Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Hivi bado kuna uhaba wa sukari mpaka leo? sijasikia zile kelele muda mrefu.

Rais wetu naona kama amekubali kutumiwa na Museveni nae akatumika, kama Museveni ana sukari nyingi kwake haina soko ameona aje kulitafuta huku na sisi badala ya kujiuliza kama tunaihitaji naona tumekikbilia kukubali ombi tu ili kukuza urafiki na majirani.

Suala la kuita msimamo wa waziri wake public Nonsense nalo nalipinga, kama alikerwa na huo msimamo ana kila nafadi na kuonana na waziri wake na kumweleza aliyonayo, sio kumsubiri Museveni aje ndio anamnange mbele za watu, hizi ni tabia typical za kike - umbea.
Museveni hana.viwanda vya kuzalisha sukari nyingi, Uganda wanaagiza sukari kutoka Brazil na hivyo wanakua na excess ya sukari kutoka Brazil na ndio hiyo wanataka kutuuzia.
Sasa kwa nini sisi wenyewe tusiagize kutoka Brazil, hangaya anafeli sana
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Absolutely Correct. This should have been handled within closed doors.
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Waziri hana mamlaka ya kuweka sera kama yake waziri anatekeleza yanayoamuliwa na baraza la mawaziri au sera ya serikali. sasa ajibu aliambiwa na nani hatununui sukari ya Uganda au ilikuwa uamuzi wake yeye
 
Hivi wakati wa tumbua tumbua ulikuwa umezaliwa?
Wakati waziri mkuu anadhalilisha kwenye kikao chake mwenyewe na wafanyabiashara ya korosho ulikuwa hospital?

Mwacheni mama afanye kazi , acheni chokochoko za kipuuzi!
Ikiwa hayo yalifanyika basi yanapaswa kuendelea kufanyika?
Yalipotokea hayo wstu walisema na watu wakakosoa sana, hata Sasa watu Wana haki ya kusema na kukosoa Sana.
Hakuna aliyezuia asifanye kazi
 
Hivi wakati wa tumbua tumbua ulikuwa umezaliwa?
Wakati waziri mkuu anadhalilisha kwenye kikao chake mwenyewe na wafanyabiashara ya korosho ulikuwa hospital?

Mwacheni mama afanye kazi , acheni chokochoko za kipuuzi!
Acha upumbavu na ushamba.

Unaita maamuzi ya Waziri nonsense Tena hadharani.

Jaribu kuwa siriaz basi.
 
Kwa hiyo hapa tatizo ni Mkenda kuambiwa Hana SENCE? Ukweli Kati ya mawaziri si Mkenda peke yake ambaye Hana SENCE, wako wengi tu akiwemo wa Fedha, wa Biashara, wa Maliasili, wa Madini na kubwa Lao Afya.
Sence ndio nini wewe? Tena umerudia mara mbilimbili kuonyesha ulivyo mtupu.
 
Bro ni vizuri pia ujue kuwa uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba tanzania,hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za tanzania badala ya za kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
You are totally misinformed buddy,UG wanatumia Mombasa Port kwa almost 82% ya mizigo yake the rest ndio ifikirie TZ. Again SGR ya KE now inatoboa mpaka Naivasha mpaka Busia mdomoni kabisa mwa mpaka wa UG na KE, na wamepewa free land area kwa ajili ya kujenga Dry Port ya Mizigo.

Bomba la mafuta kupitiishiwa Tanga ni kwa sababu ya inflated costs na sheria za KE kulipa maradufu fidia, ardhi Mali ya mtu na si serikali. Mwekezaji yeyote huangalia cheap option kwa ajili ya ku maximize profit.

Again, monsoon winds ambazo huwa zaidi ya miezi 3 kwa mwaka ilikua ni tatizo katika njia ya kupitisha bomba, bomba lingefika bandari ya Lamu ambayo ilikua chini ya ujenzi haijakamalika by then wakati Tanga iko operational. Hakukua na njia mzuri na a lot of anti gravity katia njia ya Kenya tofauti na TZ. To top up, usalama kwani Lamu iko near na Somalia kwa Al Shabaab militants ambao pia hutarget Kenya na Uganda.

Get all the facts right.

Ni hayo tu.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Waziri hana mamlaka ya kuweka sera kama yake waziri anatekeleza yanayoamuliwa na baraza la mawaziri au sera ya serikali. sasa ajibu aliambiwa na nani hatununui sukari ya Uganda au ilikuwa uamuzi wake yeye
Wengi mnapenda kuandika bila kuelewa, sera na Sheria zipo wazi. Kulinda viwanda vya ndani sukari inapaswa kuagizwa endapo kuna upungufu na waagizaji wanapaswa kuwa viwanda na sio wafanyabiashara.
Waziri ndio kasimamia hapo, raisi yeye anataka iagizwe vyovyote vile.
Sijaona kosa la waziri
 
Mkuu!

Magufuli hakuzuia sukari toka nje kwa sababu ya roho mbaya hapana.

Alisema kabisa tuna mashambe mengi tuzalishe sukari yetu hapa hapa nchini na kufaidisha viwanda vyetu vya ndani.

Yule mzee aliambulia matusi toka wapumbavu badala ya kutumia fursa hiyo kuongeza uzalishaji ili kuinua vipato na kuongeza ajira.!

Kila siku huwa nasema hapa kwamba kumpigania mpumbavu malipo yake ni upumbavu!

Ona sasa tunaenda kuwa dampo la sukari toka uganda!

Nmeona uzi hapa jana mtu anashauri Samia aruhusu cement toka Kenya, na usishangae na yeye akafanya hivyo.
Story za Bamburi Cement zianze kurudi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Safi tuu maana hawa maprof na madokta wanajitoaga sana ufahamu wakipata izo nyadhfa utafikiri hawana ubongo. Unafikiri mama amefanya bahati mbaya? Ni makusudi ili sikunyingine wakiteuliwe wajipime kwa w3ledi wa taaluma zao
 
Yes, msisahau pia pricinple ya demand and supply. Nadhani mwisho wa siku consumers watafurahi bei zikishuka kwa sababu ya kuwa na sukari nyingi
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Tatizo mmatafsiri vibaya neno Nonsense.Nonsense kwa kiswahili maana yake ni kitu ambacho hakiingiii akilini,sasa hili neno linaubaya gani?.
 
Museveni hana.viwanda vya kuzalisha sukari nyingi, Uganda wanaagiza sukari kutoka Brazil na hivyo wanakua na excess ya sukari kutoka Brazil na ndio hiyo wanataka kutuuzia.
Sasa kwa nini sisi wenyewe tusiagize kutoka Brazil, hangaya anafeli sana
Hebu angalia hizi: Unataka kusema waagiza Brazil wanapita DSM hadi Kampala halafu ndipo wanarudisha huku ama wanauza hapohapo Bandarini tukiona mchana ama. Hebu angalia baadhi ya takwimu kutoka mitandaoni

In 2019, sugar cane production for Uganda was 4.89 million tonnes. Sugar cane production of Uganda increased from 1.75 million tonnes in 1970 to 4.89 million tonnes in 2019 growing at an average annual rate of 3.62%.

VS

Tanzania's sugar annual demand is estimated at 710,000 tonnes in 2019 versus a local production of 439,100 tonnes in the same year. ... Over the past five years, Tanzania's sugar production increased by 74%, from 252,900 tonnes in 2015 to 439,100 tonnes in 2019.

Sugar - TanzaniaInvest​

1638165088009.png
https://www.tanzaniainvest.com › sugar
 
Kwanza inatakiwa uelewe Tanzania Ina shortage ya sukari kwa miaka mitano mfululizo, na hii yote imesababishwa na jiwe, Hivyo basi sukari inatakiwa iagizwe Mana viwanda vyetu having uwezo wa kuzalisha sukari mpaka wananchi wote tutosheke,
Nazani unaelewa kuwa bei ya sukari imeongezeka kwa asilimia mia moja. Wacha tufungue mipaka ili mwananchi apate nafuu
 
Back
Top Bottom