Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa alitazama kipindi kimoja huyu jamaaNext time muwe mnatazama mpira kabla ya kwenda Ku comments popote..
Dortmund alipata sare Jana .
Alitakiwa kushinda..kakosa ubingwa Kwa tofauti ya magoli .
We jamaa ni muongo hatari😂😂😂Hakuna ligi zenye matokeo ya kushangaza km ligi za ujerumani na Italy🤣🤣
Sa dortmund jana alihitaji sure tu na yupo nyumbani ila hakupata hata io sare
Hana akili jamaaKwa hiyo Haaland and Sancho waliibwa na Bayern ili kuidhoofisha Dortmund?
Nani kakuambia tena kule ndio balaaKule ulaya hakuna kununua ubingwa kama huku bongo
Unataka kuleta mambo ya Singida Big Stars na Yanga katika soka la Ulaya??Ligi imekosa mvuto, timu moja inachukua kombe kwa miaka 11 mfululizo kwa kutumia mbinu za kupora wachezaji wazuri kutoka timu pinzani
Kwa mbinu hii pengine inaweza kuchukua ubingwa hata mara 20 mfululizo, maana msimu huu ndio walikuwa dhaifu kuliko misimu mingine
Badala ya timu kuungana ili kuua hii monopoly inayoua mpira, ndiyo kwanza zinakamiana
View attachment 2637694
Ilikua ni ligi ya mpira kaziZamani enzi hizo twacheza mpira wa makaratasi, ulikuwa ukisikia neno bundes liga maana yake ni rafu mwanzo mwisho.
Ila bundesliga ya Dortmund hapana