatter about a mass surrender coming this evening. Lines up with rumors I heard yesterday. Guess we'll see if it works out.
Comedian Zelensky katuonyesha udhaifu wa Urusi.Huyu supapawa kwa kweli hana la maana, hivi ameingiwa na nini Mrusi, mbona miaka yote tulikua tunamwogopa bure tu...
Hahahaha itakuwa ni hivyoKumbuka wanaofanya ndio hao hao warus manake kipind kile ukrain bado ilikuwa ndan ua uaoviet labda hio battalion iliocheza mchezo huo ilitokea Kiev[emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]