Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Mpaka asubuhi ya leo alipaswa kuwa ameshaweka barua nezani....tatizo ni aina ya uprofesa....if he is well educated profesa, asubuhi tu barua mezani....
 
Mpumbavu akikosolewa hung'aka ila mwerevu anakubali na kujirekebisha. Hata kama kuna ukweli ni kutumia tu busara kwani ni bodi wako.
 
Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
Uganda walikwepa garama za aridhi kama wangepitia kenya. Hakana cha sacrifice hapa
 
Kuitwa NONESENSE kwa jambo la halali halafu ukaendelea kubaki ofisini wakati wewe ni mbunge na Profesa tena toka jamii ya akina Mangi ni upumbavu wa Mpumbavu.

Mkenda ungepaswa kujiuzulu usiku ule ule. Labda umeamua kufuata nyayo za Prof mwenzako Mbarawa maana nae aliitwa Mpumbavu hadharani na akaendelea kukomaa

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app

Nani kamuita mkuu
 
Kuitwa NONESENSE kwa jambo la halali halafu ukaendelea kubaki ofisini wakati wewe ni mbunge na Profesa tena toka jamii ya akina Mangi ni upumbavu wa Mpumbavu.

Mkenda ungepaswa kujiuzulu usiku ule ule. Labda umeamua kufuata nyayo za Prof mwenzako Mbarawa maana nae aliitwa Mpumbavu hadharani na akaendelea kukomaa

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Huyo anayeona kuagiza sukari nje ni nonsense wakati kuna upungufu mkubwa wa sukari, basi yeye ndio non-sense yenyewe kwani ni jukumu lake kuhakikisha sukari ya kutosha ipo.
 
Nonsense🐒🐒🐒
imgvfdage12.png
 
Tunalinda viwanda vya ndani vyenye uwezo mdogo kwa gharama kubwa sana na kwa kubebesha mzigo wananchi. Sukari ikiingia kutoka Brazil bei yake haitazidi TSH. 1800, ukilinganisha na bei ya sasa ya TSH 2600 hii si kulinda viwanda vya ndani bali ni rushwa. Mambo ya monopoly yalishaisha zamani! Kwanini tunalinda viwanda vya sukari tu na vingine vinashindana na vya nje kama kawaida. Natamani kujua viwanda vya sukari vinamilikiwa na nani maana vilibinafsishwa.
Narudia tena , suala la sukari yetu kuwa bei juu ni KODI ZETU wenyewe.
Tunajipiga kodi hadi mtaji halafu tunashangaa bei ya bidhaa kuwa juu.
 
Kuitwa NONESENSE kwa jambo la halali halafu ukaendelea kubaki ofisini wakati wewe ni mbunge na Profesa tena toka jamii ya akina Mangi ni upumbavu wa Mpumbavu.

Mkenda ungepaswa kujiuzulu usiku ule ule. Labda umeamua kufuata nyayo za Prof mwenzako Mbarawa maana nae aliitwa Mpumbavu hadharani na akaendelea kukomaa

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Wapi huko mkuu, huu ubuyu naona ulinipita.....
 
Kuitwa NONESENSE kwa jambo la halali halafu ukaendelea kubaki ofisini wakati wewe ni mbunge na Profesa tena toka jamii ya akina Mangi ni upumbavu wa Mpumbavu.

Mkenda ungepaswa kujiuzulu usiku ule ule. Labda umeamua kufuata nyayo za Prof mwenzako Mbarawa maana nae aliitwa Mpumbavu hadharani na akaendelea kukomaa

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Kweli aisee, kawaangusha wachaga aisee. Njaa mbaya sana
 
Kujiuzulu kwa kutofautiana na mkuu wako wa kazi tena kwa nia ya kuonesha kuwa bosi ndio mwenye makosa au mawazo yasiyo sahihi ni kuhatarisha maisha yako zaidi ya kuvumilia kuonekana fala na mwenye mbele ya wananchi.
Kama hajipendi aachie ngazi
 
Kuitwa NONESENSE kwa jambo la halali halafu ukaendelea kubaki ofisini wakati wewe ni mbunge na Profesa tena toka jamii ya akina Mangi ni upumbavu wa Mpumbavu.

Mkenda ungepaswa kujiuzulu usiku ule ule. Labda umeamua kufuata nyayo za Prof mwenzako Mbarawa maana nae aliitwa Mpumbavu hadharani na akaendelea kukomaa

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
anajitoa vp na mangi yeye tabia yke ni kupenda sana pesa
 
Back
Top Bottom