Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Jitahidi kuwa na moyo mgumu, baada ya siku 90 mke wako atakusaliti, Jiandae kulipokea hili, amani iwe nawe ndugu yangu
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Kama unakata mafundo anza mapema ili aone kawaida na pia usizoee kuludi mapema nyumbani na kamwe usimwambie malupu lupu yoyote unayoyapata katika mishe zako we kama mahitaji fanya kama kawaida
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
0713 mwiko.
 
Mnapatikana sayari gani nyie jamani 😀 zawadi ni kitu muhimu, hufurahisha moyo na kufeel you're loved and always on his/her mind, hata ikiwa pipi tu😍
Bahati mbaya ndiyo tumezeeka sasa, japo tunajitahidi kutoa seminar Kwa Vijana walau waanze kujifunza na ku-practice kabla jua la umri wetu halijazama kabisa 😜🤗

Zawadi hufanya hata kama mwenza wako alikuwa moodless kukupa chakula cha usiku basi atakupa tu Siku hiyo 😜

Japo utafiti unaonesha hata Sisi Wanaume hupenda kuletewa zawadi, iwe ni Saa/Wallet/Boksa/Mkanda n.k

Kwahiyo ni two way event

Kwa Wanandoa/Wapenzi wajao hili ni somo la kujifunza
 
mfanye kwanza rafiki yako no 1!
ubabe haulipi! jadiliana naye kwa huruma, hekma na mamlaka ila bakiza maneno machache kuhusu mapato nje ya mshahara au kipato rasmi kinachothibitika!
tenga pesa za kumpa bila sababu wala kuombwa nje ya matunzo rasmi'
hata akiwa na kipato, naye ana wanaomtazama.
kiwango flan cha pesa kikae wazi chumban kinaoneka, pia sekta ya tumbo bidhaa zisizo oza zionekane katika jumla jumla.
usikubari ajihudumie matunzo hata awe anakuzid kipato. bora akukope alafu uzimpatie asuke alafu umlipe baadae!
Uanaume/ umme ni zaid ya kumiliki sehem za siri za kiume!
suala la zawad kila unaporudi limeshasemwa na kila mtu. ukikosa chuma ua ulete.
penda kuleta vitu badala ya kumpa pesa sawasawa/zaid ya vitu hivyo mf chupi, bla, viatu, cookies, kitenge, vipodozi, n.k. (eneo hili wanaume wenye pesa huwa wanafeli sana kwa kutoa cash kubwa, impact kidogo)
kama u mwajiriwa ajue take home yako na ikibidi ashiriki kutumika kwake, we kula za pembeni ambazo ndo nyingi.
usikubali kujifanya mmezeeka au majukum. tenga muda wa kutoka naye hata country walk au picnic.
usiikubari zilipendwa.. mke hazeeki!
msisitize kusali kuanzia ngazi ya familia nawe uwe mfano kwake. atakuamin hata ukiwa mbali nae.
usiache style yoyote ya kungonoka labda kama ni hatarishi. usisubiri aisikie pahala!
ukiwa free pika naye au fanya vile wanaume wanakwepaga ili ajihisi ana msaidizi pia katika nyakati flani.
usimfokee hasa mbele ya watoto au watu. mngoje chumbani. Mwaminishe yeye ni muhimu na wa thaman katika maisha yako!
USIMPIGE MKEO wanaweka visasi! usiponzwe na kuendelea kupata huduma zake. kujihisi salama ni hitaji No 1 la mwanamke. ndo mana wanatusaidia kufanya maendeleo ili wawe salama!
wathamini ndugu zake, mara kadhaa piga sim ukweni bila shinikizo lake. hutakaa uwe bora kuliko wao.
hakikisha familia ni ndogo sana. saidia huko huko ndugu walipo! wanawake ni wabinafs na wanakereka haraka!
usipende kuelezea misaada kwa mkeo, mengine fanya kimya kimya bila kuathiri ustawi wa familia.
usimuulize mkeo mambo ya nyuma km ex's, familia yake, uzoef wa kimapenz, alivyopata kukosea n.k
tenga muda wa umbea/story naye usijifanye busy, akamtafuta rafiki anayemsikiliza( watu wa maofisin wanaelewa vzuri hili hatimaye wake za watu wanajibebisha)
usiombe ushauri kwa mkeo na huku huna plan b au suluhisho binafs mbele yake! unamchosha tu ubongo, mme yai visa!
.........Pamoja na ushauri/maoni binafs hakuna kanuni rasmi ya kuishi na mke/ maana tunaathiriwa na tulikoanzia na kupitia hadi kuoana!
Ni muhim sana ujiwekee taarfa chanya akilini na sio za kuathiri afya ya akili yako.
mf usikubari kujiaminisha misemo ya kipuuzi kama...* wanawake wote ni malaya au wanagawa.*
amini tu wa kwako ni tofauti ( hata wakiwa vile dunia yote) na anajitambua na kukuheshimisha bila usimamizi! ulishe moyo wako taarifa za kuurutubisha!
kwa mana ukikosa imani naye muathirika wa kwanza ni wewe!(rejea mila za babu zetu kutuma koti/ vitu nyumban kabla hawajafika wanaporud)
........ Anayetaka ndoa ya furaha bila pesa na aje sasa tafadhari!
 
Usi mdanganye, Eminem Kwenye monster ana sema, am not here to save any fu..ng kid.

But if one kid out of 100 million, who are going througha struggle, feels it and then relate, that great.
Hah jamaa Eminem sio wa kumsikiliza,sijui Kim alimfanya Nini,kwenye Space Bond Kuna mistari miwili,mmoja anasema

"Don't ask me why I have no love for these mo'fuckin' ho's,mwingine anasema Love is Evol(Evil)spell backwards I'll show ya
 
Hah jamaa Eminem sio wa kumsikiliza,sijui Kim alimfanya Nini,kwenye Space Bond Kuna mistari miwili,mmoja anasema

"Don't ask me why I have no love for these mo'fuckin' ho's,mwingine anasema Love is Evol(Evil)spell backwards I'll show ya
Itakuwa nigga Ali penda kinyamwezi, halafu aka kuta uozo tu.

Eminem ni Kati ya Wana hip hop ambao Nyimbo zao, unaeza geuza speech na Ika kubalika
 
Andika urithi
Asijue kipato chako
Usilete ndugu kwako waishi
Asijue ratiba yako
Usiache kumpa zawad
Msifie kila siku
Mwpe hela
Mtoe out
Usile housegirl
Nunua magari mawili
Usimtafutie kazi
Mlipe mshahara
Kila siku acha hela mezani...
Namba moja mi hoi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wasio na cha kuandika wakutane kwa kikao cha dharura tafadhali🤣🤣🤣
 
Hakikisha anadeki nyumba yote, anafua nguo zote mpaka na mazulia, afagie uwa na kukata nyasi, apike Milo yote mitatu, afute mabuibui na kusafisha vioo, alime mboga mboga, amuoshe mbwa na kumpikia mbwa, asisuke Bali uwe unamnyoa na wembe, asiende sokoni Bali uwe unamletea kila kitu.
Mwisho hakikisha ndani ya miaka 3 awe na watoto 3.
Hakikisha hajipaki mafuta zaidi ya mafuta ya kula.
Fanya hivyo mkuu utanishukuru baadae usimwonee mwanamke huruma kwenye majukumu yake yalio kwenye maandiko na kumtaftia msaidizi.
Nyie🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka sana🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom