Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Mambo ya kuzuia zuia ni primitive policies. Serikali ina namna njema ya kusaidia sekta ya viwanda kukua bila ya kuwaumiza walaji. Halafu wafanyabiashara wenyewe, bila ya kulazimishwa, wataacha kuagiza sukari nje, kwa sababu haitalipa.Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.
Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.
Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.
Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.
Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.
Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.
Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?
All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Tutasikia Prof aliingiliwa na majambasi nyumbani kwake majira ya saa nne usiku.Nafikiri unajua nini kitamkuta akijifanya mjuaji kutaka kuachia ngazi. Serikali nyingi za kiafrika ni za kishezi sana.
Unapoona Marekani inamfanyia fugusu Huawei isiuze simu nchini kwake unafikirije?1. Kama tukizuia bidhaa za nchi za wenzetu wasiuze hapa nchini, si na sisi za kwetu zitazuiwa kuuzwa huko kwenye mataifa yao?
2. Tunahimiza uchumi wa viwanda ili iweje? Mimi nadhani ni ili tuzalishe kwa wingi na ziada iuzwe nje ili tupate fedha za kigeni nyingi?
3. Kama tangu 2015 alipoingia Magufuli na kutoa wazo hilo la kupanua mashamba nà kuzalisha sukari nyingi, mbona mpaka leo mambo yako vilvile? Nini tatizo? Ni agizo/tamko halikuwa na nguvu au ni tatizo la kisera na mipango mibovu ya serikali hii ya CCM?
4. Kama sukari haitoshi hapa nchini, ni vyema turuhusu ya nje iingie ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa bei. Vivyo hivyo Simenti na bidhaa zingine toka mataifa mengine ziingie kwa wingi mpaka pale akili zitakapokaa sawa ili tuzalishe wenyewe...
Uliona wapi china kazuia simu toka usa?Hapo ni quality mbona wengine wanaruhusiwa kuuza,au politics kama China anazuia basi naye anazuia
Ndiyo hivo, mtu akiwa nje anaweza asijue jinsi viongozi wakuu walivyo mateka wa system. Ukiandika barua ya kujiuzulu unaitwa unaambiwa ichane.Tutasikia Prof aliingiliwa na majambasi nyumbani kwake majira ya saa nne usiku.
Sawa hatukatai, likini sio busara kunya hadharani. mama naye kaanza kupandisha mabega.Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
Magufuli alikuwa anawaita hivyo kwa mambo ya msingi .mfano unakuta daraja lomevunjika wao wanajivuta tuu il hali watu wanqhitaji hudumaKama Mchaga angeitwa hivyo mpuuzi na Magufuli sasa hivi hapa JF pangekuwa panawaka moto .
Mungu yuko fair sana ndo Waswahili tunasema siyo Athumani, sasa Raisi kipenzi chenu kawaita wapuuzi na washenzi live, na bado huu ndo mwanzo tu.
R.I.P. Magu