Nimeshangaa sana, Timu za Ujerumani badala ya kuungana kumaliza utawala wa Bayern, zinakamiana

Nimeshangaa sana, Timu za Ujerumani badala ya kuungana kumaliza utawala wa Bayern, zinakamiana

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Ligi imekosa mvuto, timu moja inachukua kombe kwa miaka 11 mfululizo kwa kutumia mbinu za kupora wachezaji wazuri kutoka timu pinzani

Kwa mbinu hii pengine inaweza kuchukua ubingwa hata mara 20 mfululizo, maana msimu huu ndio walikuwa dhaifu kuliko misimu mingine

Badala ya timu kuungana ili kuua hii monopoly inayoua mpira, ndiyo kwanza zinakamiana

Screenshot_20230528-100309.png
 
Ligi imekosa mvuto, timu moja inachukua kombe kwa miaka 11 mfululizo kwa kutumia mbinu za kupora wachezaji wazuri kutoka timu pinzani

Kwa mbinu hii pengine inaweza kuchukua ubingwa hata mara 20 mfululizo, maana msimu huu ndio walikuwa dhaifu kuliko misimu mingine

Badala ya timu kuungana ili kuua hii monopoly inayoua mpira, ndiyo kwanza zinakamiana
Hujui Mpira endelea kushangaa.....eti timu kuungana....we umeona wapi!?

Timu zinatakiwa kujiimarisha na kuwa Bora kiushindani....thus all.[emoji24]
 
Kwahiyo ulitaka Dortmund ashinde kwa kuachiwa tu sio kwa uwezo wao kisa tu kumaliza utawala wa Baywrn? Dortmund wajilaumu wenyewe kama mechi waliuza kwa makampuni ya kamari shauri zao. Kila mmoja ana viipau mbele vyake wengine kombe wengine pesa wengine ndio kama Arsenal hawajui wanataka nini kazi yao kushiriki tu michuano.
 
Ligi imekosa mvuto, timu moja inachukua kombe kwa miaka 11 mfululizo kwa kutumia mbinu za kupora wachezaji wazuri kutoka timu pinzani

Kwa mbinu hii pengine inaweza kuchukua ubingwa hata mara 20 mfululizo, maana msimu huu ndio walikuwa dhaifu kuliko misimu mingine

Badala ya timu kuungana ili kuua hii monopoly inayoua mpira, ndiyo kwanza zinakamiana
Kwani ni siasa UKAWA dhidi ya CCM? Huu ni mpira kila timu ipambane kiume kivyake
 
Umeyaona ya Germany, ila ya hapa Tanzania hujayaona!,monopoly ya simba na yanga nayo haileti maendeleo ya soka nchini, ni vilabu vichache sana ambavyo vimechukua ubingwa hapa nchini ukilinganisha kwa yanga na simba
 
Next time muwe mnatazama mpira kabla ya kwenda Ku comments popote..
Dortmund alipata sare Jana .
Alitakiwa kushinda..kakosa ubingwa Kwa tofauti ya magoli .
Basi gori la mwisho atakuwa kapata dk ya 90+ maana nilivoona mbili moja mpaka dk 90 nikajiondokea
 
Back
Top Bottom