Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
Nadhani hili ni la msingi na pia Mh. Rais pengine alishaona kuna dalili ya jorani kukasirika ikabidi amchape kofi mtoto ili mgeni aridhike....Mengine tusikuze mambo bure...Lengo ni kuijenga Tamzania iliyobora. Lakini isiwe kwenye ku compromise ukuaji wa uchumi wetu
 
Yes, msisahau pia pricinple ya demand and supply. Nadhani mwisho wa siku consumers watafurahi bei zikishuka kwa sababu ya kuwa na sukari nyingi
Hao consumers ni percent ngapi ya wakulima ambao wataathirika viwanda vya ndani vikishindwa ku produce kwa sababu ya ushindani wa bei? Unjua sukari na hypes zake wewe?
 
Kwa maoni yangu Prof. Mkenda alikuwa sahihi kwa asilimia 100. Kwa nini nchi inufaishe wachache na hata sukari wanayoleta ni ya kijanja janja na wakati mwingine sukari inayoletwa mara nyingi imepitisha muda wake. Mtu unapoitwa Professa lazima uheshimiwe.
 
Museveni hana.viwanda vya kuzalisha sukari nyingi, Uganda wanaagiza sukari kutoka Brazil na hivyo wanakua na excess ya sukari kutoka Brazil na ndio hiyo wanataka kutuuzia.
Sasa kwa nini sisi wenyewe tusiagize kutoka Brazil, hangaya anafeli sana
ngoj ngoja sukari ya uganda kutoka brazil inapitia bandari gani?
 
Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
Magufuli alishawapunguzia tozo ambayo Museveni aliridhika nayo. Hakukuwa na haja ya kununua sukari ni bora angempa sugar sukari ya Zuchu
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Anataka kuzuia kagera sugar ya Magufuri,sukari ya Uganda tunanunua Bei chini kabisa kilo moja hapa mtukula mpk 1800 ya Magufuri 3000 na inazalishwa mkoani mh raisi Yuko sahihi
 
Mkuu!

Magufuli hakuzuia sukari toka nje kwa sababu ya roho mbaya hapana.

Alisema kabisa tuna mashambe mengi tuzalishe sukari yetu hapa hapa nchini na kufaidisha viwanda vyetu vya ndani.

Yule mzee aliambulia matusi toka wapumbavu badala ya kutumia fursa hiyo kuongeza uzalishaji ili kuinua vipato na kuongeza ajira.!

Kila siku huwa nasema hapa kwamba kumpigania mpumbavu malipo yake ni upumbavu!

Ona sasa tunaenda kuwa dampo la sukari toka uganda!

Nmeona uzi hapa jana mtu anashauri Samia aruhusu cement toka Kenya, na usishangae na yeye akafanya hivyo.
Kama tulizalisha alikuta sukari Bei gani na kaiacha kwa sh?mbona mw endazake mnamuona Kama mtukufu wakati ameu maelfu na maelfu
 
Back
Top Bottom